Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

fanya haya:
1.peleka watoto boarding school. hakikisha kila visiting day unakwenda kuwaona. jiandikishe shuleni kuwa wewe ndio ccontact person in case of anything kuhusu watoto japokuwa usimnyime nafasi ya mama kwenda kuwaona watoto shuleni
2.hama hapo nyumbani. tafta chumba/nyumba na ishi huko. nyumba hiyo acha huyo mama aishi na watoto wako. usimtimue.
3.watoto wakiwa likizo waache wakae kwa mama yao
4.tunza familia muda wote watoto wanapokuwa likizo.likizo ikiisha na watoto kurudi shule, huyo mama usimpe matunzo yoyote kwa sababu hastahiki kwa muda huo,unless watoto wamerudi kwa dharura nyumbani kama ugonjwa nk.
5.watoto wakiwa likizo , hakikisha una spend muda mwingi nao na toka nao out mara kwa mara kwa michezo, kutembelea ndugu nk. show them love , kumbuka mama ndie atakuwa anakaa nao nyumbani likizo hivyo kuwa nao muda mwingi, usipoonesha love mama ni rahisi kuwaspoil watoto na wakakichukia.

mwisho: ugomvi wenu na visirani vyenu visiwahusishe watoto, they are very innocent , mbele yao mnatakiwa mbehave in a very mature way.
Umenena vyema mkuu..Naamini amekuelewa
 
Chief nashukuru kwa mawazo yako

Nilipona maumivu siku nyingi, usaliti ulifanyika 2012, hivyo nilisha move on, tatizo ni mwanamke kukatalia kwangu, mengine nilishayasahau
Na suala la msamaha halipo, msamaha kama binadam nilishasamehe, ila mapenzi ndio haiwezekani, sina upendo nae tena

Siwezi kuishi bila furaha kwa maisha yangu yaliyobaki duniani kisa watoto, ndio fate hiyo, cha msingi ni wapate elimu na wakae sehemu salama wakipata huduma zote
Watabaki kwa dada yangu wakilelewa hapo na kupata huduma zote
Wewe ni mkurya au mzanaki? N jibu
 
Mwisho wa uzinzi ni ndoa kuvunjwa. Hakuna kuishi na mtu mzinzi hata siku moja.
Yote nitavumilia lakini sio swala la uzinzi...
Na..... hili ndilo neno la Mungu.

Tumshukuru Mungu.
 
Yaani wewe sijui uwekwe fungu gani

Upo busy kumkomoa mkeo bila kuangalia madhara kwa watoto

Uwaache watoto kwa dad yako yeye ndio aliyewazaa?

Huyo mkeo ni malaika hata asikosee????

Pyeee
 
MSAMEHE TU MAANA ametubu makosa yake na wewe umsamehe na kutubu pia na kanisani mwende KUPIGA MAGOTI na kutubu kwa kudhii!.
 
yani kweli ulishindwa mpa kipigo mpaka alale siku saba hospitali basi huyo bibie kashakuchora na hapo haondoki ng'oo
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Kimsingi kwasababu ulikua na watoto naye; Ni wazi Umeonyesha UBINAFSI kupita kiasi, kwa kujali maugomvi yenu na kupuuza hisia zA watoto wenu. Umepoteza sifa zA kua baba mwema na bora. Huna legacy watoto wanafaa kuiga kutoka kwako. Kwa kumdhalilisha mama yao muda wote huo.. How dare are you?

Pia hujui furaha ya watoto wako, unadhani elimu na Pesa zako ndio kila kitu kwa malezi ya mtoto.

USIDANGANYIKe...Dada yako hawezi kua bora kama mama yao na wewe kwa malezi ya watoto wako.
Si Dada yako tu hata Ndugu zako wengine hawawezi kuwajali wanao kuliko wewe na mkeo.

Believe it or not watoto wako wameshaathirika tayari na tabia zenu.

Nakushauri Msamehe mkeo kwa uzinifu wake na si umsamehe ni bora msameheane manake wote mna makosa. Kisha muanze upya na watoto warudi home ImEDIATELY.


