Malkia Elizabeth na Viongozi wa TAA, 1953

Malkia Elizabeth na Viongozi wa TAA, 1953

Geza...
Sijui kwa nini unasema maumivu.
Unazungumzia dhulma.

Unauliza tofauti kati ya Abdul Sykes na labda Chief Thomas Marealle au Chief Abdallah Said Fundikira.

Nimeandika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes kinaitwa, "The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika."

Tatizo kubwa hapa ni ukiwaambia watu wasome hili haliwezekani.
Ingekuwa umesoma kitabu hiki usingeniuliza maswali hayo ya dhulma.

Ungekuwa umesoma kitabu ungejua tofauti iliyopo baina ya Chief Marealle na Chief Fundikira na Abdul Sykes.

Historia ya machief wote zinafahamika na hakuna hata moja iliyofanana na historia ya Abdul Sykes.

Sasa jiulize kweli historia ya Abdul Sykes ni "Untold Story?"
Je, kweli kulikuwa na, "Muslim Struggle?"

Vyuo vyote nilivyozungumza huwa naulizwa maswali haya.
Halafu unaniuliza mimi kuhusu uwezo wako wa kuelewa.

Nakuwekea hapo chini Daisy anavyoeleza uhusiano wa baba yake na machifu wa Tanganyika:

''Kutokana na hadhi hii ya baba yangu na umaarufu wake na kule kupenda kukirimu watu, nikawa si mgeni kwa machifu mashuhuri na nikawa nawahudumia walipokuwa mara nyingi wakija nyumbani.

Wageni hawa mashuhuri waliokuwa wakija nyumbani ni pamoja na Mangi Mkuu Thomas Marealle, Machifu Abdiel Shangali, John Maruma kutoka Moshi, Adam Sapi Mkwawa kutoka Iringa, Kidaha Makwaia kutoka Usukuma, Abdallah Fundikira, Harun Lugusha kutoka Tabora, Humbi Ziota kutoka Nzega, Michael Lukumbuzya kutoka Ukerewe na Patrick Kunambi kutoka Morogoro na wengine wengi.

Hawa machifu kwa kawaida walikuwa wakija na wake zao, wanawake warembo ambao hawakuacha kunifanya mimi kuwashangalia.

Nakumbuka katika machifu wale, alikuwapo chifu mmoja na wa pekee mwanamke - Mwami Theresa Ntare kutoka Kasulu Kibondo.

Katika hali kama hii iliyokuwa tabu kufahamika, tukiwa watoto tulipata kujua maisha ya jamii nyingine, lugha zao, utamaduni wa makabila mengi ya Tanganyika kabla ya watu wengi kutoka sehemu nyingine za pwani hawajajua chochote kuhusu watu hawa.''

Soma kitabu cha Abdul Sykes.

Ni kitabu pekee Tanzania kilichochapwa matoleo manne mfululizo moja baada ya jingine toka kichapwe 1998.

View attachment 2146060
Kulia Abdul Sykes, Tewa Said Tewa Chief Fundikira
waliokaa wa kwanza kulia hijja 1964.
Sasa kwa upeo wako unadhani nani alipaswa kuwa Rais badala ya Nyerere?
 
Sasa kwa upeo wako unadhani nani alipaswa kuwa Rais badala ya Nyerere?
Geza...
Ndiyo nakunasihi usome kwanza ndiyo uje katika mjadala.

Kitabu cha Abdul Sykes wataalamu wa historia wanaita, ''corrective history,''
yaani kusahihisha historia.

Si suala la nani alistahili kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika.
Historia inayojulikana ya TANU na uhuru wa Tanganyika haiko sawa.

Haiwezekani kuandika historia ya TANU ikawa Abdul Sykes hayumo.
Soma kitabu.
 
Unalazimisha mambo Mzee.

Hao Wazulu unaowapigia debe kila sentensi hawana nafasi kwenye historia ya Tanganyika.
k
wanza

Mzee MS ni wazi una matatizo makubwa sana ya kisaikolojia ila hutaki kutambua hilo.

