Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

hii isikie kwa mwingne lakn ikiwa yako ni ngumu kumesa.

Si jambo rahisi kumsamehe mzinzi
Nashukuru sana umenisaidia kujibu hili suala, kusamehe uzinzi ni jambo gumu sana, sina hakika sana kama watu wanaoshauri hivyo wameoa na kama ndio sijui kama wamewahi kusalitiwa, waliowahi kupitia uzoefu huu naweza kuwaelewa wanaposhauri suala la kusamehe dhambi ya uzinzi
 
Namshangaa tu huyo mke..tangu 2012 hujamgusa na bado yupo? Kweli ana moyo wa ajabu..ningetamani aniazime huo moyo wake. Usiponigusa mwezi tena kitanda kimoja..bila sababu yoyote ya ugonjwa, kutakuwa hakuna ndoa kwasababu maana ya ndoa kwangu ni tendo la ndoa.
Kama alivyokushauri Miss chagga...ondoka wewe mwachie watoto hapo lakini hakikisha unawahudumia watoto wako kwa kila kitu ili wasiteseke. Siku moyo wako ukipenda kumsamehe rudi kwa mkeo. Maisha mnayoishi hapo ni maigizo, mnawaumiza sana watoto na pia mnajiumiza na nyie vile vile.
Mama umesomeka
Mm niliacha kutembea nae since 2012 kwa kua nilimfuta, nilimuacha mbele ya wazazi wake, so since that day najihesabu sina mke, kama ni mtu mwenye busara yy pia ange move on then tungefanya formalities za divorce, by now kila mtu angekua huru
Sasa kakatalia ndani hasemi shida yake ni nn, anawaambia watu shida yake yy sio nyumba wala mali, anapigania ndoa yake, kitu ambacho mm sipo huko tena

Hatuna ndoa tena hapo, the earlier she accepts this fact the better, watoto kwa sasa wanaishi kwa furaha, na kusoma vizuri, mm huenda huko kila siku ya mungu nikitoka kazini then ndio naendelea na mengine

Ni shemeji na Dada ndio walionishauri watoto wabaki hapo as long as necessary, hivyo watoto sasa hawana shida, ndio nikawauliza si bora waishi hapo hapo?

As for my ex wife, kama mlivyoshauri nitamuachia nyumba niondoke zangu
 
msalala kwetu, Pole sana, Lakini wewe ni katilii khaswa.... Una moyo wa chuma/jiwe !! Mwenzio alifanya maovu kwa siri .. Nawe ulifanya dhahiri mbele ya macho yake kwa miaka kadhaa (kuzini na ke z nyumani kwenu) !!

Ushauri ntakaokuppa ni huu:- TUBU na ufute Msongo unaokutafuna kichwani kwako "START A NEW PAGE" !!
naye mke aTUBU na mupalilie upya shamba la mapenzi na muitunze familia yenu kwa Upendo !1 (usisahu una watoto the need you both) !!
Huko Msalala si geita huko au.......??
wapi mwenzie alifanya kwa siri wakati nae alileta mwanamme nyumbani dada wa kazi akaona na huenda watoto wakaona. Siri kwako ni ipi hapa? kua baba hakuona..???
mtoa mada naungana na waliokuambia upeleke watoto boarding, na wewe uhame umuache huyu mwanamke kwenye nyumba. Wanawake wana cheat lakini kufikia kiwango cha kuleta nyumbani ni dharau ya hali ya juu lol... hapa simtetei kwa kweli, japo na wewe adhabu uliyompa ni kubwa mno.
 
Mkuki kwa nguruwe mtamu eee, kwa binadamu mchungu.

Hebu jiulize ingekuwa ni wewe mkeo kakufumania! Jiweke katika position ya mkeo. Halafu ujue jinsi wanawake walivyokuwa wavumilivu na wepesi kuSamehe na kusahau. Ukiondoka hapo no kwako, lazima utarudi tu. Nyumbani no nyumbani tu.
Kaa na mkeo mjenge fimilia acha ujinga.
 
Mkuki kwa nguruwe mtamu eee, kwa binadamu mchungu.

