TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

Alimsalimia Liz Truss na kumwambia akapange safu yake ya mawaziri ila kwa Ile sura alikuwa anaumwa sana na kachoka au aliwekwa wa kufanana nae maana alikuwa kakonda sana na mkono wake ulikuwa mweusi sana sehemu ya nyuma ya kiganja
Ntamkumbuka sana Queen
Alikuwa mpole ila mkali akivurugwa
Wa kufanana nae waliwezaje mpata? Ila vibibi vya kizungu vinafanana huwezi juwa.
 
Kwel kifo ni mpango wa Mungu ,huyu malkia ana timu kubwa ya madactari na manesi wako maalumu kulinda afya yake kuanzia kuoga had kula,sasa bibi yangu kijijini ana 102 bado anapeta ,hata bima ya afya hajui ni kitu gan.
Na wototo wanaokufa wakiwa na mwaka mmoja tu ni mpango wa Mungu? Sidhani kama Mungu anapanga siku za vifo.
 
Usinichekeshe tuko msibani mkuu, kwa sisi tungesema?.......lile ombi langu hukulitekeleza ona nae bibi kafa jamani
Kwa kweli dear Bibi kaniumiza sana
Nimechoka sana ila ningeenda Buckingham Palace

Kesho nina safari ya kwenda Man na kurudi ila kesho kutwa nitakuwa Windsor nikatoe pole kwa wananchi wa pale

Halafu nilikuwa Tz ndio nimerudi yaani tuko busy kama bibi mwisho kufa tu
Anyway tupeane pole
Kesho Charles anakuja London namsubiri
 
Queen Elizabeth na Mama yake
Screenshot_20220908-200057_Google.jpg
 
Ila tuacheni masihara kuna binadamu wanakua na uzoefu wa pepo ,tangu duniani .mfano huyu malkia akafanikiwa kwenda peponi hatashangaa sana ,maana pepo kaila kweli.ila kuna wengine tumezoea kuungua shida tukifika jehanamu barida tuu,ila tukibahatisha peponi kwanza ntazimia miaka 10000 ,samaanini tunachangamshana
Sidhani kama amewai liona vumbi ,
 
Goodbye england rose... Mahala sahihi tena kwa mara ya pili nauona wimbo pendwa kule KWA malkia, wimbo wa (elton john Candle in the wind ...(princess diana tribute song)... Mshumaa ndo ushazima! A candle can light in the dark now! And not in the wind! As elton john lied! And sworn to be hon...( sir)
 
Back
Top Bottom