Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #181
Kuna mamba na kuna kenge nimekuelewa vema[emoji16][emoji1545]Kama simba na ruvu coastal union
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mamba na kuna kenge nimekuelewa vema[emoji16][emoji1545]Kama simba na ruvu coastal union
Hii ni kweli, ila siri hii wanaijua wajanja wachacheKutoa sadaka
kutoa zaka
kusaidia mayatima
kusaidia wajane
KUNAPUNGUZA NGUVU YA KARMA KUKUPIGA KWA NGUVU.
Kuna kitu umejifunza hapa!, short and clear karma ni matendo ovu tunayofafanyia wengine Kwa lugha ingine madhambi tunayofanyanyia wengine. Huu ni mfumo wa nature,tuweke dini pembeni,although upo uwezekano watu wadini wali peak hili wao wakaita dhambi.ndio maana kutubu pekee huwa hakutoshi ni lazima utoe na sadaka.Hii ni kweli, ila siri hii wanaijua wajanja wachache
Sahihi kabisa.. Sadaka ni kama fidiaKuna kitu umejifunza hapa!, short and clear karma ni matendo ovu tunayofafanyia wengine Kwa lugha ingine madhambi tunayofanyanyia wengine. Huu ni mfumo wa nature,tuweke dini pembeni,although upo uwezekano watu wadini wali peak hili wao wakaita dhambi.ndio maana kutubu pekee huwa hakutoshi ni lazima utoe na sadaka.
Uasili kabisa ilikuwa hakuna kusameheana hivi hivi tu,ilikuwa iliusamehewe vizuri ulipaswa kulipa kuku 2,au mbuzi kutokana na ukubwa wa kosa lako! That mean you pay for kufuta KARMA./Sahihi kabisa.. Sadaka ni kama fidia