Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Mkuu zitto junior kwenye hii vita Amanirenas alipigana na Wagiriki siyo Warumi.
Alipigana na Mfalme Alexander mkuu wa Makedonia baada ya kuvamia Egypt (Kemet) karne ya 332 BC.
Prof John Henrik Clarke ndiyo aliyeandika vizuri hili tukio na kusema kwenye vita Amanirenas alitolewa jicho moja.
Kwenye mkataba wa Amani aliwatishia wajumbe wa Alexander kwamba akirudi tena atamkata kichwa na kukutundika juu.
Alikuwa vizuri vipi Queen Sheeba? Tulikuwa na Cleopatra pia
 
Alikuwa vizuri vipi Queen Sheeba? Tulikuwa na Cleopatra pia
Mekeda au Bilkis alitawala kipindi ambacho ufalme wa Sheba ulikuwa ndiyo unatawala hadi ufalme wa Misri.
Ndiyo maana alivyoenda kwa Suleimani alitambulishwa kama Malkia wa Misri na Sheba. Mekeda alienda kumjaribu Mfalme Suleimani kwasababu kipindi hicho kabla ya Suleimani kuwa mfalme, yeye ndiyo alikuwa anasifika kwa Utajiri na Akili nyingi hapa duniani. Kwenda kule alichokiona kilimfanya abaki mdomo wazi tu na kwasababu alikuwa hana mwanaume akaona ni vyema kabisa azae na Suleimani ndiyo wakamzaa Mfalme Menelik I au David II.

Ikumbukwe mfalme Suleimani mbali na kuwa na mali nyingi sana.
Sehemu kubwa ya utajiri wake ilikuwa ni Urithi kutoka kwa baba yake Mfalme Daudi. Lile hekalu na kasri lake la kifalme vilikuwa ni utajiri ulioachwa na Daudi. Mfano mzuri tu Daudi aliacha madini ya thamani kwa ajili ya kujengea hekalu ambapo katika kiwango cha leo gharama yake ilikuwa ni 20 Billion USD ambazo ni sawa na Trillion 40 na ushee (Bajeti ya nchi kwa miaka 2 hivi). Sasa Malkia wa Sheba kuona haya akawa mpole tu. Nebukadrezza na Farau walivyovamia Israel walipata utajiri mwingi sanaaa.

Huyo Cleopatra huwa simhesabii sana kama Malkia wa Afrika kwasababu alikuwa ni Mgiriki.
Baada ya Alexander kufa na ufalme wake kugawanyika vipande vinne, jemedari wa Alexander aitwaye Ptolemy ndiyo alipewa Misri (Kemet) atawale. Sasa Cleopatra ni mzao wa Ptolemy ndiyo maana mimi huwa sipendi kumchukulia kama mmisri asilia. Japo hata hivyo zaidi ya kutumia ngono kuwalaghai wanaume wa Kirumi alikuwa hana cha ziada kama hawa wakina Mekeda na Amanirenas.
 
Last edited:
Mi
Mkuu zitto junior kwenye hii vita Amanirenas alipigana na Wagiriki siyo Warumi.
Alipigana na Mfalme Alexander mkuu wa Makedonia baada ya kuvamia Egypt (Kemet) karne ya 332 BC.
Prof John Henrik Clarke ndiyo aliyeandika vizuri hili tukio na kusema kwenye vita Amanirenas alitolewa jicho moja.
Kwenye mkataba wa Amani aliwatishia wajumbe wa Alexander kwamba akirudi tena atamkata kichwa na kukutundika juu.

Jambo jingine muhimu kukumbuka ni kwamba huyu siyo wa kwanza kupigana na mataifa makubwa.
Wakushi wa zamani/Wasudan/Waethiopia/Wasomali wa leo walivamiwa na mfalme Cambyses (Mtoto wa Koreshi Mkuu) wa Umedi na Uajemi lakini wao pia walimshinda. Waajemi walikuwa hawana utaalamu wa kupigana vita kwenye jangwa na mlimani, sasa ukisoma vizuri historia wanakwambia Wakushi ndiyo walikuwa wataalamu wa kupiga mishele. Wakushi walijificha kwenye mchanga wa jangwa na waajemi walivyochoka walianza kuwapiga mishale. Wenyewe wanasema walikuwa na shabaha wakawa wanalenga kichwani na machoni tu. Waajemi baada ya kuzidiwa wakaamua kukimbia.

