Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Me kuna katoto kalinitokea kuwa kananielewa na sijui namba angu kalipata wapi. Ajabu nilikabikiri me mwnywe. Kananipenda na me nakapenda afu ni kazuri balaa.sijui kwanini tukiwatongoza mnaona ni ajabu..so mtu kakuelewa asijimalize? Kama kashindwa kujimaliza direct kama nyie, basi tutahangaika mpk tuhakikishe umejua kuwa unatakwa.
Ni bei gan hapo room mkuu"gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 "
Hapa [emoji115] ni Sun Flower Guest House
Sifahamu bossNi bei gan hapo room mkuu
"Uko Bar ambayo wanawake wanajiuza, unaangaliwa na Malaya, unajisifia mwonekano"
Story miaka 6 iliyopitaChai hii, ilopoa.... Kwa hiyo siku hizi ARV zinatolewa kama Panadol....!?
Laachaaz ilikuwa night club ya kila aina ya watu! Sio woote malaya! Hata hivyo usipotoka ukachill na kuongea na watu ukajikalia nyumbani ndo kusema wewe sio malaya?"Uko Bar ambayo wanawake wanajiuza, unaangaliwa na Malaya, unajisifia mwonekano"
Kwenye rough rider umeenda mbali pia. Kuna za msaada za USAID, bure kabisa ukienda vituo vya afya.😂😂😂kazi kazi vijana, Rough rider buku 4/5 jamani
Kweliii kwann ukubali kuteseka na mindoto ya PEP
Laachaaz ilikuwa night club ya kila aina ya watu! Sio woote malaya! Hata hivyo usipotoka ukachill na kuongea na watu ukajikalia nyumbani ndo kusema wewe sio malaya?
Ziko nyingi! Yenyewe hiko kushoto kwenye kona ya barabara inapopinda kuekekea ukuta wa zamani wa eneo la sasa la soko"gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 "
Hapa [emoji115] ni Sun Flower Guest House
Kipindi hicho miaka 6 iliyopita ilikuwa ni 20,000Ni bei gan hapo room mkuu
Yaani mkifikaga hatua hii kwakweli huwa nafurah mnafanyaga mambo magumu yawe mepesisijui kwanini tukiwatongoza mnaona ni ajabu..so mtu kakuelewa asijimalize? Kama kashindwa kujimaliza direct kama nyie, basi tutahangaika mpk tuhakikishe umejua kuwa unatakwa.
Kwahiyo sahii ushafubaa? Muonekano wa kuvuta pisi kali mshoboko haupo tHshs
Sio kweli! Sio wote malaya! Watu hukutana! Sasa unataka wakutanie wapi? Makanisana na misikitini malaya kama woote uttoh2002"Uko Bar ambayo wanawake wanajiuza, unaangaliwa na Malaya, unajisifia mwonekano"
Hata mimi ningechukua tahadhariWakati mwingine jitahidi kupunguza uoga.
Hizi nongwa😆"Uko Bar ambayo wanawake wanajiuza, unaangaliwa na Malaya, unajisifia mwonekano"
Mbona umeshupalia bar? Bar ndo sehemu ya starehe! Unakula na kunywa! Au wewe ni karismatiki? uttoh2002"(mh? Kumbe na wanawake wanapenda ila hawana ujasiri wa kutongoza)" Kwa hiyo umependwa na mwanamke Bar asiyekujua?
Pole sana mkuu! Una miaka mingapi huko kwenye dozi?Zamani ndio zilikua na mawenge, za sasahivi hazina mawenge wala uchovu tunameza kwa raha zetu