Maluweluwe ya vidonge vya ARV yanatokana na nini?

sijui kwanini tukiwatongoza mnaona ni ajabu..so mtu kakuelewa asijimalize? Kama kashindwa kujimaliza direct kama nyie, basi tutahangaika mpk tuhakikishe umejua kuwa unatakwa.
Me kuna katoto kalinitokea kuwa kananielewa na sijui namba angu kalipata wapi. Ajabu nilikabikiri me mwnywe. Kananipenda na me nakapenda afu ni kazuri balaa.
Sioni ajabu na me huwa namheshimu balaa
 
😂😂😂kazi kazi vijana, Rough rider buku 4/5 jamani
Kweliii kwann ukubali kuteseka na mindoto ya PEP
Kwenye rough rider umeenda mbali pia. Kuna za msaada za USAID, bure kabisa ukienda vituo vya afya.
Ila ndio vijana wanataka kuonyesha ufundi wa nyama kwa nyama🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…