Baada ya hii vita Wafalme wa Misri na Uajemi walikuwa wanakuja kuwakodi wapiga mishale kutoka kwenye Kush kwenda kupigana vita zao. Mfalme Dario na Ahasuero (Artaxerxes) walikuwa wanafanya hivi sana......

Soma hapa:Cambyses - Encyclopedia
Mid kibeseni3 natajilika tu na historian, let's nyingine niongeze utajilisi
 
Kwa ufupi tu Malkia Candace Amanirenas ama KENDAKE alikuwa malkia wa ethiopia ya kale yaani KUSH EMPIRE ambayo kwa kipindi hicho utawala wa meroe ulikuwa Sudan ya sasa.

Alitawala kuanzia 40 BC mpaka 10 BC. Alijizolea umaarufu mkubwa baada ya kuwa kiongozi imara mwanamke shujaa ambaye aliweza kuitawala dola kubwa bila mfalme hivyo kujijengea heshima kubwa.

Mwanamama huyu alikuwa na jicho moja tu baada ya jingine kuwa limetoboka wakati wa moja ya vita na warumi ila pamoja na hayo bado alikuwa na uwezo mkubwa sana kwenye uwanja wa vita na alipigana kishujaa bila uoga.

View attachment 819834

UMAARUFU WAKE

Alijizolea umaarufu baada ya kuiongoza KUSH kwenye vita iliyodumu kwa miaka 5 yaani 27-22 BC dhidi ya Roman empire waliokuwa wameitawala dunia ya wakati huo na kwa muda huo walikuwa wameitawala misri.

Baada ya vita kali wazungu hao walipigwa na kufurushwa kutoka misri ya kusini kwa kuteka miji muhimu ya Syrene, Philae, na Elephantina, ila baadae warumi wakajipanga na wakarudi vitani na walipoona vita inawadhoofu mwishoni wakaamua kuheshimu mipaka ya wakush hao na wakasaini mkataba wa amani hivyo ushindi huu uliodhihirisha nguvu ya mtu mweusi kupinga ubeberu na ubabe wa wazungu.

Ni tukio la kishujaa sana na limemzolea mwanamama huyu umaarufu mkubwa ukizingatia Dola ya Rumi ilikuwa ndio yenye nguvu na kuogopeka sana wakati huo ni sawa na Marekani ya sasa.

HITIMISHO
Ingawa historia za namna hii hazifundushwi mashuleni tunaishia kufundishwa tu kuhusu ukoloni na jinsi tulivyopigwa kwenye majimaji resistance!!!

Ni wakati umefika sasa historia za namna hii zitunzwe na kuelezwa ili waafrika tuache kuwa na inferiority complex kwa wazungu na kuaminishwa hakuna tunaloweza wakati miaka ya nyuma tuliwahi kuwa na falme zetu zenye dola kamili inayojiendesha kwa mifumo thabiti bila kuomba misaada kwa wazungu.

AFRIKA TUAMKE

Wenye kujua zaidi kuhusu malkia huyu wa shoka mtiririke tuzidi kujifunza

View attachment 819835
Hakuwa na mme
 
Mkuu zitto junior kwenye hii vita Amanirenas alipigana na Wagiriki siyo Warumi.
Alipigana na Mfalme Alexander mkuu wa Makedonia baada ya kuvamia Egypt (Kemet) karne ya 332 BC.
Prof John Henrik Clarke ndiyo aliyeandika vizuri hili tukio na kusema kwenye vita Amanirenas alitolewa jicho moja.
Kwenye mkataba wa Amani aliwatishia wajumbe wa Alexander kwamba akirudi tena atamkata kichwa na kukutundika juu.

Jambo jingine muhimu kukumbuka ni kwamba huyu siyo wa kwanza kupigana na mataifa makubwa.
Wakushi wa zamani/Wasudan/Waethiopia/Wasomali wa leo walivamiwa na mfalme Cambyses (Mtoto wa Koreshi Mkuu) wa Umedi na Uajemi lakini wao pia walimshinda. Waajemi walikuwa hawana utaalamu wa kupigana vita kwenye jangwa na mlimani, sasa ukisoma vizuri historia wanakwambia Wakushi ndiyo walikuwa wataalamu wa kupiga mishele. Wakushi walijificha kwenye mchanga wa jangwa na waajemi walivyochoka walianza kuwapiga mishale. Wenyewe wanasema walikuwa na shabaha wakawa wanalenga kichwani na machoni tu. Waajemi baada ya kuzidiwa wakaamua kukimbia.

