Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Mkuu kwani kwa mujibu wa historia Yesu alikua Race gani? Na wa taifa lipi?
Hatumuabudu Yesu mzungu, Tunamuabudu Yesu Kristo mkuu
Description ya Yesu mnayemwabudu kwenye michoro ya waroma ni Mzungu.
Blonde Caucasian with blue Eyes: These facts matter so much in the study of history.
Nifahamuvyo mimi ni kwamba Yesu wa Nazareti hakuwa Mzungu bali alikuwa ni Myahudi.
 
Napenda sana mambo hayo mkuu. Kama ni softcopy waweza uplod hapa au kwa email...
sina soft copy lkn naona kinauzwa[emoji116]
Screenshot_20180727-142914.jpg
 
Nauliza uyahudi aliokua nao Yesu
Wale walikuwa mchanganyiko.
Kama wana wa Mussa walikuwa wana weusi kwasababu mama yao Zippora alikuwa mweusi. Manase na Efraimu walikuwa wana weusi kwasababu mama yao Asenati alikuwa ni mmisri wa Kemet. Ushahidi mwingine ni wale Wayahudi wa Ethiopia kabila la Dan ni weuso tiii lakini bado ni wahebrania.....

NB: Kumbuka siyo kila Semitic amekaa kama mwarabu au mhindi. Kuna watu Semitic lakini ni weusi tiii, kama kabila la Wairaqwi kule Manyara. Wale siyo Hamitic kama tulivyo wabantu lakini ni wuesi
 
Last edited:
Wale walikuwa mchanganyiko.
Kama wana wa Mussa walikuwa wana weusi kwasababu mama yao Zippora alikuwa mweusi. Manase na Efraimu walikuwa wana weusi kwasababu mama yao Asenati alikuwa ni mmisri wa Kemet. Ushahidi mwingine ni wale Wayahudi wa Ethiopia kabila la Dan ni weuso tiii lakini bado ni wahebrania.....
Kwani Yesu alitokea kabilaa dani mbona unatolea mfano kwa hao? Kwa unavyofahamu wewe Yesu alikua rangi ipi mkuu?
 
Kusema ukweli mambo ni mengi sana ambayo tunapaswa kuyajua lakini bahati isio kua njema hatuyajui.
Shukrani kwako mleta mada kila siku nakupa saluti kwa mchango wako hapa JF haswa Jamii intelligence.
Lakini pia shukrani za kipekee kwa wadau kwa michango ambayo inaipa mada husika thamani.

Kwa habari ya huyu mwana mama ni moa kati ya wanawake wachache waliofanya kitu chakipekee tofauti na na wengine na kuondoa ile dhana ya mwanamke ni kuzaa na kulea tuu, japokua jukumu hilo kamwe kwa mwanamke halimkwepi.

Lakini pia tunazidi kujua africa si kama vile tulioamniashwa kwenye vitabu vya historia. Nadhani sasa ni wakati wa africa kuamka pale tulipo angukia na kuendelea japo tumebaki nyuma sana lakini haitalingana na kuendelea kubakia hapa tulipo.

Mkuu Malcom Lumumba kuhusu post yako #45 imeniacha njia panda japo imenitafakarisha sana kuhusu dini. Lakini sina la kusema maana mimi nimeamini na katka imani ninatumaini. Sasa inapokuja changamoto kama hii kuhusu dini maswali yakua kua mengi yasio na majibu.
Kama ndio hivyo ulivyosema je Mungu nafasi yake katika kuzuia hilo iko wapi? au ndio kusema ni idhini yake iwe hivyo? kwa sisi africa tudanganywe kuhusu yeye? Na mwisho wa huu uwongo utakua ni lini?

Nipende kuwatakieni kila jema na wepesi katika mambo yote. Tusichoke kuhabarishana chochote tukipatacho bila kuchoka huwenda siku moja haitakua hivi ilivyo leo.
 
Wale walikuwa mchanganyiko.
Kama wana wa Mussa walikuwa wana weusi kwasababu mama yao Zippora alikuwa mweusi. Manase na Efraimu walikuwa wana weusi kwasababu mama yao Asenati alikuwa ni mmisri wa Kemet. Ushahidi mwingine ni wale Wayahudi wa Ethiopia kabila la Dan ni weuso tiii lakini bado ni wahebrania.....

