Malkia Elizabeth kalala kuzimu. Je, karma itachukua mkondo wake?

Malkia Elizabeth kalala kuzimu. Je, karma itachukua mkondo wake?

RAF Northolt ndio alipoletwa Diana na leo Malkia ametua hapo
Nimepita kabla na ulinzi ndani hata alipokuwa hai sio hivyo
Dunia hii
Yaani Bibi katua palepale
20220913_165041.jpg
20220913_165159.jpg
20220913_163934.jpg
 
Alikuwa ni mtumishi wa ngazi ya juu wa shetani akiwa na degree 33 za uchawi. Akivaa mavazi yenye nembo na mapambano ya kichawi vikiwemo crown, pete, ring, mikufu, vyeo. Huyu akutubu kabla ya kifo hawa uamini kwao shetani ni Mungu.

We hz habar ukiambiwa uthibitishe utaweza!??
Uthibisho dhahiri sio uliosimuliwa
 
Duh...!.
Hii sikuwahi kuijua!. Unamaanisha Lady D, Princess of Wales alikuwa kicheche akaleta magendo?!. Please!.
P
Halafu huyo Prince Charles (King Charles III) alikuwa na mahusiano na Camilla hata kabla hajamuoa Diana ilishindikana kumuoa kwa sababu alikuwa ni mwanamke aliyeachika. Siyo kweli eti Malkia ndiye alimwambia Prince Charles awe na Camilla.

Kuhusu hilo la Prince Harry kuwa siyo mtoto wa Prince Charles lilisemwa sana kwa kuwa tu nywele zake nyekundu zinafana na mwanaume aliyedai kuwa alikuwa na uhusiano na Diana. Huyo bwana hata hapa juzi tu baada ya Malkia kufariki alishasema kuwa alifahamiana na Diana Prince Harry akiwa na miaka minne kwa hiyo yeye hawezi kuwa ni Baba ya Harry
 
Mshana jr, umeongea kitu hapo.

Pamoja na utumwa huyu mama Marehemu Malkia alikuwa mtu mwenye roho yake,

Pamoja na kitendo alichomfanyia mkwewe Diana cha kumkataa na kumwambia mwanae amchukue Camilla na Diana awemo tu humo kwenye casri ila asiwe mke wa mwanaye hakikutosha, akamkataa kabisa yule mjukuu yaani mtoto wa Diana.

Vikapimwa vinasaba hata ikajulikana baba wa mtoto nahisi ni baada ya Diana kufa

Wakamtupa jeshini.

Kaoa m marekani mweusi, unaambiwa hilo kasri lina mashangingi ya kizungu yamejaa yakawa yanam disi , kijana kufikia kuhama kwenye kasiri

Ila walikuja kuongea na bibi huku mwishoni.

Huwa nafuatilia hii familia kwa ajili nilim like sana Diana.

All in all marehemu alikuwa katili fulani hivi
Malkia wengi ni makatili kuliko jina Lao linavyoonekana
 
Mkuu, naomba kufundishwa tena historia…… hivi Elizabeth alikuwa malkia mwaka gani tena vile? Kama nakumbuka vizuri it was 1952 February…..
Sasa mkuu utumwa pia uliondolewa (abolishment of slavery business) mwaka 1807 tena na serikali yao ya Uingereza, kwa hiyo sielewi kabisa yeye anapolaumiwa kwa utumwa something hakufanya na she was not even born by then!
Pia kumbuka she’s just a ceremonial heard of state, mwenye maamuzi muhimu pale UK ni prime minister na cabinet yake.
Hata Lancaster House Agreement haikuwa signed kati ya Abel na Malkia…
So sielewi yeye alipromote vip utumwa….please help me kwenye hilo mkuu
Mimi nimeshangaa sana
 
Mkuu Mshana Jr, kwanza asante sana kwa faraja yako.

Pili karma sio imani ya kipagani, ni imani ya dini za Hindu na Budhisim, nakuomba wasio Wakristu na Waislamu tusiwaite wapagani!.

Nikitulia nitapandisha bandiko la shukrani kwa walioniaminia na kunisupport, ila chama changu CCM kimefanya uamuzi wa haki kabisa, kwa hao walioteuliwa CCM, mimi wamenizidi sana kwa sifa na vigezo!.

Ila pia lazima nikubali madhaifu yangu, maama mimi nami...!, inawezekana ni karma ya matendo yangu ya nyuma pia imechangia, its good nimejitambua, not to accumuletes more negative karma, maana hata kwenye yale mambo yetu yale... idadi ya nilio ... kwa ahadi ya ... imepita triple digits!, hivyo you can imagine!.

Kwa mzalendo wa kweli wa nchi yake, kutokuteuliwa kugombea nafasi fulani hakukufanyi ushindwe kuitumikia nchi yako, mimi bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea nikiendelea kuandika na kutangaza, pia ni wakili wa kujitegemea kwa kujitolea kutetea bure masikini na wasio na uwezo wa kuweka wakili.
RIP Queen Liz.
P.
Mkuu Pascal Mayalla naomba nikufate Pm umsaidie kijana anadhurumiwa haki zake
 
Diana kuchafuka anaweza akawa hachafuki kwenye macho ya walimwengu lakini ukweli unabaki kua tofauti kwenye Royal Family kwa required standards of decence, maana maadili yake hayakuendana kabisa na viwango vya familia ya kifalme.

