Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanya biashara mkuu?makusanyo yameshuka toka trillion 2 hadi billion 300 kwa mwezi, TRA wanadai kwa sasa matajiri ndo wanapanga kiasi cha kutoa na si kile wanachostahili kutoa, tunakoelekea mungu pekee ndo anajua
Kaanze comment yangu ya kwanza labda utaelewa.Naona coment zako nyingi zina jina la Magu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] huku mada ni msongamano wa magari bandarini
Daa kweli mkuu malezi bora yanazaa jamii bora taifa boraHuwezi kuwa na taasisi imara wakati una rasilimali watu yenye mapungufu makubwa kama yetu. Mnalilia taasisi imara kwa watanzania wapi mkuu, hawa wezi, wavivu, wasio wazalendo? Taasisi imara zinaletwa na raia waliokuzwa katika malezi bora.
"SIRI YA MTUNGI AIJUAYE NI KATA" ITS WAS JUST LIKE A SECRET MOVIE,MIFUKO YOTE YA JAMII ILIFILISIWA ILI KUNUNUA NDEGE NA KUJENGA UYAONAYO.....Kiukweli yapo mambo mengi Magufuli aliyaweka sawa sana. Bandarini palikaa sawa,japo sio kwa asilimia zote ila mambo mengi yaliwekwa sawa. Hivi sasa rush
wa imeanza kwa kasi hata kwa watu wa chini hawa waendesha mitambo ya kupakia. Soon tutashuhudia ule wizi wa kwenye makontena,kwenye magari yanayoingia unarudi kwa kasi.
Mwananchi online linaripoti kukwama kwa malori bandarini.
Je wapo wanaopima kina cha maji?
========
Mwananchi Digital imeripoti kuwa katika bandari ya Dar es Salaam kuna maroli (magari makubwa ya mizigo) yamekwama kwa siku kadhaa hivyo kusababisha madereva wa maroli kulala na kuamka hapo hadi kufikia siku nne, madereva hao wamedai kulala na kula kwenye magari yao na kuomba kujisadia katika vyoo vya ofisi za jirani kwa kuwa hapo bandarini hakuna vyoo.
Madereva hao wamedai chanzo cha uchelewashaji huo wa mizigo unatokana na ucheleweshwaji wa kupakua na kupakia mizigo na na ucheleweshwaji wa vibali vinavyoruhusu mizigo kusafirishwa.
Hata hivyo juhudi za kumpata mkurugenzi wa mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Eriki Hamisi ziligonga mwamba baada ya kujibiwa kuwa yuko kikaoni na baadae simu yake ilipiwa bila kupokelewa. Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Leonard Chamriho aliahidi kumuunganisha mwandishi na watu wanaohusika jambo ambalo pia halikufanyika.
Dereva aeleza, "mimi toka nipo hapa siku ya nne ushushaji wa kopa bandarini ni mbovu ukimuuliza ajenti anakwambia gari zimejaa, mwenye mzigo anasema nimekodisha godauni natumia foko za bandari ukimwambia nilete foko zangu anasema hakuna sheria ya kuleta foko zako. Kwa hiyo bandarini ukiritimba umerudi kama zamani na rushwa imerudi. Tunaomba serikali iingilie kati swala hili madereva tunateseka bandarini kumeoza tunaomba msaada".
Jenista ksema Majaliwa kishatia timu bandarini tayari, lazima kinuke. Kuna Watanzania bado wako usingizini pale bandarini, naona hajaamka na kuendana na mazingira mapya ya MAMAHatari sana. Kina kinapimwa.
Acha uongo we husikii dreva analalama??Iko hivi hii foleni sio ya leo Wala Jana, Ila kipindi kilichopita watu walikua wanaogopa kuhoji kwa kuwa Sasa Kuna Uhuru wa kuhoji ndio mana tunayasikia haya kukaa bandarini siku nne ni kawaida na sababu wanakuambia system haifanyi kazi. Wafanyakazi wanafanya Kama wanavojisikia ma operator mpaka uwape chochote mlinzi getini nae hela folio nao pesa ni upupu mtupu
Nachukia sana Kiongozi dhaifu dhaifu, tunarudi kama enzi za Mr.Dhaifu wa MsogaMwananchi online linaripoti kukwama kwa malori bandarini.
Je wapo wanaopima kina cha maji?
