Msamehe Bwana ,hakuna akiyekamilika.....kosa si kosa bali kurudia kosa ila hata kama umeshamsamehe mara ngpi usiache kumsamehe tena mbona Mungu anatusamehe na kusahau,na bdo anaendelea kuwa mwema kwetu?!
FORGIVNESS ....hiyo ni POWER pekee ndo itakayo kupa Amani ya maisha ktk uhai wako !!
msalala kwetu tumia mbinu hii.... Ya kusamehe !! Vinginevyo utaishi kwa majuto na misongo !!
Ni kwasababu Upendo husamehe,give her another chance plz,alfu anayeumia hapo ni wewe mwenyewe ni kama umeshikilia kaa la moto kumwunguza mtu,anayeumia zaidi ni yule aliyeshika kaa who is you now,msamehe maisha yaendelee
Tena Mungu amewarehemu kawaacha hai hadi Leo ni ili mmalize tofauti zenu,forgive her plz,Mungu akutie nguvu,na kama itatokea ukakumbuka mabaya yake u just pray for her and love her even more.