bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Huku ni matumizi ya nguvu tu kama huyo bibi yako. Si unaona hata wajukuu wake shida tupu.Mkuu stress gan wakat hachaguliwi na wananchi,bibi yangu stress zake angemuazima malkia ,nafikir hats malkia asingefikisha miaka 50 ,huku kwetu jua linachoma had mifuko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
She is Queen ConsortPhilip mwenyewe hakuwa king,
Hawa wanakuwa na mmoja tu either king or queen not both
Msiba huo mzito?Operation London Bridge. Hii ni codename kuhusu mambo yote yatakayohusu msiba wa Malkia Elizabeth wa II pindi akifariki.
Kuna tetesi kutoka huko katika kasri la Buckingham Palace kuwa hali ya Malkia ni tete na amelazwa ICU.
Tetesi nyingine zinasema ameshafariki, hivyo kwasasa ni taratibu zinaendelea kuwekwa sawq ili dunia itangaziwe msiba huo mzito.
Ikumbukwe, Malkia Elizabeth wa II mwenye umri wq miaka 96, alipata wadhifa huo mwaka 1952 mpaka leo yupo madarakani.
Endapo atafariki, mwanae Prince Charles atarithi kiti hiko.
Shirika la utangazaji la Uingereza, BBC wametangaza kuacha kutoa taarifa za hali ya afya ya Malkia mpaka hapo baadae.
Tuendelee kusikilizia hapa kwa live updates...
Tulia uandike vzr, hicho kichwa cha hbr ni matokeo ya kukurupuka kutaka kuwa wa kwanza kutoa hbr.Malkia wa Uingereza Elizabeth II amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 96, Kasiri la Buckingham limethibitisha kifo chake.
[emoji16] [emoji16] Umetisha kizazi sanaBila shaka mama Samia anapanga nguo tayari kwa safari kuelekea msibani
[emoji26]we acha tu hapa nalia...bibi yangu kadanja asee[emoji848][emoji848]Cc witnessj
Naomba Mubashara kutoka hapo Buckingham palace[emoji28]
Poleeeee! kila mwenye huruma lazima aumizwe na kifo cha mtu, mpaka nikajikuta naomba Mungu amfikishe mama yangu umri huo.Kwa kweli dear Bibi kaniumiza sana
Nimechoka sana ila ningeenda Buckingham Palace
Kesho nina safari ya kwenda Man na kurudi ila kesho kutwa nitakuwa Windsor nikatoe pole kwa wananchi wa pale
Halafu nilikuwa Tz ndio nimerudi yaani tuko busy kama bibi mwisho kufa tu
Anyway tupeane pole
Kesho Charles anakuja London namsubiri
Au nasema uongo ndugu zangu..Bibi
Alikuwa binti mbichi kabisa hata hivyo Mungu kamlinda sana. Alikuwa kiongozi mwema hata hivyo.Alikuwa na miaka 25 tu alipotwaa U malkia
Dunia mapito na muda wake kaumaliza
Sijaelewa na sitaki tu kuelewaI think, I believe unachokifanya ni kujikosea wewe mwenyewe.
Hope umeelewa phrase
Queen consortKwahiyo hawala yake prince Charles camila ndio atakuwa Queen na Prince Charles kuwa King?
[emoji3][emoji3] bibi ako hata kijiji hakimtambui hana kazi zaidi ya kutafuna mihogo, acha aendelee kua mzigo kwenye familiaKwel kifo ni mpango wa Mungu ,huyu malkia ana timu kubwa ya madactari na manesi wako maalumu kulinda afya yake kuanzia kuoga had kula,sasa bibi yangu kijijini ana 102 bado anapeta ,hata bima ya afya hajui ni kitu gan.
Na wewe ukiwemo πππWalituandaa mapema kabisa...Windsor house.
pepo ya nani uyu ataingia? msifanye mchezo na pepoIla tuacheni masihara kuna binadamu wanakua na uzoefu wa pepo ,tangu duniani .mfano huyu malkia akafanikiwa kwenda peponi hatashangaa sana ,maana pepo kaila kweli.ila kuna wengine tumezoea kuungua shida tukifika jehanamu barida tuu,ila tukibahatisha peponi kwanza ntazimia miaka 10000 ,samaanini tunachangamshana
Ume ombea Bibi na Babu zako walio uliwa na huyo dikteta Elizabeth II wakati wa ukoloni ?Zuzu wewe angalia muda
Jibu lako linadhihirisha upumbavu wako ulio uhifadhi kichwani mwako.Zuzu wewe angalia muda