Saluti sana mkuu.Sio Gulf War tu mkuu way back
Vita ya Uganda nilikuwa Secondary school
Na vita ya Iraq/ Iran nilikuwa huko nimevaa combat kwa nchi nyingine jirani
Nilishiriki mengi huko mpaka Saddam anatutimua huko ila nilifanikiwa kuondoka na kuja kwa mudhungu haha
Nashukuru Mungu kwa kila haliSaluti sana mkuu.
ShikamoooSio Gulf War tu mkuu way back
Vita ya Uganda nilikuwa Secondary school
Na vita ya Iraq/ Iran nilikuwa huko nimevaa combat kwa nchi nyingine jirani
Nilishiriki mengi huko mpaka Saddam anatutimua huko ila nilifanikiwa kuondoka na kuja kwa mudhungu haha
Marahaba wanangu
Yupo umri sana na Malkia. Wote ni vijana waliozaliwa mwaka 1926.Mwinyi ana miaka mingapi
Asee best kumbe we mjeda?[emoji1787][emoji1787]Sio Gulf War tu mkuu way back
Vita ya Uganda nilikuwa Secondary school
Na vita ya Iraq/ Iran nilikuwa huko nimevaa combat kwa nchi nyingine jirani
Nilishiriki mengi huko mpaka Saddam anatutimua huko ila nilifanikiwa kuondoka na kuja kwa mudhungu haha
Kwanini hutoi " Shikamoo"?Asee best kumbe we mjeda?[emoji1787][emoji1787]
( Ila shikamoo sikupi)
Hapana, Mwinyi amezaliwa Mwaka 1925.Yupo umri sana na Malkia. Wote ni vijana waliozaliwa mwaka 1926.
Maisha haya huwezi kujua watu wamepitia mangapiAsee best kumbe we mjeda?[emoji1787][emoji1787]
( Ila shikamoo sikupi)
Mwanaume hazeeki bwanaKwanini hutoi " Shikamoo"?
Hutaki mnyima chochote?
Labda tozo zote tukukabidhi weweNimebakiza miaka 63 kufikisha miaka 96,kumbe bado nina muda hapa Duniani
Kuna kiasi cha £80 billions kwenye mzunguko kwa sasaVipi noti mpya zenye picha ya King Charlz zimeshachapishwa????
Mwenzangu na Mimi,Mungu atupe uhaiNimebakiza miaka 63 kufikisha miaka 96,kumbe bado nina muda hapa Duniani
Huko sahauni wakuu, mbali mno kwa kizazi cha wala chipsMwenzangu na Mimi,Mungu atupe uhai