Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!

Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.

1629265677852.png

========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa.

Kweli naamini mapenzi yanauwa.
Narudia ...Tafuta hela uje kufanya tukio kwani we mwanamke wa machame..ndo mana umekimbiwa ..huna kifua na huna Hela ya kutafuta mama Agnes's mkali zaidi yake..yey kakuonesha..kama nawew una kisu Ingia mtaani uopoe pisi Kali kuliko yeye aone...
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa.

Kweli naamini mapenzi yanauwa.

Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna ake jilani yangu!

Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.
Fanya tukio tu

serikali inatafuta watu wa kuwaonyesha mifano wengine
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa.

Kweli naamini mapenzi yanauwa.

Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna ake jilani yangu!

Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.
Unataka kufanya tukio baya kwa nani, mama agness, jamaa au kwako mwenyewe?
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa.

Kweli naamini mapenzi yanauwa.

Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna ake jilani yangu!

Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.
Ww c umempa talaka una tabu nayeye ya nini..? [emoji848][emoji848] acha wenzio waishi kwa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww ulimfanyia nn had mkapeana talaka? Ulichokifanya had akaomba talaka ndicho hicho hicho kilichompeleka kwa mwenzako. Ww hapo vumilia tu
 
Back
Top Bottom