Wa kufanana nae waliwezaje mpata? Ila vibibi vya kizungu vinafanana huwezi juwa.Alimsalimia Liz Truss na kumwambia akapange safu yake ya mawaziri ila kwa Ile sura alikuwa anaumwa sana na kachoka au aliwekwa wa kufanana nae maana alikuwa kakonda sana na mkono wake ulikuwa mweusi sana sehemu ya nyuma ya kiganja
Ntamkumbuka sana Queen
Alikuwa mpole ila mkali akivurugwa
Kwa uchungu nilio nao ata rambi rambi sitaki. Nna uchungu sana 😭Pole sana weka namba ya mpesa tutoe rambirambi
Na wototo wanaokufa wakiwa na mwaka mmoja tu ni mpango wa Mungu? Sidhani kama Mungu anapanga siku za vifo.Kwel kifo ni mpango wa Mungu ,huyu malkia ana timu kubwa ya madactari na manesi wako maalumu kulinda afya yake kuanzia kuoga had kula,sasa bibi yangu kijijini ana 102 bado anapeta ,hata bima ya afya hajui ni kitu gan.
Kwa kweli dear Bibi kaniumiza sanaUsinichekeshe tuko msibani mkuu, kwa sisi tungesema?.......lile ombi langu hukulitekeleza ona nae bibi kafa jamani
Wazungu ndo mitume au?Pepo ipo hapa hapa duniani eroo,na ndio maana wazungu wanaamini hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimelia mpak macho yamekua mekundu [emoji25]
Muda wote utarudi kwani unaelekea wap ndugu hufiki tuu?Nitarudi..
Basi tufanye anapanga baba akoNa wototo wanaokufa wakiwa na mwaka mmoja tu ni mpango wa Mungu? Sidhani kama Mungu anapanga siku za vifo.
Sijui niombe liftNasikia mama anaandaa nguo kwenda msibani!!
Wavaa kubazi bhanaHii comment yako ni kwa watu wenye IQ kubwa tu.
Mapopoma hawatokuelewa
Si ndio nyie mnawaabuduWazungu ndo mitume au?
Umbwaaaaa
I think, I believe unachokifanya ni kujikosea wewe mwenyewe.Bibi Tozo atakusanya kijiji chake cha machavi chavi wa chama wote watajazanana kwenye Dreamliner/Airbus kwenda UK
Sidhani kama amewai liona vumbi ,Ila tuacheni masihara kuna binadamu wanakua na uzoefu wa pepo ,tangu duniani .mfano huyu malkia akafanikiwa kwenda peponi hatashangaa sana ,maana pepo kaila kweli.ila kuna wengine tumezoea kuungua shida tukifika jehanamu barida tuu,ila tukibahatisha peponi kwanza ntazimia miaka 10000 ,samaanini tunachangamshana
Nyerere tu!Nenda mwalimu, neeenda.
Popoma Pro maxWavaa kubazi bhana
Hakuna Mola apasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa "ALLAH"Si ndio nyie mnawaabudu
Hahaha ,hiv alishawah kuwaza,ada,kodi,kujenga,usafiri,nguo,kula hivi kwake.ni hadidhiSidhani kama amewai liona vumbi ,
Kupitia YesuKufa ni faida kuishi ni Kristo. Tengeneza maisha yako na Mungu.