Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Ndiyo ni Sun Flower GuestZiko nyingi! Yenyewe hiko kushoto kwenye kona ya barabara inapopinda kuekekea ukuta wa zamani wa eneo la sasa la soko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ni Sun Flower GuestZiko nyingi! Yenyewe hiko kushoto kwenye kona ya barabara inapopinda kuekekea ukuta wa zamani wa eneo la sasa la soko
Weee! Sasa ndani ya saa 72 hata ukipima utauona? Bora ujianzie dozi!Mnatutusha sana wakuu, yaani unajiuliza nipime au niaje. Ila binafsi kupima labda ndio nianze kuumwa aisee.
Sasa hivi nimeamua kutulia ,hizi unakula usiku nilishapewa pep bbaada ya condomu kupasuka,Kwa kifupi nsiwezi kutembea na mwanamke hovyo haya madawa ni balaaJamani jamani jamani! Ukimwi unatisha! Ukimwi ni kuchungulia kaburi hata kama utajiliwaza vipi?
Mimi nilikuwa mtu wa bata saana! (Hata sasa hivi japo nimekua).
Siku hiyo nikawa pale Sinza mori (Lachaaz pub) kabla aijaungua! Nilikuwa mtu fulani hivi kwa mwonekano kila pisi kali ilikuwa inanishobokea! Basi!
Kwa mbali nikaona binti fulani kanikazia macho! Nikampotezea! Baada ya dakika 10, 20, 30, kila nikimtizama namkuta macho kodo akiniangalia! Nikasema isiwe shida nikampa ishara ya kumuita akaja mazima!
Mimi muda wote nilikuwa nimesimama kaunta napiga vyombo! Alivyofika akaomba tukae pembeni na baada ya story akaonyesha kunipenda (mh? Kumbe na wanawake wanapenda ila hawana ujasiri wa kutongoza).
Nikaondoka na kwa usafiri wa bajaji mpaka gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 nikaspend night naye!
Hila aliniomba nimwamshe mapema saa 11 alfajiri! Lakini kutokana na show ya kibabe tulikuja kushtuka asubuhi kama saa 1 hivi akaanza kupaniki na kukimbia na kuniacha guest!
Sikumbuki kama alidai malipo! Kwavile nilitembea naye peku (kwasababu nilijidanganya kwakuwa kisichana kidogo) nikaanza kuwa na ofu ya je?
kama kaathirika si nitakuwa nimeukwaa? nikizingatia nilihisi michubuko ('k' ya vibinti zinabana sana).
Nikakumbuka somo la kuwahi ARV ndani ya saa 72 nikaenda chap pale hospitali ya Palestina Sinza na kupewa dozi ya ARV nikaianza! Hila walinitaadharisha kuwa nitakuwa naota ndoto za kutisha na maluweluwe na kwamba ni kawaida ya ARV!
Saasaaa! Ebwaana weee! Kwa kipindi cha siku 30!!! Nilikuwa naota mandato ya ajabu yanatisha!! Mashetani si mashetani ni kama niko ulimwengu mwingine wa giza! Sasa cha kujiuliza.
Hivi vidonge vya ARV vilitengenezwa na nini kupelekea hali hii? Au vinatengenezwa kwa kutumia antibodies za watu waliokufa au nini?
Mwenye uzoefu wa kwanini mauzauza ya dozi ARV atujuze tafadhari!
Angalizo!
Huyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
Umeacha bonge la gap kwenye story yako kuna kipande umekiruka vipi umeukwaa au ndio namna gani vipi fresh ndio vile umeme ushawakaHuyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
ARV ❌Nikakumbuka somo la kuwahi ARV ndani ya saa 72 nikaenda chap pale hospitali ya Palestina Sinza na kupewa dozi ya ARV nikaianza! Hila walinitaadharisha kuwa nitakuwa naota ndoto za kutisha na maluweluwe na kwa
[emoji3][emoji3] na anajisifu kapendwa"Uko Bar ambayo wanawake wanajiuza, unaangaliwa na Malaya, unajisifia mwonekano"
Bado umetuacha na viulizo hapo ilikuaje na wewe mboni unatunyima story yako ulipiga peku mitaa ipi na ilikuaje ukacheza peku bila viatu?Nili
Sasa hivi nimeamua kutulia ,hizi unakula usiku nilishapewa pep bbaada ya condomu kupasuka,Kwa kifupi nsiwezi kutembea na mwanamke hovyo haya madawa ni balaa
Hizo ni PEP si ARVJamani jamani jamani! Ukimwi unatisha! Ukimwi ni kuchungulia kaburi hata kama utajiliwaza vipi?
