Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!

Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!

Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa.

Kweli naamini mapenzi yanauwa.

Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna ake jilani yangu!

Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.
Tafuta chombo kingine weka ndani,
Usihame eneo,endelea kuishi kama kawaida,kama una watoto,hapo itakuwa shida,wanaweza wakitaka wakamuone mama yao kwa baba mwingine,utawakataza?
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.


========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Na wewe tafuta wako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Au jivujishie taarifa una ukimwi jamaa Mbona atasepa na mwanamke atahama mkoa

How

Jiandikishe hospital ya jiran ukimw upate
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.


========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
"Amepanga apartment na Bwana yake jirani yako"

Utakuta huyo Bwana yake Ni Bodaboda kitaa ,Sasa ameibua mke kimasihala, na bila shaka huyo ndiye Baba Agness , wewe ulikua mlezi TU!

Shituka, kacheki DNA test
 
Mtumie hii text
" Moyo ulikuwa unaniuma sana na nilikuwa nashindwa kupata furaha mana nilkuwa naona kama nimefanya kosa kubwa sana apa duniani, lakini sasahivi moyo umekuwa mweupe na kuona jambo nilofanya ni sahihi kabisa na nilikuwa nakosea kuishi na ww, Tabia haijifichi"

Muone jinsi atavyo pepesuka
Maana ya yeye kukaa apo ni kukufanya uumie kwa wivu, ukimtumia hyo text ye ndo ataona mwenye kosa na atamchukia huyo jamaa yke ghafla na kukuona we ni jasiri, atajaribu kikukumbushia uliyokosea apo nyuma ila usimjibu
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.


========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Chai
 
Mtumie hii text
" Moyo ulikuwa unaniuma sana na nilikuwa nashindwa kupata furaha mana nilkuwa naona kama nimefanya kosa kubwa sana apa duniani, lakini sasahivi moyo umekuwa mweupe na kuona jambo nilofanya ni sahihi kabisa na nilikuwa nakosea kuishi na ww, Tabia haijifichi"

Muone jinsi atavyo pepesuka
Maana ya yeye kukaa apo ni kukufanya uumie kwa wivu, ukimtumia hyo text ye ndo ataona mwenye kosa na atamchukia huyo jamaa yke ghafla na kukuona we ni jasiri, atajaribu kikukumbushia uliyokosea apo nyuma ila usimjibu

Kuanza kumtumia hio text ni kuonesha hinsi gani upo insecure na unaumia.

Mwanaume wa kweli unapiga kimya tu, hata ukimuona kama vile haujamuona! unasaka pesa maisha yanaenda
 
Sasa wewe vuta Dada ake au mdogo au rafiki yake sanaaaaaaa kwa gharama yeyote ukishindwa tunakuchangia hela
Hatujawahi kushindwa, Ada tutakosa ila pesa ya kumsaidia Msela au kumtetea mbele ya Shemeji hatujawahi kushindwa.
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.


========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Unaumizwa na nini sasa wakati huyo sio wako tena,kuna kitu unakiwazia wewe ambacho ndio kinakuuma,ni mambo ya ndani,unawazia huyo jamaa yake naye anapata kama ulivyokuwa unapata wewe,mi sijui ni nini ila wewe mwenyewe unakijua,halafu unataka eti uchukuwe maamuzi magumu huku ukisahau kuwa talaka umetoa mwenyewe...
 
Pole sana kama vipi hama tu hapo unapoishi maana una maumivu makali mno ndani ya moyo wako, usijefanya jambo baya kwa hasira ukaongeza matatizo mengine.
 
Ni kukuonyesha hatetereki, nawe muonyeshe hutetereki, jino kwa jino,mwisho ngoma inakuwa draw.
 
Achana nae. Songa mbele ukikutana nae msalimie kwa bashasha tu. Ataumia yeye. Lengo lake uumie
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.


========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Amekujyoosha,ulimpenda ni mama yako huyo? Fanya tuu tukio unasubilia nini sasa
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.


========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] usisahau kuleta mrejesho...kujiua kisa mwanamke Ni upumbavu mkubwa sana
 
Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana.

Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani yangu! Wanajamvi nimeumizwa sana na ninahisi kufanya tukio baya sana.


========

Pia soma: Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
watoto vipi umebaki nao?
 
Back
Top Bottom