Baada ya hii vita Wafalme wa Misri na Uajemi walikuwa wanakuja kuwakodi wapiga mishale kutoka kwenye Kush kwenda kupigana vita zao. Mfalme Dario na Ahasuero (Artaxerxes) walikuwa wanafanya hivi sana......

Soma hapa:Cambyses - Encyclopedia
Prof.John Henrik Clarke and Prof.Ben Yosef Jochannan..R.I.P GRAND MASTERS AND MY MENTORS
 
Kwa ufupi tu Malkia Candace Amanirenas ama KENDAKE alikuwa malkia wa ethiopia ya kale yaani KUSH EMPIRE ambayo kwa kipindi hicho utawala wa meroe ulikuwa Sudan ya sasa.

Alitawala kuanzia 40 BC mpaka 10 BC. Alijizolea umaarufu mkubwa baada ya kuwa kiongozi imara mwanamke shujaa ambaye aliweza kuitawala dola kubwa bila mfalme hivyo kujijengea heshima kubwa.

Mwanamama huyu alikuwa na jicho moja tu baada ya jingine kuwa limetoboka wakati wa moja ya vita na warumi ila pamoja na hayo bado alikuwa na uwezo mkubwa sana kwenye uwanja wa vita na alipigana kishujaa bila uoga.

View attachment 819834

UMAARUFU WAKE

Alijizolea umaarufu baada ya kuiongoza KUSH kwenye vita iliyodumu kwa miaka 5 yaani 27-22 BC dhidi ya Roman empire waliokuwa wameitawala dunia ya wakati huo na kwa muda huo walikuwa wameitawala misri.

Baada ya vita kali wazungu hao walipigwa na kufurushwa kutoka misri ya kusini kwa kuteka miji muhimu ya Syrene, Philae, na Elephantina, ila baadae warumi wakajipanga na wakarudi vitani na walipoona vita inawadhoofu mwishoni wakaamua kuheshimu mipaka ya wakush hao na wakasaini mkataba wa amani hivyo ushindi huu uliodhihirisha nguvu ya mtu mweusi kupinga ubeberu na ubabe wa wazungu.

Ni tukio la kishujaa sana na limemzolea mwanamama huyu umaarufu mkubwa ukizingatia Dola ya Rumi ilikuwa ndio yenye nguvu na kuogopeka sana wakati huo ni sawa na Marekani ya sasa.

HITIMISHO
Ingawa historia za namna hii hazifundushwi mashuleni tunaishia kufundishwa tu kuhusu ukoloni na jinsi tulivyopigwa kwenye majimaji resistance!!!

Ni wakati umefika sasa historia za namna hii zitunzwe na kuelezwa ili waafrika tuache kuwa na inferiority complex kwa wazungu na kuaminishwa hakuna tunaloweza wakati miaka ya nyuma tuliwahi kuwa na falme zetu zenye dola kamili inayojiendesha kwa mifumo thabiti bila kuomba misaada kwa wazungu.

AFRIKA TUAMKE

Wenye kujua zaidi kuhusu malkia huyu wa shoka mtiririke tuzidi kujifunza

View attachment 819835
TUANSHUKURU SANA ILA NA NYIE WAALIMU NA WATU WA KWENYE SEKTA YA ELIMU, MNATAKIWA KULITAZAMA ILI JAMBO KWA JICHO LINGINE KAMA NILIVO GUSIA HAPO AWALI KUWA MATATIZO YA ELIMU HAYAPO KWA WATOTO ILA MITAALA YETU HAYA HUKU CHINI NI KUFUNDISHANANI UWOGA NA UDHAIFU(INFERIORITY) HUWEZI TENGENEZA MASHUJAAA WENYE UHURU WA AKILI NA KIMAWAZO KAMA MIZIZI YAKE HUJENGWA KWA HISTORIA DHAIFU INAYOMWONESHA KUWA YEYE KAMWE KATIKA DUNIA HII WATU WAKE HAWAJAWAI KUTHUBUTU WALA KUSHINDA KITU.........INASIKITISHA SANA NA TUTAPATA TABU SANA MPAKA HAO WAZEE WA ENZI WA UKOLONI NA WENYE MINDSET YA KARNE YA 19 NA 20 WATOKE WALIKO NA WAACHIE WATU WENYE MAWAZO MAPYA KAMA KAGAME/MAGU WALAU.
 
