TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 thanks
Naicheck Bukhingham Palace watu wanaishi aisee
Buckingham Palace ni makazi na ofisi wakiwa London na hutumika kwa shughuli za kitaifa.

Makazi yake na mali za Elizabeth akiwa Malkia wa Uingereza rasmi ni Balmoral Scotland na Sandringham ambayo ipo Norfolk.
Hapa Norfolk ndipo babu George wa tano na baba yake Elizabeth, Mfalme George wa sita walikuwa wakiishi na walifariki wakiwa humo.

Balmoral ni makazi yake ya pili Malkia Elizabeth na familia yake na ndipo alipenda kwenda huko wakati wa kiangazi akila nyama choma na ndipo alipofia juzi. Makazi haya yalikaliwa na Malkia Victoria bibi yake Elizabeth.

Hivyo, utaona kwamba hapa Elizabeth aliua ndege wawili kwa jiwe moja na kutwaa mali ya upande wa baba na upande wa mama.

Hizi ni mali binafsi za familia.

Ndo maana huyu bibi alikuwa ni mmoja wa matajiri wakubwa sana duniani.

Yaani kale kaprince Louis (mtoto wa mwisho wa William) akiwa mtu mzima fweza ipo kwa benki tayari yamsubiri yeye na watoto wake.
 
Basi ntakuconnect ntamwambia William msiba ukiisha akupambanie😅
Umempenda nani?
Ipo story moja hivi kamambe ya namna Kate alivyocheza mchezo kabambe wa kumpata William akishirikiana na mama yake.

Na kwakuwa Meghan nae ametumia kete maalum lakini rahisi sana (kuna mada humu ya kula tunda kimasihara) kumpata Harry hadi leo Kate amchukia sana Meghan, yaani hawaivi.

Hizi kete walozitumia hawa mabinti ni za aina yake.

Maujanja tu! 😉
 
Buckingham Palace ni makazi na ofisi wakiwa London na hutumika kwa shughuli za kitaifa.

Makazi yake na mali za Elizabeth akiwa Malkia wa Uingereza rasmi ni Balmoral Scotland na Sandringham ambayo ipo Norfolk.
Hapa Norfolk ndipo babu George wa tano na baba yake Elizabeth, Mfalme George wa sita walikuwa wakiishi na walifariki wakiwa humo.

Balmoral ni makazi yake ya pili Malkia Elizabeth na familia yake na ndipo alipenda kwenda huko wakati wa kiangazi akila nyama choma na ndipo alipofia juzi. Makazi haya yalikaliwa na Malkia Victoria bibi yake Elizabeth.

Hivyo, utaona kwamba hapa Elizabeth aliua ndege wawili kwa jiwe moja na kutwaa mali ya upande wa baba na upande wa mama.

Hizi ni mali binafsi za familia.

Ndo maana huyu bibi alikuwa ni mmoja wa matajiri wakubwa sana duniani.

Yaani kale kaprince Louis (mtoto wa mwisho wa William) akiwa mtu mzima fweza ipo kwa benki tayari yamsubiri yeye na watoto wake.
Mkuu hilo hata wafalme wa Kiarabu wanafanya hivyo kwa watoto wao
Yaani mtoto anafika 18 ni millionaire tayari huku akiwa na cheo chake na masomo juu

Ila kwa baadhi ya waarabu wananchi wanafaidika pia na mfumo huo wa Ufalme
Niliishi nchi moja Tajiri sana mashariki ya Kati na wakati huo sarafu yao ilikuwa ghali duniani yaani moja kwa $3

To cut story short
Wananchi wao akizaliwa mtoto mshahara unaongezeka na akioa tena bank inasoma tena
Unakuta mtu ana watoto hata 20 kwa kuwa serikali inawaangalia [emoji1]

Ila hata ukae miaka 100 hupati Uraia wao waarabu
Ila huku [emoji636] mambo ni tofauti pia ila ni mazuri kwa sisi pia
 
Mkuu hilo hata wafalme wa Kiarabu wanafanya hivyo kwa watoto wao
Yaani mtoto anafika 18 ni millionaire tayari huku akiwa na cheo chake na masomo juu

Ila kwa baadhi ya waarabu wananchi wanafaidika pia na mfumo huo wa Ufalme
Niliishi nchi moja Tajiri sana mashariki ya Kati na wakati huo sarafu yao ilikuwa ghali duniani yaani moja kwa $3

To cut story short
Wananchi wao akizaliwa mtoto mshahara unaongezeka na akioa tena bank inasoma tena
Unakuta mtu ana watoto hata 20 kwa kuwa serikali inawaangalia [emoji1]

Ila hata ukae miaka 100 hupati Uraia wao waarabu
Ila huku [emoji636] mambo ni tofauti pia ila ni mazuri kwa sisi wananchi pia
Kweli kabisa.

