Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Mmmh jiraniWanawake wa sasa hivi ni mashujaa wa kugawa papuchi,kunanga na kuchuna![emoji53][emoji53][emoji53]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh jiraniWanawake wa sasa hivi ni mashujaa wa kugawa papuchi,kunanga na kuchuna![emoji53][emoji53][emoji53]
Mkuu unaadimika sana mpaka nakusaka kwa tochi wwe ni hazina asee usiwe unajificha sana maarifa yako bado tunayahitaji huku hasa kuchambua maandiko matakatifunin
ninakupa mpendwa na samahani kwa kuwa kimya mda mrefu......
soon nitaanza kutoa michango yangu kirefu zaidi kwa hizi mada zako......
MUNGU ATUBARIKI SOTE
Walifanya jambo la msingi sana. Wasomi wetu wangejaribu kuandika historia zetu na kuziweka maktaba pia zitumike mashuleni japo kutuamsha.Ndiyo maana Uchina na Korea baada ya vita ya pili ya dunia mwaka 1945 waliamua kuchoma moto kila aina ya upuuzi wa kijapan na wazungu na kupiga marufuku kabisa mafundisho ya kipuuzi ambayo yanahubiri kwamba kuna jamii fulani ni bora kuliko nyingine.
Tanzania hapahapa:Mkuu ulisoma hapahapa Tz? Au s
Acha masihara MkuuTanzania hapahapa:
Kuanzia Msingi hadi Chuo.
Sijawahi kwenda nje ya nchi mimi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji1] [emoji1]
Pamoja na kupenda kujisomea nikiwa sekondari hicho kitabu sikuwai kukutana nacho ndiyo maana nikauliza.Tanzania hapahapa:
Kuanzia Msingi hadi Chuo.
Sijawahi kwenda nje ya nchi mimi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji1] [emoji1]
Masihara yapi tena mkuu ???Acha masihara Mkuu
Hahaha, umeona eehKumbe na ww umemshtukia eeh 😀😀
Mkuu,Pamoja na kupenda kujisomea nikiwa sekondari hicho kitabu sikuwai kukutana nacho ndiyo maana nikauliza.
Wewe bwana mdogo hebu tulia kwanza nimalizane na hawa ndugu zangu wawili.Kumbe na ww umemshtukia eeh 😀😀
Je huyu Malkia mwanamke ndiyo yule aliye kwenye Quran, Surat An Naml (20 - 44)?Mekeda au Bilkis alitawala kipindi ambacho ufalme wa Sheba ulikuwa ndiyo unatawala hadi ufalme wa Misri.
Ndiyo maana alivyoenda kwa Suleimani alitambulishwa kama Malkia wa Misri na Sheba. Mekeda alienda kumjaribu Mfalme Suleimani kwasababu kipindi hicho kabla ya Suleimani kuwa mfalme, yeye ndiyo alikuwa anasifika kwa Utajiri na Akili nyingi hapa duniani. Kwenda kule alichokiona kilimfanya abaki mdomo wazi tu na kwasababu alikuwa hana mwanaume akaona ni vyema kabisa azae na Suleimani ndiyo wakamzaa Mfalme Menelik I au David II.
Ikumbukwe mfalme Suleimani mbali na kuwa na mali nyingi sana.
Sehemu kubwa ya utajiri wake ilikuwa ni Urithi kutoka kwa baba yake Mfalme Daudi. Lile hekalu na kasri lake la kifalme vilikuwa ni utajiri ulioachwa na Daudi. Mfano mzuri tu Daudi alianga madini ya thamani kwa ajili ya kujengea hekalu ambapo katika kiwango cha leo gharama yake ilikuwa ni 20 Billion USD ambazo ni sawa na Trillion 40 na ushee (Bajeti ya nchi kwa miaka 2 hivi). Sasa Malkia wa Sheba kuona haya akawa mpole tu. Nebukadrezza na Farau walivyovamia Israel walipata utajiri mwingi sanaaa.
Huyo Cleopatra huwa simhesabii sana kama Malkia wa Afrika kwasababu alikuwa ni Mgiriki.
Baada ya Alexander kufa na ufalme wake kugawanyika vipande vinne, jemedari wa Alexander aitwaye Ptolemy ndiyo alipewa Misri (Kemet) atawale. Sasa Cleopatra ni mzao wa Ptolemy ndiyo maana mimi huwa sipendi kumchukulia kama mmisri asilia. Japo hata hivyo zaidi ya kutumia ngono kuwalaghai wanaume wa Kirumi alikuwa hana cha ziada kama hawa wakina Mekeda na Amanirenas.