Hebu jiulize ingekuwa ni wewe mkeo kakufumania! Jiweke katika position ya mkeo. Halafu ujue jinsi wanawake walivyokuwa wavumilivu na wepesi kuSamehe na kusahau. Ukiondoka hapo no kwako, lazima utarudi tu. Nyumbani no nyumbani tu.
Kaa na mkeo mjenge fimilia acha ujinga.
Hii biashara ya kujiweka kwenye viatu vya mtu mwingine sio muhimu kabisa. Iko hivi kuna watu kama mimi mke wangu akicheat nikamkamata simsamehi hata iweje. Kama na yeye akinikamata nacheat ni uamuzi wake akiamua kunisamehe ni poa ila hii sio sababu ya mimi kumsamehe.
 
wapi mwenzie alifanya kwa siri wakati nae alileta mwanamme nyumbani dada wa kazi akaona na huenda watoto wakaona. Siri kwako ni ipi hapa? kua baba hakuona..???
mtoa mada naungana na waliokuambia upeleke watoto boarding, na wewe uhame umuache huyu mwanamke kwenye nyumba. Wanawake wana cheat lakini kufikia kiwango cha kuleta nyumbani ni dharau ya hali ya juu lol... hapa simtetei kwa kweli, japo na wewe adhabu uliyompa ni kubwa mno.
DA !!
Compromise jama hali ya wastan kwa maisha ya Amani (hapo watoto wanawahitaji both parents) !!
 
Watu wengine bhana. Eti unafanya nae mapemzi chumba kingine nyumba moja.

Kuna watu wanaroho ngum sana
 
Mkuki kwa nguruwe mtamu eee, kwa binadamu mchungu.

Hebu jiulize ingekuwa ni wewe mkeo kakufumania! Jiweke katika position ya mkeo. Halafu ujue jinsi wanawake walivyokuwa wavumilivu na wepesi kuSamehe na kusahau. Ukiondoka hapo no kwako, lazima utarudi tu. Nyumbani no nyumbani tu.
Kaa na mkeo mjenge fimilia acha ujinga.
Kiongozi nina uhakika hujui unachokisema, au kama unajua basi upo under influence of something,
Umetoa kauli ya ujumla sana, generalization, sijawahi kum cheat ex wife since tumeoana, hivyo mfano wa mkuki kwa nguruwe hauna mantiki hapa

In short nimeamua kufuata ushauri wa wale wanaosema nimuachie huyu mwanamke nyumba niondoke zangu nikaishi na watoto pengine
Kurudiana nae labda katika ulimwengu ujao sio hui
 
Hayo yote kwa kua alikusaliti? Kwani wewe hukuwahi tembea nje ya ndoa?

Vp unafurahishwa na matendo yako?
Unafanya ivo ili umkomoe mkeo?
 
Hii biashara ya kujiweka kwenye viatu vya mtu mwingine sio muhimu kabisa. Iko hivi kuna watu kama mimi mke wangu akicheat nikamkamata simsamehi hata iweje. Kama na yeye akinikamata nacheat ni uamuzi wake akiamua kunisamehe ni poa ila hii sio sababu ya mimi kumsamehe.
Imagine
 
Ndoa ni moja ya taasisi ngumu sana hapa duniani inahitaji maombi yakutosha muweze kupata msaada wa KiMungu, kwa hiyo kwa kuwa mwanzilishi wa ndoa ni Mungu mwenyewe ndugu yangu unapaswa sasa kurudisha hitaji lako kwake Yeye nae atakurudishia ndoa yako na itakuwa njema na salama, mengine hayo ni mapito na majaribu yatupatayo wanadamu lakini hatuna budi kuyashinda. Kaza moyo kaka umurudie mkeo na kabla ya hapo mtubie wote roho hiyo iwatoke msameheane kama binadamu kurejesha pendo lenu la ndoa ya ujanani kwani Mungu anachukizwa sana na kuachana.