Mimi nilikuwa mtu wa bata saana! (Hata sasa hivi japo nimekua).
Siku hiyo nikawa pale Sinza mori (Lachaaz pub) kabla aijaungua! Nilikuwa mtu fulani hivi kwa mwonekano kila pisi kali ilikuwa inanishobokea! Basi!
Kwa mbali nikaona binti fulani kanikazia macho! Nikampotezea! Baada ya dakika 10, 20, 30, kila nikimtizama namkuta macho kodo akiniangalia! Nikasema isiwe shida nikampa ishara ya kumuita akaja mazima!
Mimi muda wote nilikuwa nimesimama kaunta napiga vyombo! Alivyofika akaomba tukae pembeni na baada ya story akaonyesha kunipenda (mh? Kumbe na wanawake wanapenda ila hawana ujasiri wa kutongoza).
Nikaondoka na kwa usafiri wa bajaji mpaka gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 nikaspend night naye!
Hila aliniomba nimwamshe mapema saa 11 alfajiri! Lakini kutokana na show ya kibabe tulikuja kushtuka asubuhi kama saa 1 hivi akaanza kupaniki na kukimbia na kuniacha guest!
Sikumbuki kama alidai malipo! Kwavile nilitembea naye peku (kwasababu nilijidanganya kwakuwa kisichana kidogo) nikaanza kuwa na ofu ya je?
kama kaathirika si nitakuwa nimeukwaa? nikizingatia nilihisi michubuko ('k' ya vibinti zinabana sana).
Nikakumbuka somo la kuwahi ARV ndani ya saa 72 nikaenda chap pale hospitali ya Palestina Sinza na kupewa dozi ya ARV nikaianza! Hila walinitaadharisha kuwa nitakuwa naota ndoto za kutisha na maluweluwe na kwamba ni kawaida ya ARV!
Saasaaa! Ebwaana weee! Kwa kipindi cha siku 30!!! Nilikuwa naota mandato ya ajabu yanatisha!! Mashetani si mashetani ni kama niko ulimwengu mwingine wa giza! Sasa cha kujiuliza.
Hivi vidonge vya ARV vilitengenezwa na nini kupelekea hali hii? Au vinatengenezwa kwa kutumia antibodies za watu waliokufa au nini?
Mwenye uzoefu wa kwanini mauzauza ya dozi ARV atujuze tafadhari!
Angalizo!
Huyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
I see? Ndo kusema zinaingiliana na mawasiliano ya ubongo na akili na ufahamu ammmaah vipi?Mkuu hii tunasema huwa ni side effect za hizo dawa,ni dawa ambazo ziko katika mchanganyiko TLE(Tenofovir,Lamivudine,Efavirenz) hiyo Efavirenz ndio hupeleka mtu kuota ndoto mbaya na mara nyingi hudumu kwa week chache toka mtu aanze kuzitumia kama ikatokea mtu ameshindwa kabisa kuzioea hizo ndoto au ndoto kutuisha basi anaweza kubadilishiwa dawa
Usisahau umesema hakumlipa maana yake anatambua alikua amenunua Malaya,[emoji3][emoji3] na anajisifu kapendwa
Ndio kuna midawa sio hio ya PEP tu ipo mingine ya magonjwa mengine mtu akinywa anarukwa kabisa na akili Ila akimaliza dozi abarudi katika hali yake hizo ni side effectsI see? Ndo kusema zinaingiliana na mawasiliano ya ubongo na akili na ufahamu ammmaah vipi?
