TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96

TANZIA Malkia wa Uingereza, Elizabeth II afariki dunia akiwa na miaka 96



Julius Malema Message to Britain on Queen Elizabeth passing. We don't Care
 
Hawa ma-princess/prince wanakuwa na ofisi zao kabisa za kuingia na kufanya kazi au ni maneno tuu!...mfano haka ka princess of cornwall nimekapenda sababu tunafanana!! sasa haka kataingia ofisini kafanye nini haka!

Siku UK ikipigwa/kuchakazwa na Russia na China ndo Mwisho wa hii familia ya kifalme!!….Wachoyo sana hawa watu weupe wamezipiga vita familia za kifalme za waafrica weeee!! mpaka wamebaki wenyewe tu!

Na sisi weusi ndiyo wa kwanza kuunda Falme Duniani, wao wamekopi tu!...wakatupiga vita weeee!! ili wabaki peke yao wakiwa na falme zao! AFRICA tumebaki na tufalme tuwili tuu!! Yaani Swaziland na Lesotho!!

usinambie eti na Morocco! siyo weusi wale!...wapi kwingine nimesahau….Bunyoro au....nooo ngoja nije kwanza
Sasa mkuu hivyo vinchi ndio unavihesabia kuwa navyo vina ufalme wao vinchi vyenyewe vidogooo vipo kama havipo ukizingatia vipo ndani ya south africa
 
Tho ni ngumu kusogelea hii familiya ila kama mzaa ikatokea chance hata kwa kutegeshea mimba nikamkamata mtoto mmoja wa hii familiya.siwezi kuwa mzembe aiseee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapa kuna aatu watasema naota ahaaa kwa mara ya kwanza naweza jirahisisha kwa mwanaume [emoji28][emoji28][emoji85][emoji85][emoji85]
Huogopi yakakukuta ya Prince Andrew na rafiki yake Epstein marehemu?

Hivi huwezi kujipendekeza kwa mama mkaja nae kwenye mazishi ili usogee hata lwa kina Charlotte
 
Huogopi yakakukuta ya Prince Andrew na rafiki yake Epstein marehemu?

Hivi huwezi kujipendekeza kwa mama mkaja nae kwenye mazishi ili usogee hata lwa kina Charlotte
Aah wapi siogopi chochote.

Ahaaaa ati nijisogeze kwa mama😆😆😆loh, mkuu mimi nitakujaga kivyangu mchongo ukitiki🤣
Mbona leo hujatupa updates?
 
Aah wapi siogopi chochote.

Ahaaaa ati nijisogeze kwa mama[emoji38][emoji38][emoji38]loh, mkuu mimi nitakujaga kivyangu mchongo ukitiki[emoji1787]
Mbona leo hujatupa updates?
Na siku ukija lazima nikutembeze kila sehemu ila usiseme sasa utatembea kivyako [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Leo nilikuwa busy sana sorry
Nimesikiliza tu radio kwenye Gari kuwa tutakuwa na holiday siku ya mazishi na itakuwa official bank holiday

Ila pia nasikia watoto wa Harry watapewa vyeo vyao vya Prince na Princess na Babu yao
Maana ni sheria iwapo ataamua kuwapa wajukuu zake
 
Na siku ukija lazima nikutembeze kila sehemu ila usiseme sasa utatembea kivyako [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Leo nilikuwa busy sana sorry
Nimesikiliza tu radio kwenye Gari kuwa tutakuwa na holiday siku ya mazishi na itakuwa official bank holiday

Ila pia nasikia watoto wa Harry watapewa vyeo vyao vya Prince na Princess na Babu yao
Maana ni sheria iwapo ataamua kuwapa wajukuu zake
Yaani nikija itabidi ,kuwekacsawa mambo mapema ni mwendo wa kaka na dada mwanzo mwisho, ikifika wakati wa kuisogelea familiya yenye damu safi kaka inabidi uwe mbali na mimi wasije nisingizia nimeolewa dili likafa🤣🤣🤣🤣🤣

Aisee mfalme mpya ni mzee sana dah, tho simbaya.wazee ni wa huku bongo walio choka.

Mambo ya kifalme bana mtu anaishigi kwa kusubiri fulani afe achukuwe kiti🙄🙄
 
Yaani nikija itabidi ,kuwekacsawa mambo mapema ni mwendo wa kaka na dada mwanzo mwisho, ikifika wakati wa kuisogelea familiya yenye damu safi kaka inabidi uwe mbali na mimi wasije nisingizia nimeolewa dili likafa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Aisee mfalme mpya ni mzee sana dah, tho simbaya.wazee ni wa huku bongo walio choka.

