Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Malori yakwama bandarini Dar, madereva walalamikia ukiritimba na rushwa kurudi kama zamani

Uko sahihi mkuu
ndio maana wenzetu wamewekeza kwenye uimara wa taasisi maana wanasiasa wanakuja na kupita ila taasisi zpo palepale cku zote, anyway tumwache mama ajipange afanye kazi
 
Leo asubh nilipita ofis moja inahusika na Clearing and Forwarding, wakaanza kupiga stori za Bandari kuwa kuna watumishi sikuhizi hawaendi kazini pale Bandari na ndio maana usumbufu umekuwa mwingi..!! Kwa bahati nzuri akieongea haya ni mmama ila aliweka bayana ile kazi Samia sidhani kama ataiweza maana sasahivi pale uzembe umerudi watu hawaendi ofisn wao kazi yao kuweka miforeni tu ila wale rushwa, akamalizia Tangia Magufuli afariki ni ovyo kabisa.
yaan wafanyakazi hawaendi kazini management ipo, wizara ipo halafu lawama apewe raisi?
 
Utalaumu Watumishi unafikiri meli inapakuliwa kwa mikono? Mwulizeni Magufuli na Kakoko walioiba fedha zote za Bandari wakaiacha haina hata uwezo wa kununua wala kurepea mashine za kupakua na kupakilia mizigo; mnalaumu msiyoyajua...Samia atamwajibisha mfanyakazi asiyekuwa na vifaa vya kazi, na ambaye kwa miaka mitano amedhulumiwa haki zake?
Mkuu kwani wakati wa JPM hiyo mizigo ilikua inapakuliwa na nini? Au hizo mashine za kupakua zimekua na tatizo baada ya JPM kufariki?
 
Uongozi ni kipaji na si vinginevyo, uongozi unahitaji kujituma, uongozi unahitaji kufikiri sana, uongozi unahitaji ubunifu, kiukweli huyu mama ni kama ana practice mapishi, mtu wa kumsaidia zaidi alikuwa Majaliwa lakini naye amewekwa kwenye deep freezer


Nasikia PM kabla hajaingia kwenye awamu ya Bi Mkubwa aliitwa akabananishwa: ^Najua sera yako ni sawa na yule mzalendo wenu. But sasa upepo umebadilisha welekeo wa tanga, tumeng'oa nanga kwa mapanga, hatuendi tena Pangani bali Tanga. Kama upo nasi kubali kupokea maelekezo mapya. Otherwise, I gonna throw you overboard. Do you hear me!???^

PM: ^Hakuna shida. Hakuna shida. Niko na wewe. Nakuunga mkono asilimia 100^

Bi Mkubwa: ^Sawa! Subiri matokeo^

PM (wakati akishukuru): ^Bi Mkubwa, kwanza napenda kukushukuru sana. Eee maana baadhi yetu nasi tumejikuta tumo kwenye baraza lako. Asante sana. Asante sana. Nakupongeza sana, sana Bi Mkubwa^
 
Nasikia PM kabla hajaingia kwenye awamu ya Bi Mkubwa aliitwa akabananishwa: ^Najua sera yako ni sawa na yule mzalendo wenu. But sasa upepo umebadilisha welekeo wa tanga, tumeng'oa nanga kwa mapanga, hatuendi tena Pangani bali Tanga. Kama upo nasi kubali kupokea maelekezo mapya. Otherwise, I gonna throw you overboard. Do you hear me!???^

PM: ^Hakuna shida. Hakuna shida. Niko na wewe. Nakuunga mkono asilimia 100^

Bi Mkubwa: ^Sawa! Subiri matokeo^

PM (katika shukrani): ^Bi Mkubwa, kwanza napenda kukushukuru sana. Maana baadhi yetu nasi tumejikuta tumo kwenye baraza lako. Asante sana. Asante sana. Nakupongeza sana, sana Bi Mkubwa^
We are finished
 
Ukweli ndo huo; vifaa vimekufa vyote...huwezi kupakua meli ya Makontena na Mashine moja; hali ni mbaya ikinyesha mvua ndo balaa...naamini sababu moja ya Mama Samia kumtumbua Kakoko ni hiyo; mshenzi sana yule kazi yake ilikuwa kuiba hela wakajenge vituo vya kuuza mafuta kwao Burundi na Rwanda na kuacha bandari iko hoi; Vifaa havinunuliwi, Wakandarasi hawalipwi, Wafanyakazi hawalipwi...Wizi mtupu pumbavu!
Mkuu bado hujajibu swali langu,kama issue ni vifaa vya kupakulia,kwanini wakati wa jpm hakukua na hizo delay? Hilo tatizo limekuja ghafla baada ya jpm kufariki au kuna uzembe tu unatokea?
 
Utalaumu Watumishi unafikiri meli inapakuliwa kwa mikono? Mwulizeni Magufuli na Kakoko walioiba fedha zote za Bandari wakaiacha haina hata uwezo wa kununua wala kurepea mashine za kupakua na kupakilia mizigo; mnalaumu msiyoyajua...Samia atamwajibisha mfanyakazi asiyekuwa na vifaa vya kazi, na ambaye kwa miaka mitano amedhulumiwa haki zake?
Umeongea ukweli mtu

Vifaa vinavyotumika kupakia na kupakua mizigo vingi vimekufa na mbaya zaidi jamaa mpaka ananyofolewa alikua mzito mno kununua mpaka unajiuliza ivi huyu kakoko hajui kama bandari ni vyombo
 
Mkuu bado hujajibu swali langu,kama issue ni vifaa vya kupakulia,kwanini wakati wa jpm hakukua na hizo delay? Hilo tatizo limekuja ghafla baada ya jpm kufariki au kuna uzembe tu unatokea?
Delay zilikuwepo ila nani atamfunga paka kengele nikimaanisha nani ana uwezo wa kusema kwa bwana mkubwa vifaa hakuna..


Ivi unajua pale bandarini hawana uwezo wa kuhudumia meli nne za general cargo halafu zote ziwe zimebeba heavy cargo.....yote hii inasababishwa na vyombo duni
 
Kwamba hajausoma vyema


Hana haja ya kuusoma. Masponsa wamemkabidhi TO DO LIST ndeeeefu zaidi ya SGR ya JPM --- ndiyo maana katika kuwafurahisha hao mapromota wake, ratiba yake inataiti mpaka mechi inahamishiwa usiku. Halafu nyie Yanga hivi hamwogopi hata!??? Si mngekubali tu kucheza ili Bi Mkubwa apate hizo pointi ^tar-two^!??? Sasa yuleeeee jamaa aliyekimbia kutoka Kigoma hadi Dar kwa miguu ili kushuhudia dimba, akaugulia tumbo Moro mtamfidiaje!??? Lini!??? Usidhani Bi Mkubwa anao hata muda wa kupitia hayo, sawa!???
 
Back
Top Bottom