Mahudhui ya hii story ni kuhusu side effects za ARV! Haya mambo ya sijui malaya sijui nini unayajua wewe! Hata hivyo siku hizi utatambuaje malaya na asiye malaya! Mkeo hapo nyumbani ni malaya wa kutupwa! Shika simu yake hutoamini!Usisahau umesema hakumlipa maana yake anatambua alikua amenunua Malaya,
Mkuu wewe uliokota Malaya kataa kubari hivyo ndivyo ilivyo alafu vipi ulipima ngwengwe ukagundua kwamba umeshaungua? Ulipima ngwengwe?Mahudhui ya hii story ni kuhusu side effects za ARV! Haya mambo ya sijui malaya sijui nini unayajua wewe! Hata hivyo siku hizi utatambuaje malaya na asiye malaya! Mkeo hapo nyumbani ni malaya wa kutupwa! Shika simu yake hutoamini!
Kama akitumia bajaji kwenda eneo la tukio basi ni wa juziJamani jamani jamani! Ukimwi unatisha! Ukimwi ni kuchungulia kaburi hata kama utajiliwaza vipi?
Mimi nilikuwa mtu wa bata saana! (Hata sasa hivi japo nimekua).
Siku hiyo nikawa pale Sinza mori (Lachaaz pub) kabla aijaungua! Nilikuwa mtu fulani hivi kwa mwonekano kila pisi kali ilikuwa inanishobokea! Basi!
Kwa mbali nikaona binti fulani kanikazia macho! Nikampotezea! Baada ya dakika 10, 20, 30, kila nikimtizama namkuta macho kodo akiniangalia! Nikasema isiwe shida nikampa ishara ya kumuita akaja mazima!
Mimi muda wote nilikuwa nimesimama kaunta napiga vyombo! Alivyofika akaomba tukae pembeni na baada ya story akaonyesha kunipenda (mh? Kumbe na wanawake wanapenda ila hawana ujasiri wa kutongoza).
Nikaondoka na kwa usafiri wa bajaji mpaka gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 nikaspend night naye!
Hila aliniomba nimwamshe mapema saa 11 alfajiri! Lakini kutokana na show ya kibabe tulikuja kushtuka asubuhi kama saa 1 hivi akaanza kupaniki na kukimbia na kuniacha guest!
Sikumbuki kama alidai malipo! Kwavile nilitembea naye peku (kwasababu nilijidanganya kwakuwa kisichana kidogo) nikaanza kuwa na ofu ya je?
kama kaathirika si nitakuwa nimeukwaa? nikizingatia nilihisi michubuko ('k' ya vibinti zinabana sana).
Nikakumbuka somo la kuwahi ARV ndani ya saa 72 nikaenda chap pale hospitali ya Palestina Sinza na kupewa dozi ya ARV nikaianza! Hila walinitaadharisha kuwa nitakuwa naota ndoto za kutisha na maluweluwe na kwamba ni kawaida ya ARV!
Saasaaa! Ebwaana weee! Kwa kipindi cha siku 30!!! Nilikuwa naota mandato ya ajabu yanatisha!! Mashetani si mashetani ni kama niko ulimwengu mwingine wa giza! Sasa cha kujiuliza.
Hivi vidonge vya ARV vilitengenezwa na nini kupelekea hali hii? Au vinatengenezwa kwa kutumia antibodies za watu waliokufa au nini?
Mwenye uzoefu wa kwanini mauzauza ya dozi ARV atujuze tafadhari!
Angalizo!
Huyo mdada tangu siku hiyo sikuwahi kumuona japo nilimuelewa saana! Na haina maana alikuwa mwathirika kwasababu mimi sikupima ila nilichukua tahadhari isije ikawa! Maeneo husika ni ya kweli ili kama huyu binti yuko humu aje pm tukacheke!
Nimeishasema! Kusudi la huu uzi ni madhara ya ARV! Nilimeza nikamaliza hizo siku 30 nikapima hospitali zaidi ya 10 niko fresh! Hata hivyo kuanza kwangu ARV ni kwasababu ya woga sikupima kabla kama nimeambukizwa au la! Niliwahi hayo masaa 72!Umeacha bonge la gap kwenye story yako kuna kipande umekiruka vipi umeukwaa au ndio namna gani vipi fresh ndio vile umeme ushawaka
Zipo kama mbili pale😂"gesti moja iliyoko barabara ya njia panda Sinza Mugabe kama unaelekea standi ya Simu2000 "
Hapa 👆 ni Sun Flower Guest House