Maluweluwe ya vidonge vya ARV yanatokana na nini?

Maluweluwe ya vidonge vya ARV yanatokana na nini?

Mkuu hii tunasema huwa ni side effect za hizo dawa,ni dawa ambazo ziko katika mchanganyiko TLE(Tenofovir,Lamivudine,Efavirenz) hiyo Efavirenz ndio hupeleka mtu kuota ndoto mbaya na mara nyingi hudumu kwa week chache toka mtu aanze kuzitumia kama ikatokea mtu ameshindwa kabisa kuzioea hizo ndoto au ndoto kutuisha basi anaweza kubadilishiwa dawa
 
Nili
Jamani jamani jamani! Ukimwi unatisha! Ukimwi ni kuchungulia kaburi hata kama utajiliwaza vipi?

Mimi nilikuwa mtu wa bata saana! (Hata sasa hivi japo nimekua).

Siku hiyo nikawa pale Sinza mori (Lachaaz pub) kabla aijaungua! Nilikuwa mtu fulani hivi kwa mwonekano kila pisi kali ilikuwa inanishobokea! Basi!

Kwa mbali nikaona binti fulani kanikazia macho! Nikampotezea! Baada ya dakika 10, 20, 30, kila nikimtizama namkuta macho kodo akiniangalia! Nikasema isiwe shida nikampa ishara ya kumuita akaja mazima!

Mimi muda wote nilikuwa nimesimama kaunta napiga vyombo! Alivyofika akaomba tukae pembeni na baada ya story akaonyesha kunipenda (mh? Kumbe na wanawake wanapenda ila hawana ujasiri wa kutongoza).

Nikaondoka na kwa usafiri wa bajaji mpaka gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 nikaspend night naye!

Hila aliniomba nimwamshe mapema saa 11 alfajiri! Lakini kutokana na show ya kibabe tulikuja kushtuka asubuhi kama saa 1 hivi akaanza kupaniki na kukimbia na kuniacha guest!

Sikumbuki kama alidai malipo! Kwavile nilitembea naye peku (kwasababu nilijidanganya kwakuwa kisichana kidogo) nikaanza kuwa na ofu ya je?

kama kaathirika si nitakuwa nimeukwaa? nikizingatia nilihisi michubuko ('k' ya vibinti zinabana sana).

Nikakumbuka somo la kuwahi ARV ndani ya saa 72 nikaenda chap pale hospitali ya Palestina Sinza na kupewa dozi ya ARV nikaianza! Hila walinitaadharisha kuwa nitakuwa naota ndoto za kutisha na maluweluwe na kwamba ni kawaida ya ARV!

Saasaaa! Ebwaana weee! Kwa kipindi cha siku 30!!! Nilikuwa naota mandato ya ajabu yanatisha!! Mashetani si mashetani ni kama niko ulimwengu mwingine wa giza! Sasa cha kujiuliza.

Hivi vidonge vya ARV vilitengenezwa na nini kupelekea hali hii? Au vinatengenezwa kwa kutumia antibodies za watu waliokufa au nini?

Mwenye uzoefu wa kwanini mauzauza ya dozi ARV atujuze tafadhari!

Angalizo!

Huyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
Sasa hivi nimeamua kutulia ,hizi unakula usiku nilishapewa pep bbaada ya condomu kupasuka,Kwa kifupi nsiwezi kutembea na mwanamke hovyo haya madawa ni balaa
 
Huyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
Umeacha bonge la gap kwenye story yako kuna kipande umekiruka vipi umeukwaa au ndio namna gani vipi fresh ndio vile umeme ushawaka
 
Nili

Sasa hivi nimeamua kutulia ,hizi unakula usiku nilishapewa pep bbaada ya condomu kupasuka,Kwa kifupi nsiwezi kutembea na mwanamke hovyo haya madawa ni balaa
Bado umetuacha na viulizo hapo ilikuaje na wewe mboni unatunyima story yako ulipiga peku mitaa ipi na ilikuaje ukacheza peku bila viatu?
 
Jamani jamani jamani! Ukimwi unatisha! Ukimwi ni kuchungulia kaburi hata kama utajiliwaza vipi?

Mimi nilikuwa mtu wa bata saana! (Hata sasa hivi japo nimekua).

Siku hiyo nikawa pale Sinza mori (Lachaaz pub) kabla aijaungua! Nilikuwa mtu fulani hivi kwa mwonekano kila pisi kali ilikuwa inanishobokea! Basi!

Kwa mbali nikaona binti fulani kanikazia macho! Nikampotezea! Baada ya dakika 10, 20, 30, kila nikimtizama namkuta macho kodo akiniangalia! Nikasema isiwe shida nikampa ishara ya kumuita akaja mazima!

Mimi muda wote nilikuwa nimesimama kaunta napiga vyombo! Alivyofika akaomba tukae pembeni na baada ya story akaonyesha kunipenda (mh? Kumbe na wanawake wanapenda ila hawana ujasiri wa kutongoza).

Nikaondoka na kwa usafiri wa bajaji mpaka gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 nikaspend night naye!

Hila aliniomba nimwamshe mapema saa 11 alfajiri! Lakini kutokana na show ya kibabe tulikuja kushtuka asubuhi kama saa 1 hivi akaanza kupaniki na kukimbia na kuniacha guest!

Sikumbuki kama alidai malipo! Kwavile nilitembea naye peku (kwasababu nilijidanganya kwakuwa kisichana kidogo) nikaanza kuwa na ofu ya je?

kama kaathirika si nitakuwa nimeukwaa? nikizingatia nilihisi michubuko ('k' ya vibinti zinabana sana).