Kwa Afrika ni Libya pekee walikuwa wana hizo fursa.

Wakati nikisoma huko nje miaka ya zamani wanafunzi wenzetu wa Libya wengine walikuwa wakikodisha nyumba nzima peke yake na aishi kama raia wa hiyo nchi.

Ghaddafi alikuwa aliwatunza sana raia wake.

Saudi Arabia bado wafanya hivyo na vijana wao wakiwa nje ndo utafahamu kuwa kule kwao wao hufuata tu sharia kwa uoga kwani hadi mabinti zao wakiwa Ulaya na Marekani huondoa "hijab" na hata kupiga kilauli kufaidi matunda ya ujana.
 
Kweli kabisa.

Kwa Afrika ni Libya pekee walikuwa wana hizo fursa.

Wakati nikisoma huko nje miaka ya zamani wanafunzi wenzetu wa Libya wengine walikuwa wakikodisha nyumba nzima peke yake na aishi kama raia wa hiyo nchi.

Ghaddafi alikuwa aliwatunza sana raia wake.

Saudi Arabia bado wafanya hivyo na vijana wao wakiwa nje ndo utafahamu kuwa kule kwao wao hufuata tu sharia kwa uoga kwani hadi mabinti zao wakiwa Ulaya na Marekani huondoa "hijab" na hata kupiga kilauli kufaidi matunda ya ujana.
Kuna nchi wamejua kufaidi matunda yao
Sisi zamani maisha yalikuwa na unafuu sana ila baada ya kuanza wizi wa mali ya umma huku viongozi wakiwa vinara wa kuiba na uongo pamoja na Rushwa wakati ni haki yako hapo ndio tukaangamia

Kurudi kwenye hali ya zamani haitowezekana tena kwani na sisi tumechagua mfumo wa kuiba na kuomba na kutoa rushwa hata kama una haki bado unatoa tu au unauliza

Unafikiri mfumo huu utakuja kubadilika?
Mtoto anaenda shule na matunda walimu wanakula
Akiweka kalamu mwanafunzi kaiba

Wakimaliza shule wakiajiriwa bank wanaangusha 10,000 wakati wanahesabu halafu anakuambia 10 imepungua

Akiwa police au traffic ndio usiseme

Hapo usitegemee ipo siku tutakuwa na heshima kama taifa no one cares
 
Buckingham Palace ni makazi na ofisi wakiwa London na hutumika kwa shughuli za kitaifa.

Makazi yake na mali za Elizabeth akiwa Malkia wa Uingereza rasmi ni Balmoral Scotland na Sandringham ambayo ipo Norfolk.
Hapa Norfolk ndipo babu George wa tano na baba yake Elizabeth, Mfalme George wa sita walikuwa wakiishi na walifariki wakiwa humo.

Balmoral ni makazi yake ya pili Malkia Elizabeth na familia yake na ndipo alipenda kwenda huko wakati wa kiangazi akila nyama choma na ndipo alipofia juzi. Makazi haya yalikaliwa na Malkia Victoria bibi yake Elizabeth.

Hivyo, utaona kwamba hapa Elizabeth aliua ndege wawili kwa jiwe moja na kutwaa mali ya upande wa baba na upande wa mama.

Hizi ni mali binafsi za familia.

Ndo maana huyu bibi alikuwa ni mmoja wa matajiri wakubwa sana duniani.

Yaani kale kaprince Louis (mtoto wa mwisho wa William) akiwa mtu mzima fweza ipo kwa benki tayari yamsubiri yeye na watoto wake.
"ndipo alipenda kwenda huko wakati wa kiangazi akila nyama choma"
😄😄😄😄😄😄😄

"Yaani kale kaprince Louis (mtoto wa mwisho wa William) akiwa mtu mzima fweza ipo kwa benki tayari yamsubiri yeye na watoto wake."

Jamani watu wanaishi maisha na vile damu ya kifalme hawafi mapema nako katafikaga uzee wa 80's huko.

Hivi familiya ya kifalme wana shule zao private ambazo watu wengine wa kawaida hawachangamani? I mean kuanzia primary hadi chuo inakuwaje?

Yaan watoto wa kifalme unaweza kukuta wakisoma mfano the University of Birmingham?

 
"ndipo alipenda kwenda huko wakati wa kiangazi akila nyama choma"
😄😄😄😄😄😄😄

"Yaani kale kaprince Louis (mtoto wa mwisho wa William) akiwa mtu mzima fweza ipo kwa benki tayari yamsubiri yeye na watoto wake."

