Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Toa ufafanuzi uhimara wa taasisi inatakiwa uwaje? Je anayesimamia hiyo taasisi anatakiwa awaje?
Taasisi imara ni ile inayoendeshwa na principles sio matamko
Ukishakuwa na kanuni nzuri , matamko yanapotea automatically.
Ukishakuwa na matamko , jua siku haupo watu wanarudi square one.na ndio kilichokuwa kinatokea katika utawala wa 5, mikwara mingi akifika sehemu , akitoka watu wanaendeleza libeneke.
 
Siamini leo mnamponda mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Niwape pole na kazi iendelee
 
Utamskia anasema heee,nawaona mnavyodemka huko mitandaoni kama vile hamjui na mimi namdemkia mume wangu,niacheni nipake wanja mie 👌🤸‍♂️
Si tumo tu hapo bado mi4 tena
 
Siamini leo mnamponda mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Niwape pole na kazi iendelee
Alafu demi njoo kule ndani tuendelee na kazi kama Kawaida, muda ni huu.
 
Kama anazingua apondwe tu!
Wanasiasa wote ni walewale, kujipa matumaini ni kupoteza muda. Bora jiwe alikuwa anatuburudisha na vituko vyake...na mikwara yake ilikuwa inawaogopesha baadhi ya watumishi, nidhamu kidogo ilikuwepo. Now watu wanajiachia...Dingi kasafiri
 
Huwezi kuwa na taasisi imara wakati una rasilimali watu yenye mapungufu makubwa kama yetu. Mnalilia taasisi imara kwa watanzania wapi mkuu, hawa wezi, wavivu, wasio wazalendo? Taasisi imara zinaletwa na raia waliokuzwa katika malezi bora.
Tasisi imara huanza na katiba bora , lazima kuwe na check and balances ndio unapata taasisi nzuri
Hao.akina Kakoko uovu wao sio.kwamba ulikuwa haujulikani , ni vile tu,. Aliyemweka madarakani hapo alikuwa hagusiki na chochote kile kwa sababu ya katiba mbovu.
 
Zimesajiliwa lorry mpya nyingi sana juzi kati na zinaendelea kusajiliwa kuna madon wanataka gari zao tu zipewe kipaumbele

One step back
 
Lini tatizo lilitatuliwa la foleni bandarini?

DARBANDA.jpg
 
Back
Top Bottom