mzee anaomba nafasi kiutuuzima mkuu
Mzee mbona kila kitu Mrema alisema Mrema alisema amekuwa reference yako au ni kitabu kitakatifu chako kuwa hakipingwi jaribu kuja na reference zingine
Ni wachache sana wanaoona Sitta kaleta mapinduzi ndani ya bunge wengi hawaoni kinachoendelea kuna wengine hawajui kabisa wanaojua baadhi yao wanajifanya hawaelewi kwa sababu zao wenyewe ndiyo maisha hawalazimishwi kuamini ila na sisi tunaoona wasitulazimishe tuwe kama waoSitta is right..Mreama amefulia kwa kila kitu.Anajitahidi kujipendekeza kwa Rais kwa gharama zozote zile.Anatamani kurudi CCM lakini naona aibu hivyo ameamua chama chake kimilikiwe na Kikwete.
Majasho unamtumikia nani?
Umelipwa shiing' ngapi mwenzangu?
Utawasilisha lini majibu ya tafiti hii kwa tajiri yako?
I guess ulikuwa unareply my answer... inatofautiana na aliyokuwa anafanya enzi zake kwa sababu mrema hakuwa mnafiki... alikuwa asipopenda kitu anaweka wazi na kama hamna upatanisho.. anawalk away..
Sasa sitta kwanini hajafanya hivyo? kwasababu anaogopa kuitwa amefulia kama akiupoteza uspika? is it morally wrong to loose all for the right cause and make a better change? if that is the case then he shouldnt bother to say yeye ni mpiganaji etc.. mrema at least was honest to himself and did what was right at that time though he had to Sacrifice and loose uwaziri etc..... tell me what has Sitta Sacrifice and lost kwa kututetea mimi na wee?
Mkuu,
Plz tell me you are joking,Mrema was honest? so kwa hiyo unafiki wake umeanza jana ktk kugeuka 390 degrees na kushabikia CCM na kikwete?
Si lazima upoteze kitu katika mchakato wa kupigania haki,demokrasia na kadhalika.
Kwanza huoni ali-sacrifice legacy yake ndani ya Party?His legacy as speaker of the URT parliament is in compromise!
Mrema was a front runner in throwing allegetions against CCM and the so called Ufisadi,yet currently he's the cheer leader wa Ufisadi.plz let us be serious even once
Diabetes is a serious illness...when blood glucose is very high can lead to POOR MEMORY and DIMINISH YOUR BRAIN POWER.
Kama Mrema anataka kuendelea na siasa..he has to inject insulin more accurately.
Mkuu,
Plz tell me you are joking,Mrema was honest? so kwa hiyo unafiki wake umeanza jana ktk kugeuka 390 degrees na kushabikia CCM na kikwete?
Si lazima upoteze kitu katika mchakato wa kupigania haki,demokrasia na kadhalika.
Kwanza huoni ali-sacrifice legacy yake ndani ya Party?His legacy as speaker of the URT parliament is in compromise!
Mrema was a front runner in throwing allegetions against CCM and the so called Ufisadi,yet currently he's the cheer leader wa Ufisadi.plz let us be serious even once
Diabetes is a serious illness...when blood glucose is very high can lead to POOR MEMORY and DIMINISH YOUR BRAIN POWER.
Kama Mrema anataka kuendelea na siasa..he has to inject insulin more accurately.
he he heee,mtu wa pili kuplekwa mirembe huyooo,pinda mpe maneno yake,sasa ndio huyu angekuwa rais wetu huyu???Mwenyekiti wa Tanzania Labour Party Mh Augustine Mrema leo ametangaza fedha alizonazo kwenye account yake ya benki. Mrema amesema ana shilling miilion 37 kwenye hiyo akaunti ambazo zimemzidi za Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Pinda ambaye hivi karibuni alitangaza kwamba ana shilling million 25 kwenye account yake.
Mrema amehoji kama ana fedha zaidi ya Waziri Mkuu Pinda iweje Sitta aseme hana uwezo wa kifedha. Kama yeye kafulia Waziri mkuu ni vipi......
Habari zaidi nikizipata...............................