Jamani watu wanaishi maisha na vile damu ya kifalme hawafi mapema nako katafikaga uzee wa 80's huko.

Hivi familiya ya kifalme wana shule zao private ambazo watu wengine wa kawaida hawachangamani? I mean kuanzia primary hadi chuo inakuwaje?

Yaan watoto wa kifalme unaweza kukuta wakisoma mfano the University of Birmingham?

Hapana husoma shule maalum za awali, ingawa Malkia Elizabeth II yeye na dada yake Margaret walisoma nyumbani.

Ila watoto wengine Charles na wenzake wamesoma shule binafsi.

Kisha wameenda shule maalum za sekondari khasa ile maarufu ya Eton ambayo pia huitwa chuo. Hapo hata weye ukiwa na mkwanja wa uhakika na wapaliliwa kuwa raisi wa nchi fulani, watoto hupelekwa hapo "provided" umekuwa "spotted" uwezo wa akili tangu mdogo.

Hizi shule hakuna mchezo ni kitabu tu, maana vijana waandaliwa kuja kuwa viongozi wa baadae.

Tanzania zipo hizi shule Pugu, Minaki, Tabora Boys na zingine lakini zilififishwa kitambo na wahitimu wa leo hawafikiri sawasawa na wengine hupelekwa huko kutaka sifa tu ilakichwani ni ziro.

Vyuo vikuu vipo katika ngazi na ngazi yaani kuna kundi la vyuo laitwa Russel Group ambalo lina vyuo 20 kama Cambridge na Oxford hadi St Andrews aliposoma William na akakutana na Kate na wakachangia chumba cha bweni kwa miaka mitatu.

Yaani hapo mchongo uliishapigwa na watoto wakakutanishwa St Andrews, upo hapo?

Pia kama umegundua kitu, William ndie mfalme "in waiting" na amekuwa akipata mafunzo tangu akiwa sekondari ndo maana hata sasa wamwona akiwa pembeni ya baba yake akisaidia baadhi ya shughuli rasmi lakini ndo yupo mafunzoni.

Hivyo watoto kama prince Louis yupo na uhakika wa maisha kabla hajazaliwa.
 
Hapana husoma shule maalum za awali, ingawa Malkia Elizabeth II yeye na dada yake Margaret walisoma nyumbani.

Ila watoto wengine Charles na wenzake wamesoma shule binafsi.

Kisha wameenda shule maalum za sekondari khasa ile maarufu ya Eton ambayo pia huitwa chuo. Hapo hata weye ukiwa na mkwanja wa uhakika na wapaliliwa kuwa raisi wa nchi fulani, watoto hupelekwa hapo "provided" umekuwa "spotted" uwezo wa akili tangu mdogo.

Hizi shule hakuna mchezo ni kitabu tu, maana vijana waandaliwa kuja kuwa viongozi wa baadae.

Tanzania zipo hizi shule Pugu, Minaki, Tabora Boys na zingine lakini zilififishwa kitambo na wahitimu wa leo hawafikiri sawasawa na wengine hupelekwa huko kutaka sifa tu ilakichwani ni ziro.

Vyuo vikuu vipo katika ngazi na ngazi yaani kuna kundi la vyuo laitwa Russel Group ambalo lina vyuo 20 kama Cambridge na Oxford hadi St Andrews aliposoma William na akakutana na Kate na wakachangia chumba cha bweni kwa miaka mitatu.

Yaani hapo mchongo uliishapigwa na watoto wakakutanishwa St Andrews, upo hapo?

Pia kama umegundua kitu, William ndie mfalme "in waiting" na amekuwa akipata mafunzo tangu akiwa sekondari ndo maana hata sasa wamwona akiwa pembeni ya baba yake akisaidia baadhi ya shughuli rasmi lakini ndo yupo mafunzoni.

Hivyo watoto kama prince Louis yupo na uhakika wa maisha kabla hajazaliwa.
Thanks uko vizuri hii damu safi waijua vyema mkuu.
 
Hapana husoma shule maalum za awali, ingawa Malkia Elizabeth II yeye na dada yake Margaret walisoma nyumbani.

Ila watoto wengine Charles na wenzake wamesoma shule binafsi.

Kisha wameenda shule maalum za sekondari khasa ile maarufu ya Eton ambayo pia huitwa chuo. Hapo hata weye ukiwa na mkwanja wa uhakika na wapaliliwa kuwa raisi wa nchi fulani, watoto hupelekwa hapo "provided" umekuwa "spotted" uwezo wa akili tangu mdogo.

