Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
Dah....mkuu umewahi kutumia bandari.....kabla ya JPM.... wakati wa JPM....na baada ya JPM? Au unaandika tu? ,[emoji2960]MATAGA+SUKUMA GANG mna pumzi ya kutosha? Maana naona mnataka kuijaribu sumu kwa kuilamba.
Tena watakaowateka na kuwang'oa kucha na meno bila ganzi ni wasukuma wenzenu.
Acheni hiyo michezo kubalini ukweli kuwa bosi wenu yupo futi sita chini na ameshaoza tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app