Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Saluti sana mkuu.Sio Gulf War tu mkuu way back
Vita ya Uganda nilikuwa Secondary school
Na vita ya Iraq/ Iran nilikuwa huko nimevaa combat kwa nchi nyingine jirani
Nilishiriki mengi huko mpaka Saddam anatutimua huko ila nilifanikiwa kuondoka na kuja kwa mudhungu haha