Hizi shule hakuna mchezo ni kitabu tu, maana vijana waandaliwa kuja kuwa viongozi wa baadae.

Tanzania zipo hizi shule Pugu, Minaki, Tabora Boys na zingine lakini zilififishwa kitambo na wahitimu wa leo hawafikiri sawasawa na wengine hupelekwa huko kutaka sifa tu ilakichwani ni ziro.

Vyuo vikuu vipo katika ngazi na ngazi yaani kuna kundi la vyuo laitwa Russel Group ambalo lina vyuo 20 kama Cambridge na Oxford hadi St Andrews aliposoma William na akakutana na Kate na wakachangia chumba cha bweni kwa miaka mitatu.

Yaani hapo mchongo uliishapigwa na watoto wakakutanishwa St Andrews, upo hapo?

Pia kama umegundua kitu, William ndie mfalme "in waiting" na amekuwa akipata mafunzo tangu akiwa sekondari ndo maana hata sasa wamwona akiwa pembeni ya baba yake akisaidia baadhi ya shughuli rasmi lakini ndo yupo mafunzoni.

Hivyo watoto kama prince Louis yupo na uhakika wa maisha kabla hajazaliwa.
Kweli kama una hela ndefu unasoma Eton kama Chancellor of the Exchequer wetu Kwasi
Jamaa kasoma vizuri mpaka Harvard University
 
Kuna nchi wamejua kufaidi matunda yao
Sisi zamani maisha yalikuwa na unafuu sana ila baada ya kuanza wizi wa mali ya umma huku viongozi wakiwa vinara wa kuiba na uongo pamoja na Rushwa wakati ni haki yako hapo ndio tukaangamia

Kurudi kwenye hali ya zamani haitowezekana tena kwani na sisi tumechagua mfumo wa kuiba na kuomba na kutoa rushwa hata kama una haki bado unatoa tu au unauliza

Unafikiri mfumo huu utakuja kubadilika?
Mtoto anaenda shule na matunda walimu wanakula
Akiweka kalamu mwanafunzi kaiba

Wakimaliza shule wakiajiriwa bank wanaangusha 10,000 wakati wanahesabu halafu anakuambia 10 imepungua

Akiwa police au traffic ndio usiseme

Hapo usitegemee ipo siku tutakuwa na heshima kama taifa no one cares
Wazungu wao wana kitu ambacho ni kigumu sana kwa sisi waafrika kukifanya - kujitambua na kisha kuheshimu sheria na taratibu.

Lakini si kwamba hawana wahalifu la hasha ughaibuni wapo mateja, wezi wa mifukoni, wauza madawa ya kulevya na wengine lakini nchi kiuchumi imeweza kuwa-contain watu wa aina hii na wengi hufungwa na kuhudumiwa kwa pamoja.

Ndo kuna mada humu nimezungumzia kodi kwamba ni muhimu kulipa, kodi kwa wenzetu ni lazima utalipa na hata kama ni historical issue ni lazima ulipe.

Ila watawasiliana na weye na kukushauri njia mbalimbali ulipe na mwisho kabisa hata ukupelekwa jela kwa kushindwa kulipa kodi lakini mwenyewe utaona kulikuwa na opportunities za kufanya hivyo.

Kitu kingine nilokigundua kwa hapa Tanzania benki nyingi hawana CCTV cameras hivyo vitendo vya wizi haviwezi kuisha. Kule Ulaya wanaamini sana katika ushahidi wa kamera kwani hauna longolongo ni wazi weye umefanya kitendo cha kushusha 10,000 katika kumhesabia mteja.

Kwahiyo uaminifu, kuwajibika, kuheshimu sheria na taratibu na hii kuanza kufundishwa mashuleni huenda itasaidia watoto wanozaliwa leo kuja kuwa angalua na "decent life".
 
Thanks uko vizuri hii damu safi waijua vyema mkuu.
Nimekuwa nikiifuatilia sana hii familia kwani ni moja ya familia za kifalme ambazo ni tofauti kidogo za familia zingine za kifalme.

Yaani hufanya mambo mengi ambayo yanachanganya kwa wasofuatilia lakini yanafunza kuna kufuata kanuni kali za "play acting", kiinimacho, kupangusa mikono wakitembea na kadhalika.

Kuna mambo mengi pale ya kujifunza khasa uhusiano wa hawa "young couples" William na mdogo wake na wake zao, "very fascinating".
 
Nimekuwa nikiifuatilia sana hii familia kwani ni moja ya familia za kifalme ambazo ni tofauti kidogo za familia zingine za kifalme.

