Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Unaweza uone utani lakini kwenye uzi huu ndio nikakumbuka kumbe hii nchi ina Makamu wa Raisi???
Huyu jamaa sijui kapotelea wapi pamoja na Shangwe yote ile alipoteuliwa.
Jina lenyewe linakuja na kupotea.

Hiki cheo kipo ki katiba zaidi ila kiutendaji hamna kitu, nilijua ni kipindi cha magu tuu, lakini ona sasa..

Mambo kama haya tungemuona wakati mama Akiwa zake Kenya-Uganda.
 
Mama Samia, weka watu wako haraka sana kila sehemu nyeti ya nchi yetu, huenda unahujumiwa, piga chini wote ambao sio chaguo lako katika sehemu nyeti zote.. Mfano TPA, BOT, NCAA, TANAPA, ATCL, MAWIZARANI najua umesafisha tayari, ila taasisi na mamlaka nyingi serikalini bado, weka watu wako, eg RCs, DC, DEDs, GMs, CEOs, DGs, piga chini weka watu wako who will be loyal and watakufanyia kazi kwa nidhamu na ufanisi.. Piga chini haraka, otherwise watakuhujumu hao, sbb hujawachagua ww, Mama Samia do that ASAP. Usipofanya hivyo utasikia viatu vya marehemu vinakupwaya. Mfano mzuri ni pale ATCL, piga haraka yule Matindi, sio mtaalamu wa Aviation hata kidogo, ni mbabaishaji tu. Mama Samia, unanisikia Mama yangu? 😪😪😥
 
Umeamua kuja kupigilia msumari kabisa

Hii inaitwa bora tukose wote

Nimetumia njia ya mbagala/kurasini shimo la udongo kwa muda mrefu sana,sijawahi kuona foleni bandarini ya malori imepungua,njia hiyo ina foleni sana na chanzo chake ni malori....Ukitaka kuprove kwamba "SUKUMA GANG" wanamsagia nzi Mh SSH muulize mtu anayekaa mbagala atakwambia kadhia ya malori kwenda bandarini ,muulize kama kuna siku enzi ya mwenda zake Nov 2015 - March 2021 kama kuna siku kulikuwa hakuna foleni kabisa ya malori.
 
Mama Samia, weka watu wako haraka sana kila sehemu nyeti ya nchi yetu, huenda unahujumiwa, piga chini wote ambao sio chaguo lako katika sehemu nyeti zote.. Mfano TPA, BOT, NCAA, TANAPA, ATCL, MAWIZARANI najua umesafisha tayari, ila taasisi na mamlaka nyingi serikalini bado, weka watu wako, eg RCs, DC, DEDs, GMs, CEOs, DGs, piga chini weka watu wako who will be loyal and watakufanyia kazi kwa nidhamu na ufanisi.. Piga chini haraka, otherwise watakuhujumu hao, sbb hujawachagua ww, Mama Samia do that ASAP. Usipofanya hivyo utasikia viatu vya marehemu vinakupwaya. Mfano mzuri ni pale ATCL, piga haraka yule Matindi, sio mtaalamu wa Aviation hata kidogo, ni mbabaishaji tu. Mama Samia, unanisikia Mama yangu? [emoji25][emoji25][emoji26]
Hata yeye analijua hilo na nadhani analifanyia kazi kwa kushauriana na washauri wake aliowatangaza juzi.

Labda hana watu
 
Unaweza uone utani lakini kwenye uzi huu ndio nikakumbuka kumbe hii nchi ina Makamu wa Raisi???
Huyu jamaa sijui kapotelea wapi pamoja na Shangwe yote ile alipoteuliwa.
Jina lenyewe linakuja na kupotea.

Hiki cheo kipo ki katiba zaidi ila kiutendaji hamna kitu, nilijua ni kipindi cha magu tuu, lakini ona sasa..

Mambo kama haya tungemuona wakati mama Akiwa zake Kenya-Uganda.
Makamu kazi yake kukata Tepe
 
Nimetumia njia ya mbagara/kurasini shimo la udongo kwa muda mrefu sana,sijawahi kuona foleni bandarini ya malori imepungua,njia hiyo ina foleni sana na chanzo chake ni malori....Ukitaka kuprove kwamba "SUKUMA GANG" wanamsagia nzi Mh SSH muulize mtu anayekaa mbagara atakwambia kadhia ya malori kwenda bandarini ,muulize kama kuna siku enzi ya mwenda zake Nov 2015 - March 2021 kama kuna siku kulikuwa hakuna foleni kabisa ya malori.
Hujuma ukiangalia huyo PM hakuna alichotatua, SANA SANA kawaambia maneno ya kwenye assembly sekondari, TRA wajitahidi mfumo ufanye kazi na wafanye kazi.
Kuna kakikundi genge kanakotafuta, kwa lazima LEGACY ya mwendazake au wanajiandalia kampeni za kumnyang'anya kijiti mama 2025.


Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hujuma ukiangalia huyo PM hakuna alichotatua, SANA SANA kawaambia maneno ya kwenye assembly sekondari, TRA wajitahidi mfumo ufanye kazi na wafanye kazi.
Kuna kakikundi genge kanakotafuta, kwa lazima LEGACY ya mwendazake au wanajiandalia kampeni za kumnyang'anya kijiti mama 2025.


Everyday is Saturday............................... 😎

Sure ,Mama SSH awe makini sana na wanafiki wanaomzunguka ila naona kuna baadhi ashawapangua!! Wengi hawakupenda alivyochukua nafasi.
 
Back
Top Bottom