Kushindwa kusamehe sio UBINGWA wala sio UANAUME Bali ni Udhaifu mkubwa sana umeuonyesha kwa Mkeo, watoto na jamii inayokuzunguka.


Ukiwa kama mwanaume na baba wa familia, ulitakiwa kua imara kuchukia na kusamehe, ndio maana ya utu uzima.

Hata ukichukua mke mwingine watakumegea tena, na itakua tatizo juu ya matatizo. Je Utafukuza wangapi?

Tena mkeo anaonyesha ni stronger than you, Mara mia kuliko wewe pamoja na timbwilitimbwili unalomfanyia.

Usiwe dhaifu kwa Wanawake kiasi hicho. Watoto wanahitaji baba na mama. Be a good father by love their mother. Muda haurudi nyuma.
Hakuna Upendo mkubwa kama msamaha wa kosa lililo kubwa.
 
Hukupaswa kulipiza baya kwa baya kwakua hiyo imeathiri hadi watoto amabao hawana hatia, cha msingi hapo ni kumsamehe ukimwekea kinyongo ni sawa na kunywa sumu ambayo itakua inakua polepole pia uwe na huruma na watoto usidhani wanajisikia vizuri kukaa kwa shangazi ni kwa vile tu hawana mbadala. Hata wewe unastahili lawama kwakua unamletea mwanamke mwingine tena mbele yake na unafanya naye huo upuuzi wenu, si bora hata yeye alifanya hivyo wakati haupo? Usijione kua wewe ni mtakatifu sana kwa hayo unayofanyia mwenzio, ebu huyo anaishi vizuri na familia yake wewe haueleweki. Hata ukioa mwanamke mwingine haitakua suluhisho. Take care mwana wane.
Umewah kuchapiwa mkuu?au nalainisha swali je umewah kusakitiwa?
 
Rahisi tu, maisha popote, hama nyumba kaanze maisha mapya sehemu nyingine bas
 
KWELI PESA SIO KILA KITU yaani mwanamke kaachiwa mshahara wote na kadi kapewa but kashindwa kujizuia kwa miezi 3 TU. Pole mwana! HATA MIMI NISINGESAMEHE
 
Ila kwa kuwa mimi ni.mkirsto na tumefundishwa kuomba msamaha na kusamehe na kwa jinsi ya hayo unayoyafanya but bado yupo kweli amejutia hayo aliyoyafanya so jaribu kurudisha moyo Ila naona adhabu umeitoa upande mmoja . je yule rafiki yako ulimfanyaje?
 
Wakuu habari zenu,

Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.

Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.

Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.

Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.

Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.

Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.

Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi

Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.

Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?

Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?

Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.

Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
Naomba ufanye jambo kwa huyo rafiki yako bwege aliyekuharibia family yako, tafadhali!
 
Ila kwa kuwa mimi ni.mkirsto na tumefundishwa kuomba msamaha na kusamehe na kwa jinsi ya hayo unayoyafanya but bado yupo kweli amejutia hayo aliyoyafanya so jaribu kurudisha moyo Ila naona adhabu umeitoa upande mmoja . je yule rafiki yako ulimfanyaje?
Chief nilichomfanya rafiki yangu naomba kibaki siri yangu, maana najua nikisema mtaniona mnyama, hivyo itoshe tu ww kufahamu alipata adhabu kali kushinda ya huyo kahaba
 
KWELI PESA SIO KILA KITU yaani mwanamke kaachiwa mshahara wote na kadi kapewa but kashindwa kujizuia kwa miezi 3 TU. Pole mwana! HATA MIMI NISINGESAMEHE
Nashukuru umeliona hilo, napenda mawazo kama haya, yanatia moyo sana, nikisoma coments zenu nikakutana na coment inasema neno ""samehe"" yaani natamani huyo mtoa comment angekua mbele yangu nimtwange hata vichwa vitano kwa hasira

Kuna mtu kutoka kanisani kwa ex wife aliwahi kuja kunihubiri nimsamehe huyo kahaba nilimpiga huyo jamaa hawezi kusahau alikimbia bila Viatu akipiga kelele za kuomba msaada

Nikisoma neno msamaha nasikia kichefuchefu kikali sana, hivyo naomba watu wasiliandike kabisa hilo neno
 
Back
Top Bottom