zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
- #41
Mkuu @palantir naona umerudisha ID yako ya zamani maana kila nkikutag naona haisomi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu @palantir naona umerudisha ID yako ya zamani maana kila nkikutag naona haisomi
Aseee hili swali zito sana ngoja nisubiri kwanza mkatoliki pure Da'Vinci na SALA NA KAZI walijibu kwanzaHivi unajua alieficha hii historia ya watu weusi kwa kiasi kikibwa ni Kanisa Katoliki chini ya Papa Julius wa Pili ???
Alimtuma Michael Angelo achore upya michoro ya Yesu mzungu na mama yake, na siyo kutumia ile michoro ya zamani al maarufu kama The Black Madonna. Akawadanganya waumini wake kwamba sanamu la Black Madonna lilikuwa jeupe lakini kuna nyota ilishuka karne ya 16 na kubadilisha sanamu kuwa jeusi. Haya ni maneno ya Dr Yosef ben Jochannan
Hata hivyo naomba nikuulize swali lifuatalo:
Hivi kwanini Wakatoliki mnamwabudu Yesu Mzungu ??? Ndugu Kudo na zitto junior naomba mtusaidie hapa.
NB: Hili ni siyo swali la kidini bali la kihistoria, sawa na kusema Mtume Muhammad S.A.W alikuwa na wake wangapi.
Shida ya historia za ndani hazitunzwi hata ukitaka kuisoma hujui unaipatia wapi wala unaanzia wapi ila wenzetu wana maktaba kubwa za mitandaoni zenye historia za mashujaa wao ndio maana ni rahisi kupata hizi historia..... Changamoto ndio hiyohistoria ya kinjeketile ngwale huijui, unatuletea za watu wa nje
Sijui ni lini ngozi nyeusi tutarudi kuwa na nguvu hivi maana rasilimali zote tunazo na nguvu kazi tunazo ila kuna eneo tulipwaya hadi kuacha mwanya kwa hawa wazungu kutuburuza mpaka leo ila naamini ni jambo la wakati tu tukijitambua na kurudi katika misingi yetu ya asili bila ya kuendeshwa na western mentality and leadership style pamoja na kuungana tutarudi tunapotakiwa kuwa
Hivi kuna maandiko mangapi yaliyotukuka ambayo wanazuoni wa kitanzania wamendika kuhusu Ngwale ???historia ya kinjeketile ngwale huijui, unatuletea za watu wa nje
I loooove wanaume wanaopenda wanawake wababe!Napenda wanawake wababe...
Kama hao.
HAKUNA WANAWAWAKE WALAINI KAMA WANAWAKE WANOONEKANA NA WANAUME WENGINE KUWA NI WAGUMU!Sina uhakika sana kama alikuwa na mme kwa alivyokuwa mwanamke wa shoka kama alikuwa na mme basi "alipata tabu sana" 😀😛
mkuu hizi jamii zilikuwa ni nyeusi au walionekanaje.Malcolm lumumba.Mekeda au Bilkis alitawala kipindi ambacho ufalme wa Sheba ulikuwa ndiyo unatawala hadi ufalme wa Misri.
Ndiyo maana alivyoenda kwa Suleimani alitambulishwa kama Malkia wa Misri na Sheba. Mekeda alienda kumjaribu Mfalme Suleimani kwasababu kipindi hicho kabla ya Suleimani kuwa mfalme, yeye ndiyo alikuwa anasifika kwa Utajiri na Akili nyingi hapa duniani. Kwenda kule alichokiona kilimfanya abaki mdomo wazi tu na kwasababu alikuwa hana mwanaume akaona ni vyema kabisa azae na Suleimani ndiyo wakamzaa Mfalme Menelik I au David II.
Ikumbukwe mfalme Suleimani mbali na kuwa na mali nyingi sana.