Watoto wana uwezo wa kujua mema na mabaya ambayo ninyi kama wazazi mnafanyiana na hivyo kuwajengea tabia mbaya, fikiria watoto unawapeleka kwa dada kuishi wakati ninyi wazazi mpo hai na tena mna nyumba yenu kisa ugomvi usiosameheka hapana sio vizuri hebu rudisha nyuma moyo wako ili kuwapa faida watoto kwa maisha yao ya baadae. Unajua ninaema hivyo kwa sababu gani, kila jambo jema au baya mnalofanya wazazi linawajengea picha mbaya watoto wenu watashindwa kujua ni nani mwenye makosa kati ya baba au mama, pia watakosa malezi yenye kubeba malezi halisi ya wazazi na hivyo kuchukia kuishi. Tafadhali kaeni chini baba na mama mrejeshe penzi lenu kama mnashindwa tafuteni wapatanishi amabo ni washauri wazuri katika suala zima la ndoa mtaona mafanikio na Mungu atawarejeshea furaha yenu ya ujanani.Watoto hujifunza aidha tabia njema ama mbaya kutoka kwa wazazi mkifanya mazuri wanaona na roho hiyo ya wema inawakaa watoto pia mwisho wa siku watakuja kuishi maisha mazuri na watu wengine bila tatizo kaka.
 
Kuna watu humu mnaushauri wa kijinga sana mmekalia tu kusema asamehe saba mara sabini mara yeye hajawahi kucheat, mara sijui wanawake mnauvumilivu. Huo wote ni upumbavu. Kama ummenda kupakuliwa kwa kutegemea msamaha hyo itakula kwenu hapa ni ,mwendo wa kuwabwaga tu maana tumechoka.

Hata mm binafsi mke wangu akicheat au nikamhisi tu hapo hakuna mjadala ni kazi ya notice tu. Wanawake siku hizi hamjielewi kabisa mnawaza kubanjuliwa tu japo sio wote.

Mtoa maada kuwa na msimamo kama mwanaume hakuna kumsamehe mwondokee mwachie nyumba. Mm binafsi mwanaume anayemfumania mke wake ama anagundua mke wake amecheat halafu bado anaendelea kuishi naye huyo anakuwa na mapungufu yake au jogoo halifanyi kazi au hana uwezo wa kupata mwanamke mwingne
 
uliwahi kumuuliza rafiki yako kwanini alikuwa anamgonga mkeo?!unaweza kulaumu bure pengine wewe ndio tatizo
 
uliwahi kumuuliza rafiki yako kwanini alikuwa anamgonga mkeo?!unaweza kulaumu bure pengine wewe ndio tatizo

hakuna excuse kwa hili as kama mkewe angekua na nia swaafi angewasilisha hilo 'tatizo' kwa mumewe kwanza!
na nimpongeze tu mdau huyu wa JF kwamba mpaka sasa HANA KESI YA MAUAJI AU SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI mahakamani!
 
NYIE UWA MNAFANYA UCHAFU WENU HUKO NJE LAKINI MKIOMBA MSAMAHA MNASAMEHEWA

hyo ya kutusamehe ni maamuzi yenu wala hakuna anayewalazimisha. Mm binafsi nikimfuma mke wangu hakuna mjadala ni mwendo wa talaka tu. Hata yeye akinifuma uamuzi ni wake kuniacha. Akijifanya kunisamehe hicho ni kiherehere chake
 
Msamehe, ona unavyohangaika mwisho utapata maradhi utakufa umwachie kila kitu.
Chukulia tu kiume, jikaze msamehe rudini chumbani ya huko mkapime ili uendelee na maisha.

Hakika hakuna mtu wa kuvumilia harufu ya mav.i ya mtu mwingine, hakuna mwanamke wa kuweza kumlea mtoto wa mwanamke mwingine.

Utaishia kufa mwanangu msamehe yaishe. Wapo wanaume wenzio wanaoumizwa zaidi yako lakini kwa ajili ya watoto wanavumilia tu. Jikaze mtoto wa kiume, yamalize.
akijikaza ndo ataumia zaidi. achague ama kumsamehe au mkumwaga.
 
sasa si uanze taratibu za talaka. huoni kosa lake linavyokutesa? toka 2012!!
 
Samehe Wew umefanya mangapi mabaya . Inaumaa sana bt Muonbe mwenyezi Mungu akupe moyo wa kusamehe urudiane na mkewe ukiendelea hivyo magonjwa yanakunyemelea baba then una poteza upendo kwa watto afu najua kwenye akili ya hao wtt wanajua wew ndo mkorofi. Samehe.
 
Back
Top Bottom