Iweje wewe mtu mmoja ujiamini kuwa upo sahihi kila mara ilhali unapingwa hoja kwa hoja, na unakimbia hoja ukizidiwa?
Gold...
Mimi niwalazimeshe Oxford University Press, Nairobi kunitia katika mradi wa kuandika historia ya Tanzania kwa ajili ya shule za msingi na wachape kitabu changu, ''The Torch on Kilimanjaro,'' (2006).

Mimi niwalazimeshe Oxford University Press, New York na Harvard kunitia katika jopo la waandishi kutoka kila pembe ya dunia kuandika Dictionary of African Biography, (2011) na kuchapa nilichoandika.

Mimi niwalazimishe waandishi wa ''Nyerere Biography,'' kwanza kunihoji kuhusu Mwalimu Nyerere na baadae waandike katika kitabu cha Mwalimu kuwa Maktaba yangu ni kati ya maktaba tatu bora - maktaba ya Salim Ahmed Salim, Brig. Hashim Mbita na Mohamed Said.

Mimi nilazimishe kualikwa Northwestern University, Evanston Chicago kuzungumza (2011) na kwengine kwingi.

Wote hawa nawalazimisha.

Mohamed Said anakimbia hoja barzani.

1646936358418.png



 
Mazindu...
Wewe ni mwanangu kwa umri wako na wangu.

Wanao sasa ndiyo wajukuu zangu.

Nakwambia haya kukusaidia uweze kuliweka kila jambo mahali pake.

Kinyume cha hapo utafanya mambo yasiyopendeza.

Unadhani wewe unaweza kunitania kwa kuwa mimi ni "babu" ilhali si sawa mimi kwako ni baba kwa hiyo unastahili kunipa heshima ya baba sawa na baba yako aliyekuzaa.

Hizi ndizo mila zetu.
Babauuuuuu sikamooo!
 
MALKIA ELIZABETH NA VIONGOZI WA TAA 1953
Picha hiyo hapo chini ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth imenirudisha nyuma sana hadi mwaka wa 1953.

Nimeitazama hiyo picha ya viongozi awa wawili nikaamua kufungua kitabu cha Abdul Sykes niangalie nimeandika nini kuhusu Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth.

Siku chache zilizopita niliandika katika mtandao kuwa Nyaraka za Sykes zina jina la kila mtu alyehusika katika siasa za Tanganyika.

Kuna mtu alichukizwa na maneno yangu haya na akaniandikia maneno ya kifedhuli na kejeli lakini mimi kwa dhati na ukweli wa nafsi yangu nikawambia asidhani kuwa mimi natania nyaraka zile zina mambo mengi sana kuhusu harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Sasa nilipoona picha hii ya Malkia akiwa na Mwalimu Nyerere wakati Malkia Elizabeth alipofanya ziara ya Tanzania mwaka wa 1979 nikasema hebu nifungue kitabu changu niangalie kuna nini kuhusu Malkia na Mwalimu Nyerere.

Ili uweze kupata historia yote vizuri inabidi nianze mwanzo wa maisha ya Julius Nyerere pale alipoingia katika siasa za Dar es Salaam na kuchaguliwa kuwa President wa TAA tarehe 17 April, 1953.

Tarehe 19 June, gazeti la Tanganyika Standard likachapa majina ya viongozi wa TAA kama ifuatavyo: J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias, Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer, Ally K. Sykes Assistant Treasurer. Committee members Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo na Patrick Aoko.

Katika Nyaraka za Sykes kuna barua iliyoandikwa na kwenda kwa Malkia Elizabeth isiyokuwa na tarehe iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA: Rais Julius Nyerere, Makamu wa Rais Abdulwahid Sykes, Katibu Mkuu Dome Okochi, Naibu Katibu Dossa Aziz, Mweka Hazina John Rupia, Naibu Mweka Hazina Ally Sykes ikimpongeza Malkia kwa kutawazwa kuwa Malkia wa Uingereza.

Katika barua hii jina la Dome Budohi ndilo linaloonekana kama Katibu Mkuu badala ya jina la Kasella Bantu kama lilivyotokea katika Tanganyika Standard.

Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng’wazi Kamata waandishi wa kitabu cha maisha ya Julius Nyerere walipokuja kunihoji kuhusu Mwalimu niliwaonyesha barua hii.