NB: Kumbuka siyo kila Semitic amekaa kama mwarabu au mhindi. Kuna watu Semitic lakini ni weusi tiii, kama kabila la Wairaqwi kule Manyara. Wale siyo Hamitic kama tulivyo wabantu lakini ni wuesi

Hapo kwenye semitic sijawaelewa ni jamii ipi na vile vile hamitic nayo sijawahi kuielewa.
Baba yangu ni mtanzania mwenye uraia wa rwanda. Alisawahi kuniambia sisi watoto wake ni hamit sio wabantu. Nikatafuta maana ya hayo ila sikuelewa sana embu shusha vitu
 
Kwani Yesu alitokea kabilaa dani mbona unatolea mfano kwa hao? Kwa unavyofahamu wewe Yesu alikua rangi ipi mkuu?
Hujawahi kuwaona Wayahudi weusi ??
Mfalme Daudi (Myahudi) alikuwa na weusi kama ule wa waethiopia.
Kuna Professor Mzungu kutoka chuo cha Chicago aliwahi kusema kauli tata "David was Black"
Unashangaa hili tu ??? Dogo sana kwa haya nitakayokwambia hapa chini!

Warumi walivyofika India na kukuta kanisa lililojengwa na Mtakatifu Thomaso,
Picha ya ukutani ilionyesha Yesu akiwa na rangi nyeusi na amezungukwa na baadhi ya mitume wenye rangi nyeusi.
Warumi kuona hivyo Papa na Maaskofu wakaamua kufanya yao kufunika ukweli wa mambo dunia isifahamu kabisaa.

Raisi wa Misri Gamal Abdi Nasser
Aliwahi kusema haya kuhusu hawa Wayahudi wa siku hizi baada ya kurudi mwaka 1948,
"You left here black, but returned so white. We cannot accept that" haya ni maneno mazito ambayo waarabu wenyewe waliopigana na Wayahudi kwa muda mrefu na kuwafukuza kabisa pale kipindi cha Salahadeen ndiyo wanaufahamu ukweli wa mambo. Lakini wayahudi weusi wapo wengi tu, tembea uwaone. Ndiyo maana leo hii nasema Mtume Paulo hakufanana na Spielberg au Benjamin Neyanyahu kwasababu wayahudi wa leo wengi wao ni wazungu kabisa hadi nashangaaa mimi.
 
Hujawahi kuwaona Wayahudi weusi ??
Mfalme Daudi (Myahudi) alikuwa na weusi kama ule wa waethiopia.
Kuna Professor Mzungu kutoka chuo cha Chicago aliwahi kusema kauli tata "David was Black"
Unashangaa hili tu ??? Dogo sana kwa haya nitakayokwambia hapa chini!

Warumi walivyofika India na kukuta kanisa lililojengwa na Mtakatifu Thomaso,
Picha ya ukutani ilionyesha Yesu akiwa na rangi nyeusi na amezungukwa na baadhi ya mitume wenye rangi nyeusi.
Warumi kuona hivyo Papa na Maaskofu wakaamua kufanya yao kufunika ukweli wa mambo dunia isifahamu kabisaa.

Raisi wa Misri Gamal Abdi Nasser
Aliwahi kusema haya kuhusu hawa Wayahudi wa siku hizi baada ya kurudi mwaka 1948,
"You left here black, but returned so white. We cannot accept that" haya ni maneno mazito ambayo waarabu wenyewe waliopigana na Wayahudi kwa muda mrefu na kuwafukuza kabisa pale kipindi cha Salahadeen ndiyo wanaufahamu ukweli wa mambo. Lakini wayahudi weusi wapo wengi tu, tembea uwaone. Ndiyo maana leo hii nasema Mtume Paulo hakufanana na Spielberg au Benjamin Neyanyahu kwasababu wayahudi wa leo wengi wao ni wazungu kabisa hadi nashangaaa mimi.
Yawezekana Climate factor inachangia mkuu ndo maana wanakua weupe(kama walikua weusi)
Mkuu hayo mambo ya kwamba wazungu walibomoa sanamu za Mary na Yesu wakiwa weusi hua naona ni chai tu maana sijaona ushahidi wa hiko kitu. Mkuu naomba vigezo vinavyokufanya um-term Yesu kua ni black.
 
Back
Top Bottom