VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
Pacheko alishafariki??Patcheko ndio aliwehuka kabisa mganga wake atakua kafa.
Tumekimbizana sana hospital
Kagima badae kafa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pacheko alishafariki??Patcheko ndio aliwehuka kabisa mganga wake atakua kafa.
Tumekimbizana sana hospital
Kagima badae kafa.
Sijui hata ilikuwaje kuwajeHatari sana zembwela sahv eti kageuka mtangazaji duuuh
Ngoja nione kama ninao mkuu, siku nyingi sanamkuu kama Una audio ya huu wimbo naomba.
Yupo hai, anaishi SAPacheko alishafariki??
Wajelajela gwaAah kidedea
Kumbe ndo alipiga hilo li song? Noma sana enzi hizoSasa wanaanza kulia eeh Nuhu, eeh nuhu utafungulie safina,
Apumzike kwa amani.
Wimbo bora miaka yote.
Jamaa alikuja kua chizi.tunampa hela pale jukwaani msasani akiimba patcho mwamba kamfukuza nilichukia sana.
View: https://youtu.be/ouWX80hhdlg?si=7Z70yarw6MfJ0WMh
Yaah kichaa na nadhani kafa,alikua rafiki yangu sanaHuyu jamaa alieimba hii nyimbo amekua kichaa?
Mtani bila shaka uko salamaKwa ninavyowajua Wakongo ( Bandeko Nangai ) sasa hivi hii Bendi itaanza kufanya vyema na Kukubalika Kimuziki kwakuwa Shughuli imeshamalizika.
Enzi za ndanda kosovoWajelajela gwa
Sina uhakika hasa kama ni yeye, ila alikuwepo kwenye kikosiKumbe ndo alipiga hilo li song? Noma sana enzi hizo
Sina uhakika hasa kama ni yeye, ila alikuwepo kwenye kikosi
Nilidhani ni huu utabiri kumbe ni FM AcademiaView attachment 2956136Mwimbaji nyota wa FM Academia, Malu Stonch amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla jukwaani.
Hali hiyo imetokea katika ukumbi wa Target Mbezi, Beach, Jumamosi usiku wakati mwimbaji huyo akiwa jukwaani anaimba wimbo wa "Hadija".
Inaelezwa kuwa wakati anaimba wimbo huyo, Malu Stonch alidondoka ghafla na kupoteza fahamu.
Baada ya kupatiwa huduma ya kwanza huku akiwa bado hajitambui, ndipo akakimbizwa Masana Hospital.
Mwanahabari na mdau mkubwa wa muziki, MC Petit aliyekuwa miongoni mwa waliomkimbiza Malu Stonch hospital, ameithibitishia Saluti5 kuwa mwimbaji huyo amefariki.
"Pale Masana walipompokea tu, wakatumbia tumpeleke Lugalo Hospital kwa kuwa mgonjwa wetu ameshafariki," ameeleza MC Petit.
"Tulipofika Lugalo nao wakatuthibitishia kuwa Malu Stonch amefariki na hivyo tukafanya utaratibu wa kumpeleka chumba cha kuhifadhi maiti," alifafanua zaidi MC Petit.
Pumzika kwa amani Malu Stonch.
Said Mdoe
7/4/2024