Waliipenda sana na wakaniomba niwape nakala.

Nilipokuwa naiangalia picha hii ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth nikawa najiuliza kama Malkia anakumbuka kuwa aliandikiwa barua na Mwalimu Nyerere mwaka wa 1953 akimpongeza kwa kutawazwa kuwa Malkia.
Sijui kama Malkia anaikumbuka barua hii.

Lakini nina uhakika ukienda Rhodes House Oxford barua hii itakuwapo.

Sasa tuje kwa Ally Sykes na ziara hii ya Malkia Tanzania mwaka wa 1979.

Ubalozi wa Uingereza ulifanya dhifa nyumbani kwake kwa heshima ya Malkia.
Ally Sykes ananihadithia.

Katika dhifa ile Julius Nyerere alikuwapo na mgeni wake na katika walioalikwa alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.
Miaka mingi ilikuwa imepita na Ally Sykes, Bi. Zainab na Nyerere walikuwa hawajaonana kwa muda mrefu sana.

Walipokutana uso kwa uso Nyerere alimwambia Ally Sykes, ‘’Ally hawa Waingereza unakuja katika shughuli zao lakini shughuli zetu huonekani.’’

Ally Sykes akajibu, ‘’Hawa wananialika nyinyi hamnialiki mimi.’’

Mwalimu akacheka akamgeukia Bi.Zainab akamwambia, ‘’Bi. Zainab Ally hajabadilika karibu wewe Msasani.’’

Ally Sykes akaniambia baada ya siku ile hawakupata kuzungumza hadi Nyerere anakufa ingawa iko siku walikuwa ndege moja na viti jirani wote wakielekea London.

Hakuna kati yao aliyefanya juhudi ya kumsogelea mwenzake kumsalimu.
Hawa ni wanachama wawili ambao kadi zao za TANU zilifuatana.

Kadi no 1 Territorial President Julius Kambarage Nyerere kadi no.2 Ally Kleist Sykes.

Hiyo picha hapo juu si kabla ya Uhuru Mwl anajulikana lini alianza kuvaa makoti yasiyo na collar!
 
Mazindu...
Wewe ni mwanangu kwa umri wako na wangu.

Wanao sasa ndiyo wajukuu zangu.

Nakwambia haya kukusaidia uweze kuliweka kila jambo mahali pake.

Kinyume cha hapo utafanya mambo yasiyopendeza.

Unadhani wewe unaweza kunitania kwa kuwa mimi ni "babu" ilhali si sawa mimi kwako ni baba kwa hiyo unastahili kunipa heshima ya baba sawa na baba yako aliyekuzaa.

Hizi ndizo mila zetu.
unakuta unaangaika kumwelewesha mtu anakaa ukweni.
 
Babauuuuuu sikamooo!
Smaki,
Ilitosha mimi kukukalia kimya nisikujibu.

Sababu ni kuwa umenionyesha huthamini adabu salama yangu usiendelee kunivunjia heshima yangu ni kukuepuka.

Nimesikitika sana kuwa nimekuandikia kwa heshima nikitegemea utarejea hapa kwa wema badala yake umerudi hapa kunizomea.

Nia ya kukuandikia ni kukushukuru kuwa umenisaidia kukuingiza katika utafiti tunaofanya sasa kipindi kirefu jinsi historia hii ya uhuru wa Tanganyika ilivyopokelewa.

Kwa mukhtasari ni kuwa ikiaminika kuwa TANU iliundwa na Julius Nyerere na mimi nikaja na kitabu kinachokwenda kinyume na historia hiyo.

Utafiti unaonyesha kuwa mwanzo historia hii niliyoandika ilikutana na vitisho kwa mwandishi kisha kukawa na kukataa kuwa ni kweli kisha pakawa na mchanganyiko wa hasira, hamaki na kuzomewa mwandishi kama ulivyofanya wewe.

Utafiti bado unaendelea ukikamilika utachapwa.
Wewe umeingia kwenye "data base," ya utafiti huu.

Nakushukuru sana kwa msaada wako huu.
 
Sababu ni kuwa umenionyesha huthamini adabu salama yangu usiendelee kunivunjia heshima yangu ni kukuepuka.

