Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Kwenye falsafa ya Ujerumani hata kabla ya Hitler kuwepo kuna kitu wanakiita The Volk-Geist wakimaaisha Volk kama People na Geist ni Spirit/Ghost. Hii falsafa inadai kwamba ili mtu ailewa Ujerumani ni lazima awe ni mtu wa jamii hiyo. Wakina Von Savigny ndiyo waliipigia sana debe hii kitu.

Falsafa hii ndiyo ilitumiwa kusema kwamba the Germany command of good art is Ruined by the Jewish art. Na haikuishia hapo tu, hadi kwenye sheria wakaleta kitu kinatwa Historical Jurisprudence na mambo mengine mengi tu.

Baada ya vita ya pili ya dunia hii falsafa ilipigwa marufuku kwasababu ndiyo iliwafundisha wajerumani ubaguzi na kujenga mazingira ya kuwepo watu kama Adolf Hitler.

NB: Bahati mbaya sanaa, mimi nilifundishwa hii kitu darasani na nikafanyia kabisa mtihani. Siyo ya kutisha sana lakini inajenga dhana kwamba jamii moja haitakiwi kabisa kuingiliana na nyingine.
Ni kweli ni falsafa mbaya lakini sijui ni kwa mahaba ya dini au kufungwa maana waafrika hatulioni kabisa ila hata baadhi ya vitabu vya dini vinakubaliana na hili la kubaguana na kutokuingiliana na hata utumwa inasupport hili suala linanipa maswali sana ila ntalifungulia uzi mwingine ili wasije wafia dini wakaja kuuchafua huu uzi tukahamisha mjadala but kiukweli kwa namna fulani hizi imani zimetudhoofisha sana uwezo wa kufkiri sisi ngozi nyeusi
 
D84CEAE1-2118-4E7C-9B04-A2B05218AB0E.jpeg
37012B6F-0CB6-41B1-8ABB-FD905E38A53B.jpeg
D84CEAE1-2118-4E7C-9B04-A2B05218AB0E.jpeg
37012B6F-0CB6-41B1-8ABB-FD905E38A53B.jpeg
D84CEAE1-2118-4E7C-9B04-A2B05218AB0E.jpeg
 
Afrika haiwezi kuendele kwa sababu hatumjui adui yetu. Siku bara zima raia wake wakimtambua adui yao ndio hapo mapinduzi ya kweli ya bara la Africa yatapatikana. Ila wazungu nao wanajitahidi kwa kila njia tusimjue adui, ndio maana wanasimamia kupunguza idadi ya waafrika, maana wanaogopa mkija bumbuluka na mlivyo wengi watawaangamiza. Pia wazungu wametuletea vyama vya siasa ili tusimjue adui yetu, we shangaa hapa vyama vya siasa vinafadhiliwa na wazungu, ila sisi waafrika ndio tunagombana sababu ya vyama, sasa wewe hujiulizi kwanini hawa wazungu wanaofadhiri hivyo vyama hawagombani, ie mfadhiri wa chama kimoja akagombana na mfadhiri wa chama kingine. Tutajikwamua pale tu kilu muafrika hasa wasomi wakianza kufikiri nje ya box.
 
Sijui ni lini ngozi nyeusi tutarudi kuwa na nguvu hivi maana rasilimali zote tunazo na nguvu kazi tunazo ila kuna eneo tulipwaya hadi kuacha mwanya kwa hawa wazungu kutuburuza mpaka leo ila naamini ni jambo la wakati tu tukijitambua na kurudi katika misingi yetu ya asili bila ya kuendeshwa na western mentality and leadership style pamoja na kuungana tutarudi tunapotakiwa kuwa
Mkuu jukwaa la kimataifa kulikiwa na uzi wa Rwanda nilitamani kupata maoni yako,ila ulikuwa kimya sujui haukuona?
 
Mkuu jukwaa la kimataifa kulikiwa na uzi wa Rwanda nilitamani kupata maoni yako,ila ulikuwa kimya sujui haukuona?
Naomba unitag ,ukitaja kigoma,Rwanda, Congo,Tabora au Ngara ,unakua umenigusa sana sana
Naskia kati ya Rwanda au Kigoma pia kulikuwa na queen mmoja strong sana,jina nimelisahau
 
Shida ya historia za ndani hazitunzwi hata ukitaka kuisoma hujui unaipatia wapi wala unaanzia wapi ila wenzetu wana maktaba kubwa za mitandaoni zenye historia za mashujaa wao ndio maana ni rahisi kupata hizi historia..... Changamoto ndio hiyo
Tafuta vitabu vya oral history ya tz vimeandika
 
Back
Top Bottom