Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafiwa wa jf[emoji23][emoji23][emoji23]Pole kwa wafiwa.
Dhuuuuuuhatimaye amefariki....muhimili wa zile familia 13 za kishetani zinazotawala dunia.
Sijakuelewahatimaye amefariki....muhimili wa zile familia 13 za kishetani zinazotawala dunia.
Unakejeli halafu unashangilia timu za EPL. Hopeless.Tusubirie waingereza wa buza waanze kupost insta na wasap status.. RIP
BurianiView attachment 2350520
Buckingham Palace wametangaza kifo cha Malikia Elizabeth wa 11 muda huu
Habari zaidi kuwajia
----
The Queen died peacefully at Balmoral this afternoon.
The King and The Queen Consort will remain at Balmoral this evening and will return to London tomorrow.
View attachment 2350514
Umedanganywa na CD za maostoz hapo mwananyamala au kijiwe samli kama sio Buguruni basi nawe wajiona umeandika LA maaaanaaahatimaye amefariki....muhimili wa zile familia 13 za kishetani zinazotawala dunia
Uwe unasalimia wakubwa hapa jukwaani.Nimebakiza miaka 63 kufikisha miaka 96,kumbe bado nina muda hapa Duniani
Malkia huwa anakaa Sana Windsor na ndipo alipokulia akiwa mdogo anapapenda sanaWanaelekea kwan ni mbali sana na yy alipo??? Au ni km hapa na USA??[emoji23][emoji23][emoji23]
Umedanganywa na CD za maostoz hapo mwananyamala kama sio Buguruni basis nawe wajiona umeandika LA maaaanaaa
Sasa unataka Malkia awe anazurua mtaani,yuko Buckingham.palace akichapa kazi.Nafuatilia kwa karibu
Ndugu na wajukuu wamefika Balmoral
Ila wenzetu hawana uongo wala kuficha
Kama anaumwa wanasema
Wauguzi wake wanasema anaangaliwa kwa ukaribu
Ila sisi tungesema yupo bukheri
Hivi ndio baba yao na prince William ?Price Charles....anachukua uongozi...King Charles.
Noma sana, mama Dagama.Bila shaka mama Samia anapanga nguo tayari kwa safari kuelekea msibani