Nimesikitika sana kuwa nimekuandikia kwa heshima nikitegemea utarejea hapa kwa wema badala yake umerudi hapa kunizomea.
Wewe Mzee!! sijui una tatizo gani huko up stairs! nakupa heshima yako unasema nakuzomea mbona una hasira sana?? banae shikamoo tena bana!
 
Wewe Mzee!! sijui una tatizo gani huko up stairs! nakupa heshima yako unasema nakuzomea mbona una hasira sana?? banae shikamoo tena bana!
Smaki,
Yawezekana kwenu vile ulivyoandika ikawa ni sawa.

Yawezekana kwenu hivi ulivyonita, "We Mzee....na ukaandika ulivyoandika ni sawa pia.

Mimi kwetu nilivyofunzwa na mama yangu ni tofauti.

Jingine mimi si mtu wa lugha hizo za "bana."

Mimi nakuandikia kwa adabu na heshima ya kuandika.

Siandiki kihuni.
 
Mimi niwalazimishe waandishi wa ''Nyerere Biography,'' kwanza kunihoji kuhusu Mwalimu Nyerere na baadae waandike katika kitabu cha Mwalimu kuwa Maktaba yangu ni kati ya maktaba tatu bora - maktaba ya Salim Ahmed Salim, Brig. Hashim Mbita na Mohamed Said.
Mkuu, maktaba bora walizotaja zilikuwa nne. Hizo ulizotaja na nyingine ya Joseph Gagnija.
 
Smaki,
Yawezekana kwenu vile ulivyoandika ikawa ni sawa.

Yawezekana kwenu hivi ulivyonita, "We Mzee....na ukaandika ulivyoandika ni sawa pia.

Mimi kwetu nilivyofunzwa na mama yangu ni tofauti.

Jingine mimi si mtu wa lugha hizo za "bana."

Mimi nakuandikia kwa adabu na heshima ya kuandika.

Siandiki kihuni.
Mzee ukiwa humu ukubaliane na matokeo hii ni jamii......hata mie nina kwetu!....ukitaka jukwa la wazee lipo!
 
Mzee ukiwa humu ukubaliane na matokeo hii ni jamii......hata mie nina kwetu!....ukitaka jukwa la wazee lipo!
Smaki,
Si suala la uzee wangu.
Hili ni suala la kuheshimiana.

Ikiwa unapendezewa na ufedhuli sina la kufanya ila mimi kukunyamazia kuepusha shari.

Sitokujibu.
 
MALKIA ELIZABETH NA VIONGOZI WA TAA 1953
Picha hiyo hapo chini ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth imenirudisha nyuma sana hadi mwaka wa 1953.

Nimeitazama hiyo picha ya viongozi awa wawili nikaamua kufungua kitabu cha Abdul Sykes niangalie nimeandika nini kuhusu Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth.

Siku chache zilizopita niliandika katika mtandao kuwa Nyaraka za Sykes zina jina la kila mtu alyehusika katika siasa za Tanganyika.

Kuna mtu alichukizwa na maneno yangu haya na akaniandikia maneno ya kifedhuli na kejeli lakini mimi kwa dhati na ukweli wa nafsi yangu nikawambia asidhani kuwa mimi natania nyaraka zile zina mambo mengi sana kuhusu harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Sasa nilipoona picha hii ya Malkia akiwa na Mwalimu Nyerere wakati Malkia Elizabeth alipofanya ziara ya Tanzania mwaka wa 1979 nikasema hebu nifungue kitabu changu niangalie kuna nini kuhusu Malkia na Mwalimu Nyerere.

Ili uweze kupata historia yote vizuri inabidi nianze mwanzo wa maisha ya Julius Nyerere pale alipoingia katika siasa za Dar es Salaam na kuchaguliwa kuwa President wa TAA tarehe 17 April, 1953.

Tarehe 19 June, gazeti la Tanganyika Standard likachapa majina ya viongozi wa TAA kama ifuatavyo: J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias, Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer, Ally K. Sykes Assistant Treasurer. Committee members Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo na Patrick Aoko.