Prof Clarke alikuwa legendary sana, ukimsikiliza unafurahi.
Kuna moja anaitwa Cheikh Anta Diop unampata mzee ???
kuna rafiki mmoja aliwahi kunieleza kuhusu huyu ila aliniambia sio mzuri kwenye english,anaongea sana kifaransa
itabidi nimsake baadae,inaonekana ana madini that's why anapata endorsements
 
Mkuu zitto junior kwenye hii vita Amanirenas alipigana na Wagiriki siyo Warumi.
Alipigana na Mfalme Alexander mkuu wa Makedonia baada ya kuvamia Egypt (Kemet) karne ya 332 BC.
Prof John Henrik Clarke ndiyo aliyeandika vizuri hili tukio na kusema kwenye vita Amanirenas alitolewa jicho moja.
Kwenye mkataba wa Amani aliwatishia wajumbe wa Alexander kwamba akirudi tena atamkata kichwa na kukutundika juu.

Jambo jingine muhimu kukumbuka ni kwamba huyu siyo wa kwanza kupigana na mataifa makubwa.
Wakushi wa zamani/Wasudan/Waethiopia/Wasomali wa leo walivamiwa na mfalme Cambyses (Mtoto wa Koreshi Mkuu) wa Umedi na Uajemi lakini wao pia walimshinda. Waajemi walikuwa hawana utaalamu wa kupigana vita kwenye jangwa na mlimani, sasa ukisoma vizuri historia wanakwambia Wakushi ndiyo walikuwa wataalamu wa kupiga mishele. Wakushi walijificha kwenye mchanga wa jangwa na waajemi walivyochoka walianza kuwapiga mishale. Wenyewe wanasema walikuwa na shabaha wakawa wanalenga kichwani na machoni tu. Waajemi baada ya kuzidiwa wakaamua kukimbia.

Baada ya hii vita Wafalme wa Misri na Uajemi walikuwa wanakuja kuwakodi wapiga mishale kutoka kwenye Kush kwenda kupigana vita zao. Mfalme Dario na Ahasuero (Artaxerxes) walikuwa wanafanya hivi sana......

Soma hapa:Cambyses - Encyclopedia
Sijui ni lini ngozi nyeusi tutarudi kuwa na nguvu hivi maana rasilimali zote tunazo na nguvu kazi tunazo ila kuna eneo tulipwaya hadi kuacha mwanya kwa hawa wazungu kutuburuza mpaka leo ila naamini ni jambo la wakati tu tukijitambua na kurudi katika misingi yetu ya asili bila ya kuendeshwa na western mentality and leadership style pamoja na kuungana tutarudi tunapotakiwa kuwa
 
Sijui ni lini ngozi nyeusi tutarudi kuwa na nguvu hivi maana rasilimali zote tunazo na nguvu kazi tunazo ila kuna eneo tulipwaya hadi kuacha mwanya kwa hawa wazungu kutuburuza mpaka leo ila naamini ni jambo la wakati tu tukijitambua na kurudi katika misingi yetu ya asili bila ya kuendeshwa na western mentality and leadership style pamoja na kuungana tutarudi tunapotakiwa kuwa
Walituweza kwa sababu ya kueneza dini ya vitabuni iliokuja kutupa woga,utii na kuwasujudu wao tu kwa sababu wametumia zaidi waeneza dini wa kale waliokuwa kwao tu huku watu kama kina Kadili walioneza dini sambamba na kina Mohamad wakifichwa kabisa tusiwajue
 
Napenda wanawake wababe...
Kama hao.
Hivi unajua alieficha hii historia ya watu weusi kwa kiasi kikibwa ni Kanisa Katoliki chini ya Papa Julius wa Pili ???
Alimtuma Michael Angelo achore upya michoro ya Yesu mzungu na mama yake, na siyo kutumia ile michoro ya zamani al maarufu kama The Black Madonna. Akawadanganya waumini wake kwamba sanamu la Black Madonna lilikuwa jeupe lakini kuna nyota ilishuka karne ya 16 na kubadilisha sanamu kuwa jeusi. Haya ni maneno ya Dr Yosef ben Jochannan

Hata hivyo naomba nikuulize swali lifuatalo:
Hivi kwanini Wakatoliki mnamwabudu Yesu Mzungu ??? Ndugu Kudo na zitto junior naomba mtusaidie hapa.

NB: Hili siyo swali la kidini bali la kihistoria, sawa na kusema Mtume Muhammad S.A.W alikuwa na wake wangapi.
 
Last edited:
Back
Top Bottom