Maluweluwe ya vidonge vya ARV yanatokana na nini?

Anaitwa Nashaira
 
Kwani mkuu shetani ulishamuona popote hadi useme umeota ndoto za kishetani shetani, unajuaje kwamba uliemuona ndotoni ni shetani?
 
Kwani mkuu shetani ulishamuona popote hadi useme umeota ndoto za kishetani shetani, unajuaje kwamba uliemuona ndotoni ni shetani?
Mkuu! Mungu pekee ndo hakuna mtu aliyewahi kumuona! Na wengine wanamuona shetani wanadhani ni Mungu! Mungu hawezi kujigeuza kuwa shetani! Ila shetani hujigeuza oanekane mungu! Shatani hakuna asiyemjua! Hata mtoto mdogo kichanga anamjua shetani akimuona usiku uanza kulia! Unataka kuniambia wewe humjui shetani? BUSH BIN LADEN
 
Antiretroviral yenye hizo hallucinations (auditory and visual) yaani za kuona na kusikia hutokana na dawa ya Efavirenz.

Sasa mleta mada sijui umepewa combo gani , ukisoma package ya dawa ukikuta kuna hiyo Efavirenz ndio inakuletea shida ndio maana dawa za namna hiyo zinamezwa wakati wa kulala/ karibu na wakati wa kulala.
 
Asante saana! Hila kwakweli kuanzia hapo nilikoma ubishi! Siwezi tembea na mwanamke peku! Never!
Aliyewahi kumeza hivi vidonge akapima akakutwa yuko fresh hawezi fanya tena ngono zembe!
 
Nitarudi kusoma comments za madaktari, phamasia na wenzako ambao wameshatumiaga.
Mimi siyo daktari, ila hizo ni side effects za contents za dawa. Hasa Efavirenz na rilpivirine.

Kwa bahati nzuri zinazotumika sana Tz ni mchanhanyiko wa dawa tatu , Tenofovir, Lamivudine na Delutegravir,

Na hata hivyo, hizo nightmares huwa ni kwa miezi ya mwanzo tu ya matumizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…