TANZIA Malu Stonch (Nuhu) afariki Dunia. Alikuwa akitumbuiza jukwaani

rip mwamba alikuwa jirani yangu pale ghorofa za utumish house magomeni alikuwa kuna wakongo walikuwa wanaishi pale miaka yote nilikuwa sijui kwamba ni muimbaji huyu jamaaa

Mara mwisho nimekuja kukutana nae goba kuna casino ndogo tukapiga story mbili tatu hapo goba casino ndogo texas walikuwa na project pale miezi kama mitano hivi imepita

Leo kafariki RIP.......
 
Kwa ninavyowajua Wakongo ( Bandeko Nangai ) sasa hivi hii Bendi itaanza kufanya vyema na Kukubalika Kimuziki kwakuwa Shughuli imeshamalizika.
 
Rip Nuhu. Nakumbuka combination yake na Ndanda kosovo, Patcheko Mbongo, patcho mwamba, serge mwela ilikuwa balaa
 
Mkuu hao ni raia wa kawaida tu wakifika bongo wanajimwambafaai.,
.hawa wote nishakutana nao. Gisselle alikua mke wangu ni saloonist walikukua wanashinda kula na kusuka pale
King dodoo labuche alikua hakauki pale.
Nyoshi anamjua huyo mwanamke,,alivogongwa risasi karudi analia
 
Kuna mwamba mwingine king blaise alipata uchizi.
Kwenye dunia kigeugeu kaua sana..
Pablo masai tunae mtaani
 
Mkiwa na bando chungulieni sportfy kule kuna live za ngwasuma siio za nchi hii.
Kaandike tu rangi ya chungwa au dotnata utapata kilichopo live.
 
Juzi tu nilikuwa nasikiliza ngoma ya marehemu banza, kumekucha, ndani yupo ndanda kosovo na malu stoch, niliirudua si chini ya mara 10.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…