Katika Nyaraka za Sykes kuna barua iliyoandikwa na kwenda kwa Malkia Elizabeth isiyokuwa na tarehe iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA: Rais Julius Nyerere, Makamu wa Rais Abdulwahid Sykes, Katibu Mkuu Dome Okochi, Naibu Katibu Dossa Aziz, Mweka Hazina John Rupia, Naibu Mweka Hazina Ally Sykes ikimpongeza Malkia kwa kutawazwa kuwa Malkia wa Uingereza.

Katika barua hii jina la Dome Budohi ndilo linaloonekana kama Katibu Mkuu badala ya jina la Kasella Bantu kama lilivyotokea katika Tanganyika Standard.

Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng’wazi Kamata waandishi wa kitabu cha maisha ya Julius Nyerere walipokuja kunihoji kuhusu Mwalimu niliwaonyesha barua hii.

Waliipenda sana na wakaniomba niwape nakala.

Nilipokuwa naiangalia picha hii ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth nikawa najiuliza kama Malkia anakumbuka kuwa aliandikiwa barua na Mwalimu Nyerere mwaka wa 1953 akimpongeza kwa kutawazwa kuwa Malkia.
Sijui kama Malkia anaikumbuka barua hii.

Lakini nina uhakika ukienda Rhodes House Oxford barua hii itakuwapo.

Sasa tuje kwa Ally Sykes na ziara hii ya Malkia Tanzania mwaka wa 1979.

Ubalozi wa Uingereza ulifanya dhifa nyumbani kwake kwa heshima ya Malkia.
Ally Sykes ananihadithia.

Katika dhifa ile Julius Nyerere alikuwapo na mgeni wake na katika walioalikwa alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.
Miaka mingi ilikuwa imepita na Ally Sykes, Bi. Zainab na Nyerere walikuwa hawajaonana kwa muda mrefu sana.

Walipokutana uso kwa uso Nyerere alimwambia Ally Sykes, ‘’Ally hawa Waingereza unakuja katika shughuli zao lakini shughuli zetu huonekani.’’

Ally Sykes akajibu, ‘’Hawa wananialika nyinyi hamnialiki mimi.’’

Mwalimu akacheka akamgeukia Bi.Zainab akamwambia, ‘’Bi. Zainab Ally hajabadilika karibu wewe Msasani.’’

Ally Sykes akaniambia baada ya siku ile hawakupata kuzungumza hadi Nyerere anakufa ingawa iko siku walikuwa ndege moja na viti jirani wote wakielekea London.

Hakuna kati yao aliyefanya juhudi ya kumsogelea mwenzake kumsalimu.
Hawa ni wanachama wawili ambao kadi zao za TANU zilifuatana.

Kadi no 1 Territorial President Julius Kambarage Nyerere kadi no.2 Ally Kleist Sykes.

Uko compulsively obsessed na Mwalimu... You love him to death
 
Uko compulsively obsessed na Mwalimu... You love him to death
Veza...
Umesema kweli mapenzi yangu ni kwa Abdul Sykes na Julius Nyerere katika kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Jopo la Prof. Issa Shivji walipokuja kunihoji wakati wanatafiti historia ya Mwalimu Nyerere walipigwa na butwaa na taarifa nilizokuwanazo kuhusu Mwalimu toka siku ya kwanza alipopelekwa nyumbani kwa Abdul Sykes.

Wameitaja Maktaba yangu ndani ya kitabu cha Julius Nyerere kama ni kati ya maktaba tatu bora.

Screenshot_20220505-172258_Photos.jpg
 
Nashindwa kuamini kuwa muonekano huo wa Nyerere alikuwa na miaka 30.
MALKIA ELIZABETH NA VIONGOZI WA TAA 1953
Picha hiyo hapo chini ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth imenirudisha nyuma sana hadi mwaka wa 1953.

Nimeitazama hiyo picha ya viongozi awa wawili nikaamua kufungua kitabu cha Abdul Sykes niangalie nimeandika nini kuhusu Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth.

Siku chache zilizopita niliandika katika mtandao kuwa Nyaraka za Sykes zina jina la kila mtu alyehusika katika siasa za Tanganyika.