Nikakumbuka somo la kuwahi ARV ndani ya saa 72 nikaenda chap pale hospitali ya Palestina Sinza na kupewa dozi ya ARV nikaianza! Hila walinitaadharisha kuwa nitakuwa naota ndoto za kutisha na maluweluwe na kwamba ni kawaida ya ARV!

Saasaaa! Ebwaana weee! Kwa kipindi cha siku 30!!! Nilikuwa naota mandato ya ajabu yanatisha!! Mashetani si mashetani ni kama niko ulimwengu mwingine wa giza! Sasa cha kujiuliza.

Hivi vidonge vya ARV vilitengenezwa na nini kupelekea hali hii? Au vinatengenezwa kwa kutumia antibodies za watu waliokufa au nini?

Mwenye uzoefu wa kwanini mauzauza ya dozi ARV atujuze tafadhari!

Angalizo!

Huyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
Hizo ni PEP si ARV
 
Mkuu hii tunasema huwa ni side effect za hizo dawa,ni dawa ambazo ziko katika mchanganyiko TLE(Tenofovir,Lamivudine,Efavirenz) hiyo Efavirenz ndio hupeleka mtu kuota ndoto mbaya na mara nyingi hudumu kwa week chache toka mtu aanze kuzitumia kama ikatokea mtu ameshindwa kabisa kuzioea hizo ndoto au ndoto kutuisha basi anaweza kubadilishiwa dawa
I see? Ndo kusema zinaingiliana na mawasiliano ya ubongo na akili na ufahamu ammmaah vipi?
 
Usisahau umesema hakumlipa maana yake anatambua alikua amenunua Malaya,
Mahudhui ya hii story ni kuhusu side effects za ARV! Haya mambo ya sijui malaya sijui nini unayajua wewe! Hata hivyo siku hizi utatambuaje malaya na asiye malaya! Mkeo hapo nyumbani ni malaya wa kutupwa! Shika simu yake hutoamini!
 
giphy (1).gif
 
Mahudhui ya hii story ni kuhusu side effects za ARV! Haya mambo ya sijui malaya sijui nini unayajua wewe! Hata hivyo siku hizi utatambuaje malaya na asiye malaya! Mkeo hapo nyumbani ni malaya wa kutupwa! Shika simu yake hutoamini!
Mkuu wewe uliokota Malaya kataa kubari hivyo ndivyo ilivyo alafu vipi ulipima ngwengwe ukagundua kwamba umeshaungua? Ulipima ngwengwe?
 
Jamani jamani jamani! Ukimwi unatisha! Ukimwi ni kuchungulia kaburi hata kama utajiliwaza vipi?

Mimi nilikuwa mtu wa bata saana! (Hata sasa hivi japo nimekua).

Siku hiyo nikawa pale Sinza mori (Lachaaz pub) kabla aijaungua! Nilikuwa mtu fulani hivi kwa mwonekano kila pisi kali ilikuwa inanishobokea! Basi!

Kwa mbali nikaona binti fulani kanikazia macho! Nikampotezea! Baada ya dakika 10, 20, 30, kila nikimtizama namkuta macho kodo akiniangalia! Nikasema isiwe shida nikampa ishara ya kumuita akaja mazima!

Mimi muda wote nilikuwa nimesimama kaunta napiga vyombo! Alivyofika akaomba tukae pembeni na baada ya story akaonyesha kunipenda (mh? Kumbe na wanawake wanapenda ila hawana ujasiri wa kutongoza).

Nikaondoka na kwa usafiri wa bajaji mpaka gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 nikaspend night naye!

Hila aliniomba nimwamshe mapema saa 11 alfajiri! Lakini kutokana na show ya kibabe tulikuja kushtuka asubuhi kama saa 1 hivi akaanza kupaniki na kukimbia na kuniacha guest!

Sikumbuki kama alidai malipo! Kwavile nilitembea naye peku (kwasababu nilijidanganya kwakuwa kisichana kidogo) nikaanza kuwa na ofu ya je?

kama kaathirika si nitakuwa nimeukwaa? nikizingatia nilihisi michubuko ('k' ya vibinti zinabana sana).

Nikakumbuka somo la kuwahi ARV ndani ya saa 72 nikaenda chap pale hospitali ya Palestina Sinza na kupewa dozi ya ARV nikaianza! Hila walinitaadharisha kuwa nitakuwa naota ndoto za kutisha na maluweluwe na kwamba ni kawaida ya ARV!

Saasaaa! Ebwaana weee! Kwa kipindi cha siku 30!!! Nilikuwa naota mandato ya ajabu yanatisha!! Mashetani si mashetani ni kama niko ulimwengu mwingine wa giza! Sasa cha kujiuliza.

Hivi vidonge vya ARV vilitengenezwa na nini kupelekea hali hii? Au vinatengenezwa kwa kutumia antibodies za watu waliokufa au nini?

Mwenye uzoefu wa kwanini mauzauza ya dozi ARV atujuze tafadhari!

Angalizo!

Huyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
Kama akitumia bajaji kwenda eneo la tukio basi ni wa juzi
 
Umeacha bonge la gap kwenye story yako kuna kipande umekiruka vipi umeukwaa au ndio namna gani vipi fresh ndio vile umeme ushawaka
Nimeishasema! Kusudi la huu uzi ni madhara ya ARV! Nilimeza nikamaliza hizo siku 30 nikapima hospitali zaidi ya 10 niko fresh! Hata hivyo kuanza kwangu ARV ni kwasababu ya woga sikupima kabla kama nimeambukizwa au la! Niliwahi hayo masaa 72!
 
Back
Top Bottom