Hiyo Surat inamzungumziaje ?Je huyu Malkia mwanamke ndiyo yule aliye kwenye Quran, Surat An Naml?
daaah jf raha sanaaaaMekeda au Bilkis alitawala kipindi ambacho ufalme wa Sheba ulikuwa ndiyo unatawala hadi ufalme wa Misri.
Ndiyo maana alivyoenda kwa Suleimani alitambulishwa kama Malkia wa Misri na Sheba. Mekeda alienda kumjaribu Mfalme Suleimani kwasababu kipindi hicho kabla ya Suleimani kuwa mfalme, yeye ndiyo alikuwa anasifika kwa Utajiri na Akili nyingi hapa duniani. Kwenda kule alichokiona kilimfanya abaki mdomo wazi tu na kwasababu alikuwa hana mwanaume akaona ni vyema kabisa azae na Suleimani ndiyo wakamzaa Mfalme Menelik I au David II.
Ikumbukwe mfalme Suleimani mbali na kuwa na mali nyingi sana.
Sehemu kubwa ya utajiri wake ilikuwa ni Urithi kutoka kwa baba yake Mfalme Daudi. Lile hekalu na kasri lake la kifalme vilikuwa ni utajiri ulioachwa na Daudi. Mfano mzuri tu Daudi alianga madini ya thamani kwa ajili ya kujengea hekalu ambapo katika kiwango cha leo gharama yake ilikuwa ni 20 Billion USD ambazo ni sawa na Trillion 40 na ushee (Bajeti ya nchi kwa miaka 2 hivi). Sasa Malkia wa Sheba kuona haya akawa mpole tu. Nebukadrezza na Farau walivyovamia Israel walipata utajiri mwingi sanaaa.
Huyo Cleopatra huwa simhesabii sana kama Malkia wa Afrika kwasababu alikuwa ni Mgiriki.
Baada ya Alexander kufa na ufalme wake kugawanyika vipande vinne, jemedari wa Alexander aitwaye Ptolemy ndiyo alipewa Misri (Kemet) atawale. Sasa Cleopatra ni mzao wa Ptolemy ndiyo maana mimi huwa sipendi kumchukulia kama mmisri asilia. Japo hata hivyo zaidi ya kutumia ngono kuwalaghai wanaume wa Kirumi alikuwa hana cha ziada kama hawa wakina Mekeda na Amanirenas.
HAKUNA WANAWAWAKE WALAINI KAMA WANAWAKE WANOONEKANA NA WANAUME WENGINE KUWA NI WAGUMU!
chukua hiyo na usiiiache !
huyo akifika kwa jamaa yake hakiiiiii hutaamini alivyo meek and mesmerized!
Na akawakagua ndege, na akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?Hiyo Surat inamzungumziaje ?
Maneno mengine yamekata.Na akawakagua ndege, na akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?
Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.
Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa.
Nimemkuta yeye na watu wake wanalisujudia jua badala ya Mwenyezi Mungu; na Shet'ani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia Njia. Kwa hivyo hawakuongoka,
Na hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyo fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza.
Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi tukufu..
Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo.
Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
(Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu.
Imetoka kwa Sulaiman nayo ni: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri.
Akasema: Enyi wahishimiwa! Nipeni shauri katika jambo langu hili, kwani mimi sikati shauri yoyote mpaka mhudhurie.
Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama ni nini unaamrisha.
Nimeangalia filamu yake jana ya huyu jamaa, japo hawajaeleza yote. Kama hiki kitabu unacho naomba ukiweke hapaHistoria ipi mkuu ???
Mimi sijaisoma huko mkuu wangu.
Nilisoma kwenye vitabu vya Historia nikiwa Sekondari "The Fall of Alexander of Macedonia"
Wewe bwana mdogo una mzaha sana,Nimeangalia filamu yake jana ya huyu jamaa, japo hawajaeleza yote. Kama hiki kitabu unacho naomba ukiweke hapa
Hahaaaa 20yrs agoo duuh..Wewe bwana mdogo una mzaha sana,
Yaani kitabu nilichosoma miaka zaidi ya 20 iliyopita nikiweke hapa kweli ??? (You can't be serious)