Kuna mtu alichukizwa na maneno yangu haya na akaniandikia maneno ya kifedhuli na kejeli lakini mimi kwa dhati na ukweli wa nafsi yangu nikawambia asidhani kuwa mimi natania nyaraka zile zina mambo mengi sana kuhusu harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika.

Sasa nilipoona picha hii ya Malkia akiwa na Mwalimu Nyerere wakati Malkia Elizabeth alipofanya ziara ya Tanzania mwaka wa 1979 nikasema hebu nifungue kitabu changu niangalie kuna nini kuhusu Malkia na Mwalimu Nyerere.

Ili uweze kupata historia yote vizuri inabidi nianze mwanzo wa maisha ya Julius Nyerere pale alipoingia katika siasa za Dar es Salaam na kuchaguliwa kuwa President wa TAA tarehe 17 April, 1953.

Tarehe 19 June, gazeti la Tanganyika Standard likachapa majina ya viongozi wa TAA kama ifuatavyo: J.K. Nyerere, President; Abdulwahid Sykes, Vice-President; J.P. Kasella Bantu, General Secretary; Alexander M. Tobias, Waziri Dossa Aziz, Joint Minuting Secretary; John Rupia, Treasurer, Ally K. Sykes Assistant Treasurer. Committee members Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo na Patrick Aoko.

Katika Nyaraka za Sykes kuna barua iliyoandikwa na kwenda kwa Malkia Elizabeth isiyokuwa na tarehe iliyotiwa saini na viongozi wote wa TAA: Rais Julius Nyerere, Makamu wa Rais Abdulwahid Sykes, Katibu Mkuu Dome Okochi, Naibu Katibu Dossa Aziz, Mweka Hazina John Rupia, Naibu Mweka Hazina Ally Sykes ikimpongeza Malkia kwa kutawazwa kuwa Malkia wa Uingereza.

Katika barua hii jina la Dome Budohi ndilo linaloonekana kama Katibu Mkuu badala ya jina la Kasella Bantu kama lilivyotokea katika Tanganyika Standard.

Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng’wazi Kamata waandishi wa kitabu cha maisha ya Julius Nyerere walipokuja kunihoji kuhusu Mwalimu niliwaonyesha barua hii.

Waliipenda sana na wakaniomba niwape nakala.

Nilipokuwa naiangalia picha hii ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth nikawa najiuliza kama Malkia anakumbuka kuwa aliandikiwa barua na Mwalimu Nyerere mwaka wa 1953 akimpongeza kwa kutawazwa kuwa Malkia.
Sijui kama Malkia anaikumbuka barua hii.

Lakini nina uhakika ukienda Rhodes House Oxford barua hii itakuwapo.

Sasa tuje kwa Ally Sykes na ziara hii ya Malkia Tanzania mwaka wa 1979.

Ubalozi wa Uingereza ulifanya dhifa nyumbani kwake kwa heshima ya Malkia.
Ally Sykes ananihadithia.

Katika dhifa ile Julius Nyerere alikuwapo na mgeni wake na katika walioalikwa alikuwa Ally Sykes na mkewe Bi. Zainab.
Miaka mingi ilikuwa imepita na Ally Sykes, Bi. Zainab na Nyerere walikuwa hawajaonana kwa muda mrefu sana.

Walipokutana uso kwa uso Nyerere alimwambia Ally Sykes, ‘’Ally hawa Waingereza unakuja katika shughuli zao lakini shughuli zetu huonekani.’’

Ally Sykes akajibu, ‘’Hawa wananialika nyinyi hamnialiki mimi.’’

Mwalimu akacheka akamgeukia Bi.Zainab akamwambia, ‘’Bi. Zainab Ally hajabadilika karibu wewe Msasani.’’

Ally Sykes akaniambia baada ya siku ile hawakupata kuzungumza hadi Nyerere anakufa ingawa iko siku walikuwa ndege moja na viti jirani wote wakielekea London.

Hakuna kati yao aliyefanya juhudi ya kumsogelea mwenzake kumsalimu.
Hawa ni wanachama wawili ambao kadi zao za TANU zilifuatana.

Kadi no 1 Territorial President Julius Kambarage Nyerere kadi no.2 Ally Kleist Sykes.

 
Back
Top Bottom