Yaani hufanya mambo mengi ambayo yanachanganya kwa wasofuatilia lakini yanafunza kuna kufuata kanuni kali za "play acting", kiinimacho, kupangusa mikono wakitembea na kadhalika.

Kuna mambo mengi pale ya kujifunza khasa uhusiano wa hawa "young couples" William na mdogo wake na wake zao, "very fascinating".
Oh wow kumbe ndo maana unajua mambo mengi.niifatilia kidogo kifo cha diana mmh hizi familiya sio mchezo.

Napenda movie za kifalme wanaishi maisha mazuri ila magumu, sheeia kibao, mara myoto wa mfalme lazima atafutiwe mke hata kama hampendi mmh.nipo nacheki hii ya kifalme ya kikorea😊
 
Wazungu wao wana kitu ambacho ni kigumu sana kwa sisi waafrika kukifanya - kujitambua na kisha kuheshimu sheria na taratibu.

Lakini si kwamba hawana wahalifu la hasha ughaibuni wapo mateja, wezi wa mifukoni, wauza madawa ya kulevya na wengine lakini nchi kiuchumi imeweza kuwa-contain watu wa aina hii na wengi hufungwa na kuhudumiwa kwa pamoja.

Ndo kuna mada humu nimezungumzia kodi kwamba ni muhimu kulipa, kodi kwa wenzetu ni lazima utalipa na hata kama ni historical issue ni lazima ulipe.

Ila watawasiliana na weye na kukushauri njia mbalimbali ulipe na mwisho kabisa hata ukupelekwa jela kwa kushindwa kulipa kodi lakini mwenyewe utaona kulikuwa na opportunities za kufanya hivyo.

Kitu kingine nilokigundua kwa hapa Tanzania benki nyingi hawana CCTV cameras hivyo vitendo vya wizi haviwezi kuisha. Kule Ulaya wanaamini sana katika ushahidi wa kamera kwani hauna longolongo ni wazi weye umefanya kitendo cha kushusha 10,000 katika kumhesabia mteja.

Kwahiyo uaminifu, kuwajibika, kuheshimu sheria na taratibu na hii kuanza kufundishwa mashuleni huenda itasaidia watoto wanozaliwa leo kuja kuwa angalua na "decent life".
Thank you very much
Umeeleza vizuri kama watoto watafundishwa kuheshimu mali za watu sidhani kama tungefika hapa tulipo
Haya mambo hayakuwepo zamani kwani kila mmoja aliadhibiwa pindi anapokosa
Leo mkurugenzi kaiba billion anaambiwa akae pembeni kwa uchunguzi

Kweli Ulaya kuna wizi ila unaweza kusahau mlango wazi na ukarudi ukakuta vile vile
Nyumba zote milango ya nyuma ni vioo ila hukuti wamevunja na kuiba [emoji342]

Kama nyumbani kuna maadili sidhani kama tungefika hapa

Asante
 
Oh wow kumbe ndo maana unajua mambo mengi.niifatilia kidogo kifo cha diana mmh hizi familiya sio mchezo.

Napenda movie za kifalme wanaishi maisha mazuri ila magumu, sheeia kibao, mara myoto wa mfalme lazima atafutiwe mke hata kama hampendi mmh.nipo nacheki hii ya kifalme ya kikorea😊

Kifo cha Diana hakikuwa kizuri sana na kilipokewa kwa hisia tofauti sana na wananchi, alikufa akiwa mdogo sana miaka 36.

Kama waweza jiunge kwenye shows kama Showmax na Netflix humo wana hizo movies unozisema.
 
"Haya mimi ntakusontea tu pa kwenda"
Say it again 😅😅Hapa ndo umeongea kiume thatha. i like it. 30's sio mbaya kukuita kaka🤣

"Jana nilikuwa namwambia mwanangu je ungesubiri kuwa mfalme kwa miaka 50 ?
Akasema angefanya yake tu
Sasa imagine huku kama urithi wa nyumba tu watu wanauwa itakuwa ufalme"


mwanao kwa kiasi fulani alikuwa sahihi, sema hawa damu safi hawafi mapema yaani wana kama uakika wa kufika 80yrs mtu hapo lazima asubiri mtangulizi wake afe
🤭
"Ufalme huu jamani
Yaani William kasimama na Queen consort Camilla huku Baba akihutubia daa nafasi ya Di Ila nae anaweza akasubiri sana kuwa mfalme"

Kiafrica africa auwawe mwenzie achukuwe😂😂
luckyline kwa ufupi Black Sniper ni baba yako mambo ya kusema ni kaka yaache kabisaa, huyu mkuu alitupa historia ya vita ya iraq na alikuwepo huko dunia ya kwanza tayari.
 
Back
Top Bottom