Diana alikua muhuni tu ambaye hakuna familia yoyote ya kifalme chini ya jua ingeweza kumvumila. Her attitude and behaviour were matters of state as per required standards. Hakujua namna ya kuishi kwenye familia kubwa kama ile, akawa mtu wa skendo na na tabia kama za wacheza movie wa Hollywood na Bongo. MI6 & MI5 wasingeweza kumuacha salama, achilia mbali malkia mwenyewe.

And it was resonable Diana wasn't raised to be a Princess pamoja na kwamba alikua anatokea familia nzuri iliyowatoa watu kama akina Winston Churchil lakin bado hakuwa na malezi na maadili yaliyofaa kuwa mke kwenye the most prominent family in UK.

She was just 21 when she got married to a 33 year old Charles, now given the time context and globalization iliyokua inakua kwa kasi na the fact kuwa hakuwa exposed to such life before, aliishia kukengeuka na pesa zisizo na budget za Royal family akaishia kuwa na drama over drama kama Angelina Jolie na the Kardashians. Simply put ni kama mabinti wengi wanavokengeuka wakipata boom la chuo wanajiona wao ndo wao na huwezi waambia chochote.
The opposite is true. Dada wa watu alijitahidi sana sana lakini kumbuka Prince Charles alimuoa tu kwa sababu alikataliwa asimuoe Camilla ambaye by that time alikuwa ameachika. Prince Charles alikuwa na mahusiano na Camilla before meeting Diana, during his marriage to Diana and after divorce na mpaka akahalalisha baada ya Diana kufariki. Diana alijitahidi sana to keep her marriage lakini Prince Charles HAKUWAHI kuwa na mapenzi na Diana. Mapaparazzi pia walikuwa wanamsakama Diana kila anapoenda ndiyo maana baada ya kuona mambo hayaendi ndani ya ndoa aliamua kufanya charity works maeneo mbalimbali duniani mpaka alipodivorce na Prince Charles. Aliamua kuwa na Dodi aendelee na maisha mengine sasa yeye kosa lake ni lipi hapo?
 
Kila anaekufa aliwahi kuuwa...?

Kumbe mimi siwezi kufa kwasababu sijawahi kuuwa...?

Chukua hii....

Kila binadamu atakufa tu... Kifo sio Karma.
Kifo pia ni pigo/adhabu ambalo linetokana laana
 
Hizo ni story za vijiweni tu. Watoto wote wa Malkia ni wanajeshi mpaka yule Princess Anne. Hiyo ndiyo kazi yao. Hata Prince William ni mwanajeshi na pilot.
Kwa Royal Family ni compulsory kwenda jeshini utake usitake
Ndio maana tunaona wote ni wajeda
 
Braza angu kwa imani yangu ya Kikisto kwa Yesu Mwana wa Mungu karma inaishia kwenye damu yake. Kwenye mahakama yeyote duniani, kuzimu na mbinguni hakuna deni ambalo Damu Takatifu ya Yesu haiwezi kulipia. Kama aliitumia sawasawa atakua alilipia. Kwenye uzao wake itategemeana na alifanyeje alivochukua kiti. Kuna makosa inabidi uombe msamaha kutokana na kiti unachokalia hata kama hukufanya wewe. Amekalia kiti kilichoanza mwaka 1066. Kilianza na damu. Ndani yake kimekula damu nyingi mno za ndugu na jamaa. Kiti kinadai. Pia kina damu za watumwa na wengineo wengi walitumikishwa ili kukiweka hapo kilipo. Inabidi kukiombea msahama. Damu ya Yesu iliyomwagika inaweza kufanya yote hayo lakini je, aliyafanya? Hayo ni ya kuulizwa Eliza ambae amekufa. Charles anakazi ya kusafisha kiti kabla ya kukikalia. Anatakiwa ajue. Ila wale wengi ni wanachama wa freemasons. Sijui itakuaje.
 
Mshana jr, umeongea kitu hapo.

Pamoja na utumwa huyu mama Marehemu Malkia alikuwa mtu mwenye roho yake,

Pamoja na kitendo alichomfanyia mkwewe Diana cha kumkataa na kumwambia mwanae amchukue Camilla na Diana awemo tu humo kwenye casri ila asiwe mke wa mwanaye hakikutosha, akamkataa kabisa yule mjukuu yaani mtoto wa Diana.

Vikapimwa vinasaba hata ikajulikana baba wa mtoto nahisi ni baada ya Diana kufa

Wakamtupa jeshini.

Kaoa m marekani mweusi, unaambiwa hilo kasri lina mashangingi ya kizungu yamejaa yakawa yanam disi , kijana kufikia kuhama kwenye kasiri

Ila walikuja kuongea na bibi huku mwishoni.

Huwa nafuatilia hii familia kwa ajili nilim like sana Diana.

All in all marehemu alikuwa katili fulani hivi
Familia haikumkataa Diana. Charles haluwahi kumpenda Diana. Alimuoa Diana maana alikua na damu ambayo ingemuwezesha kupata uzao. Hizo nyingine ni ngonjera tu. Charles alimpenda Camilla toka wanaonana. Diana alienda ile hali ya kuwa Princess na hakufikiri kuwa Charle hampendi hata tone. Alivyopata watoto akafikiri mumewe atampenda lakini haikua hivyo. Akaanza kuchepuka kama mumewe. Kosa la Malkia ni kumnyanganya ulinzi mara baada ya kuachana na Charles. Asingemuondolea ulinzi maybe Diana angekua hai mpaka leo. Halafu pia ukiolewa kwenye ile familia jitahidi usiwe maarufu kuliko aliyekuoa. She was more popular than Queen herself or the Heir to the throne himself. All in all fate did wanted Camilla to be Queen Consort but not the royal blood to flow through her.
 
Back
Top Bottom