Sehemu kubwa ya utajiri wake ilikuwa ni Urithi kutoka kwa baba yake Mfalme Daudi. Lile hekalu na kasri lake la kifalme vilikuwa ni utajiri ulioachwa na Daudi. Mfano mzuri tu Daudi alianga madini ya thamani kwa ajili ya kujengea hekalu ambapo katika kiwango cha leo gharama yake ilikuwa ni 20 Billion USD ambazo ni sawa na Trillion 40 na ushee (Bajeti ya nchi kwa miaka 2 hivi). Sasa Malkia wa Sheba kuona haya akawa mpole tu. Nebukadrezza na Farau walivyovamia Israel walipata utajiri mwingi sanaaa.
Huyo Cleopatra huwa simhesabii sana kama Malkia wa Afrika kwasababu alikuwa ni Mgiriki.
Baada ya Alexander kufa na ufalme wake kugawanyika vipande vinne, jemedari wa Alexander aitwaye Ptolemy ndiyo alipewa Misri (Kemet) atawale. Sasa Cleopatra ni mzao wa Ptolemy ndiyo maana mimi huwa sipendi kumchukulia kama mmisri asilia. Japo hata hivyo zaidi ya kutumia ngono kuwalaghai wanaume wa Kirumi alikuwa hana cha ziada kama hawa wakina Mekeda na Amanirenas.
Waethiopia na Wamisri walikuwa ni weusi.mkuu hizi jamii zilikuwa ni nyeusi au walionekanaje.Malcolm lumumba.
watu wanahangaika kutafuta shetani misikitini na makanisani bila kujua waliozianzisha hizo nyumba za ibada ndio mashetani wenyewe.Waethiopia na Wamisri walikuwa ni weusi.
Lakini kuna wasomi wanadiriki kudanganya na kusema kwamba "Egyptians were not white, but were neither black"
Sasa unabaki unashangaa tu, hivi hawa watu wana akili mbovu kiasi gani. Sijui watu weusi tuliwakosea nini hawa wazungu na waarabu. Maana zamani majina ya nchi yalikuwa yanaelezea vizuri sifa za eneo au watu: Mfano mzuri kabisa jina la Misri ya zamani lilikuwa ni Kemet likimaanisha mchanga mweusi uliongua au nchi ya watu waliongua mikuu.
Neno Egypt limekuja baadae kabisa kwasababu wagiriki walikuwa wanachanganya jina la mji moja wa kibiashara wa
Historia inaonesha kuwa alikuwa na Mumewe aliyeitwa Mfalme Teriteqas, na anaonekana kuwa mchungaji wa malkia mpaka kufa kwake. Pia walikuwa na mtoto wao wa kiume akiitwa Mwana mfalme Akinidad mkuu wa taji (crown prince)Hakuwa na mme
Mzee Jomo Kenyatta (R.I.P) aliwahi kusema hivi:watu wanahangaika kutafuta shetani misikitini na makanisani bila kujua waliozianzisha hizo nyumba za ibada ndio mashetani wenyewe.
Tafadhali nipe saluti baadae ukishajibu swali langu hapo juu....Salute kwako ML..
Mkuu kwani kwa mujibu wa historia Yesu alikua Race gani? Na wa taifa lipi?Hivi unajua alieficha hii historia ya watu weusi kwa kiasi kikibwa ni Kanisa Katoliki chini ya Papa Julius wa Pili ???Hivi kwanini Wakatoliki mnamwabudu Yesu Mzungu ??? Ndugu [alikuwa na wake wangapi.Hapana sifahamu, ilikuaje? Kwanini alificha aisili ya watu weusi? Naomba maelezo mkuu
Ushaanza kuzingua, hebu chuna tumalize kwanza huu uzi halafu hizi sifa tutapeana baadae.Malcom Lumumba naona leo ukiwa katika ubora wako..... Vintage lumumba! kiukweli wwe ni moja ya hazina humu JF kila siku najifunza mambo mapya kupitia post zako
Nimekupa heshima kwa nondo unazotoa ndani ya uzi huuTafadhali nipe saluti baadae ukishajibu swali langu hapo juu....