Maluweluwe ya vidonge vya ARV yanatokana na nini?

Kwahiyo mtu akiwa kadogo dogo basi haina tabu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒsijui akili zinaamaga wapi
 
Wewe ni mpumbavu sana, Sasa mtu anajiuza unasema kakupenda kweli! Wale machangudoa ukiwa sehemu mbona Wanavua kabisa kifuani kukuonesha "my milk is standing"!

Aliyekwambia changudoa anapenda nani ndo maana hajawahi kumuona tena.
 
Wewe ni mpumbavu sana, Sasa mtu anajiuza unasema kakupenda kweli! Wale machangudoa ukiwa sehemu mbona Wanavua kabisa kifuani kukuonesha "my milk is standing"!

Aliyekwambia changudoa anapenda nani ndo maana hajawahi kumuona tena.
Kumbuka ni 7 years back! Hali ilikuwa haijachafuka kama sasa!
 
Kwahiyo una ukimwi au hauna ukimwi mbona unatuchanganya au ndio kirusi kimeanza kudokoa ubongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…