Mambo ya kifalme bana mtu anaishigi kwa kusubiri fulani afe achukuwe kiti[emoji849][emoji849]
Hahaha kwa kweli nimecheka sana you have sense of humor [emoji1787]
Ukiwa Dada ntafurahi sana ingawa nakupita sana kwa umri ninavyowaza lakini
King kanipita kidogo tu maana yake hawezi kunizaa kwa umri wake Bali ni kaka tu kwangu haha

Haya mimi ntakusontea tu pa kwenda

Jana nilikuwa namwambia mwanangu je ungesubiri kuwa mfalme kwa miaka 50 ?
Akasema angefanya yake tu
Sasa imagine huku kama urithi wa nyumba tu watu wanauwa itakuwa ufalme

Ufalme huu jamani
Yaani William kasimama na Queen consort Camilla huku Baba akihutubia daa nafasi ya Di
Ila nae anaweza akasubiri sana kuwa mfalme
 
Hahaha kwa kweli nimecheka sana you have sense of humor [emoji1787]
Ukiwa Dada ntafurahi sana ingawa nakupita sana kwa umri ninavyowaza lakini
King kanipita kidogo tu maana yake hawezi kunizaa kwa umri wake Bali ni kaka tu kwangu haha

Haya mimi ntakusontea tu pa kwenda

Jana nilikuwa namwambia mwanangu je ungesubiri kuwa mfalme kwa miaka 50 ?
Akasema angefanya yake tu
Sasa imagine huku kama urithi wa nyumba tu watu wanauwa itakuwa ufalme

Ufalme huu jamani
Yaani William kasimama na Queen consort Camilla huku Baba akihutubia daa nafasi ya Di
Ila nae anaweza akasubiri sana kuwa mfalme
"Haya mimi ntakusontea tu pa kwenda"
Say it again 😅😅Hapa ndo umeongea kiume thatha. i like it. 30's sio mbaya kukuita kaka🤣

"Jana nilikuwa namwambia mwanangu je ungesubiri kuwa mfalme kwa miaka 50 ?
Akasema angefanya yake tu
Sasa imagine huku kama urithi wa nyumba tu watu wanauwa itakuwa ufalme"


mwanao kwa kiasi fulani alikuwa sahihi, sema hawa damu safi hawafi mapema yaani wana kama uakika wa kufika 80yrs mtu hapo lazima asubiri mtangulizi wake afe
🤭
"Ufalme huu jamani
Yaani William kasimama na Queen consort Camilla huku Baba akihutubia daa nafasi ya Di Ila nae anaweza akasubiri sana kuwa mfalme"

Kiafrica africa auwawe mwenzie achukuwe😂😂
 
Nimeipenda collabo ya prince and princess of wales and Sussex katika kusalimia wananchi na kuangalia maua ya pole kule Windsor palace
 
"Haya mimi ntakusontea tu pa kwenda"
Say it again [emoji28][emoji28]Hapa ndo umeongea kiume thatha. i like it. 30's sio mbaya kukuita kaka[emoji1787]

"Jana nilikuwa namwambia mwanangu je ungesubiri kuwa mfalme kwa miaka 50 ?
Akasema angefanya yake tu
Sasa imagine huku kama urithi wa nyumba tu watu wanauwa itakuwa ufalme"


mwanao kwa kiasi fulani alikuwa sahihi, sema hawa damu safi hawafi mapema yaani wana kama uakika wa kufika 80yrs mtu hapo lazima asubiri mtangulizi wake afe
[emoji2960]
"Ufalme huu jamani
Yaani William kasimama na Queen consort Camilla huku Baba akihutubia daa nafasi ya Di Ila nae anaweza akasubiri sana kuwa mfalme"

Kiafrica africa auwawe mwenzie achukuwe[emoji23][emoji23]
My dear I am over 60 believe me
Back in 1989 that was the year I left bongo kutafuta maisha nje [emoji22]

Labda kukaa kwangu huku naweza gonga 90 [emoji1]
Halafu useme sijakuambia umri
 
My dear I am over 60 believe me
Back in 1989 that was the year I left bongo kutafuta maisha nje [emoji22]

Labda kukaa kwangu huku naweza gonga 90 [emoji1]
Halafu useme sijakuambia umri
Wala sipingi Mungu akulinde ufikishe hata 130yrs.
 
My dear I am over 60 believe me
Back in 1989 that was the year I left bongo kutafuta maisha nje [emoji22]

Labda kukaa kwangu huku naweza gonga 90 [emoji1]
Halafu useme sijakuambia umri
Duuh kongole mkuu yani kumbe humu tuko hadi na baba zetu

Umempita mpaka mzee wangu kiumri

Vipi wanao nao wanaishi huko
 
Tho ni ngumu kusogelea hii familiya ila kama mzaa ikatokea chance hata kwa kutegeshea mimba nikamkamata mtoto mmoja wa hii familiya.siwezi kuwa mzembe aiseee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hapa kuna aatu watasema naota ahaaa kwa mara ya kwanza naweza jirahisisha kwa mwanaume 😅😅🙈🙈🙈
Hatua utayochukua itajaitwa "extraordinary".

Ila, penye nia pana njia.
 
Back
Top Bottom