========
Mwananchi Digital imeripoti kuwa katika bandari ya Dar es Salaam kuna maroli (magari makubwa ya mizigo) yamekwama kwa siku kadhaa hivyo kusababisha madereva wa maroli kulala na kuamka hapo hadi kufikia siku nne, madereva hao wamedai kulala na kula kwenye magari yao na kuomba kujisadia katika vyoo vya ofisi za jirani kwa kuwa hapo bandarini hakuna vyoo.
Madereva hao wamedai chanzo cha uchelewashaji huo wa mizigo unatokana na ucheleweshwaji wa kupakua na kupakia mizigo na na ucheleweshwaji wa vibali vinavyoruhusu mizigo kusafirishwa.
Hata hivyo juhudi za kumpata mkurugenzi wa mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Eriki Hamisi ziligonga mwamba baada ya kujibiwa kuwa yuko kikaoni na baadae simu yake ilipiwa bila kupokelewa. Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Leonard Chamriho aliahidi kumuunganisha mwandishi na watu wanaohusika jambo ambalo pia halikufanyika.
Dereva aeleza, "mimi toka nipo hapa siku ya nne ushushaji wa kopa bandarini ni mbovu ukimuuliza ajenti anakwambia gari zimejaa, mwenye mzigo anasema nimekodisha godauni natumia foko za bandari ukimwambia nilete foko zangu anasema hakuna sheria ya kuleta foko zako. Kwa hiyo bandarini ukiritimba umerudi kama zamani na rushwa imerudi. Tunaomba serikali iingilie kati swala hili madereva tunateseka bandarini kumeoza tunaomba msaada".
Nawe una shida tu sisi tupo bandalin toka enzi za jk, magu na sasa suluu kipindi ambacho vifaa vimeongezeka kwa wingi bandarin ni kipindi cha Magufuli, upo tu unaongea ongea bila kujua unaongea niniUtalaumu Watumishi unafikiri meli inapakuliwa kwa mikono? Mwulizeni Magufuli na Kakoko walioiba fedha zote za Bandari wakaiacha haina hata uwezo wa kununua wala kurepea mashine za kupakua na kupakilia mizigo; mnalaumu msiyoyajua...Samia atamwajibisha mfanyakazi asiyekuwa na vifaa vya kazi, na ambaye kwa miaka mitano amedhulumiwa haki zake?
Jamaa anaboa sanaNawe una shida tu sisi tupo bandalin toka enzi za jk, magu na sasa suluu kipindi ambacho vifaa vimeongezeka kwa wingi bandarin ni kipindi cha Magufuli, upo tu unaongea ongea bila kujua unaongea nini
Tumpima na hizi data kama tulivomoima kikwete na JPMJPM mlikuwa mnasema anatengeneza matatizo hili ayatatue, kamwambie SSH na yeye atatue haya matatizo anayotengeneza ili tuone kichwani yupo vizuri, sio kutuambia tu viongozi wake wanademka.
We nawe mnafki mkubwa kupitiliza mimi wakati wote naingia bandalin. Ukweli ni kwamba enzi za Magufuli bandari ilikuwa safi sana kila mfanyakazi wa bandar unamkuta katika kituo cha kazi na unahudumiwa kama vile uko stendi ya basi na ni muda ule hakuna wasafiri yaani mchana, lkn mambo yale ya zamani ya kucheleweshewa huduma, kutokuwa ktk kituo cha kaz yameanza baanda ya Mwendazake kwenda.Magufuli hakufanya lolote kuisaidia bandari iwe na Ufanisi...baada ya zile ziara zake za kufokafoka na kugombana na ambulance za Membe uliwahi tena kumwona akifika bandarini na fujo zake zile? Unafikiri kwanini hakufika? Jibu simple...tatizo lake lilikuwa wateule wa Kikwete, alipofanikiwa kuwaondoa akaweka wapiga dili wake wa Tanroads hakuwa na habari tena na bandari, akina Kakoko wakaota mapembe, wakafanya ufisadi wa kutisha kwa kushirikiana na Mamlaka ya Juu...ndo juzi mlikuwa mnashangilia ametumbuliwa kwa wizi mlifikiri aliiba baada ya Magufuli kufa? au mlikuwa mnashangilia kitu gani?
Hivi Ni laana gani JPM katuachia?Hatari sana. Kina kinapimwa.