Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

msalala kwetu huyo jamaa yako alokugongea mkeo nae ulimfanyaje?? mana unaeza kuta jamaa ndo alimshawishi wife akaingia kingi mana wanawake ni wadhaifu,,
 
Hili LA wasichana sijui wadhaifu Mara oooh!! Ndivyo walivyo ni maneno ya kuwpaa kichwa cha kufanya wanayoyafanya mi nachojua hakuna mtu anayeamka Leo tu akaamua kulala na mtu mwingine ni ishu ya process ya mda mrefu!! Watachat, watatongozana,watapanga siku, atadanganya siku hiyo, na ataamua kuenda na atafanya sasa jamani kuna udhaifu gani hapo zaidi ya kudhamiria!! So neno sijui ni wadhaifu hakuna mashiko so kama adhabu itoe sawasawa kwa huyo mkeo na huyo jamaa pia.
Plus: nimesoma bible labda kuna sehemu nilipitiwa but sijaona sehemu inayosema "Mwanamke sababu ni dhaifu basi nitamhukumu pia kwa kuangalia hilo"
So hiyo excuse ni ujinga
 
Aise adhabu uliyotoa imewahathiri watoto kuliko aliyekuwa anastahili laiti ungeamua kuondoka hapo na kwenda kufanya upuuzi wako sehemu nyingine. Sidhani ulichokifanya kama kimekuondolea maumivu au uchungu wa mkeo kuzini ninachokiona umejiongea matatizo ambayo yatakupelekea kufa kwa pressure au umeme na mengineyo.
 
Hata hao watoto hawatakupenda tu subiri utajaona kitendo cha wewe kuleta mwanamke hapo ndani huku mama yao yupo uliharibu.hebu roho mtakatifu akupe Neema ili uweze msamehe mkeo inatosha kwahayo mliyoyafanya ili mtunze familia yenu vyema.Hebu nikuulize toka umemwoa huyo mkeo ulikua hujawahi kumcheat hata siku moja kabla la hilo songombingo? Kama ulishawahi mcheat haijarishi ni mazingira gani Samehe mkuu,kama hujawahi kabisa kabisa na Mungu wako ndo anajua waweza kufanya walichoshauri baadhi uondoke hapo kajianzie maisha mapya Ila usifikiri ukioa huyo mke mpya ndo atakua perfect ni vile hujui tu anaweza nae akakucheat tu vilevile ili hali mnaishi wote je naye utamwacha? Je utaacha wangapi?

Usemayo ni kweli kabisa mpendwa wangu lakini kusamehe si jambo rahisi kama unavyodhani na si wote wamejaliwa neema hiyo.

Lakini pia kumsamehe mtu unayempenda kunahitaji upendo wa dhati, kama huna upendo wa dhati kwa mwenzi wako si rahisi kumsamehe makosa hasa akiwa amekusaliti.
 
Aise adhabu uliyotoa imewahathiri watoto kuliko aliyekuwa anastahili laiti ungeamua kuondoka hapo na kwenda kufanya upuuzi wako sehemu nyingine. Sidhani ulichokifanya kama kimekuondolea maumivu au uchungu wa mkeo kuzini ninachokiona umejiongea matatizo ambayo yatakupelekea kufa kwa pressure au umeme na mengineyo.
Nilichokifanya kimeniletea matatizo???
Yapi hayo mama yangu? Nitajie hata matatu tu

Mama, amini kuwa naishi kwa furaha na amani kuliko maelezo, nilipona siku nyingi mno, tatizo mnashauri as if uzinzi umefanyika jana, mnasahau usaliti ulishafanyika tangu 2012 na nilishapona na ku move on long time, kwangu mm huyu mke alikoma kuwa mke wangu since 2012, silali nae, sili chakula chake, nothing at all

Watoto wangu wanaishi kwa raha mustarehe kwa dada yangu, ni watoto wakubwa wanaelekea kumaliza primary school, kwa umri huo wangekua wanateswa kwa dada yangu wangenieleza, shangazi yao anawapenda kama wake vile , amewazuia na kuwakatalia na kudai atakaa nao hata miaka na miaka , na mm naenda kuwaona almost on daily basis

So, kuhusu watoto na mm hatuna pressure yoyote, kilichobaki ni kumtoa huyu kahaba nyumbani kwangu ambapo amekatalia,

Above all, sasa hivi sifanyi tena uzinzi wa kupeleka mwanamke nyumbani, nina mwanamke wangu nimempangisha sehemu, huwa naenda napumzika huko hata wiki, tunapendana na tunataka kuoana tuishi pamoja
Nimeamua kuondoka home na kumwachia nyumba naenda kuanza upya haraka

Sasa hayo matatizo na pressure ni yapi? Hayapo

Umeongea maneno mazuri sana, bahati mbaya haya mawazo yalifaa sana wakati huo tatizo limejitokeza back 2012 not now, it is too late
Sasa hivi naishi pieceful na mpenzi mmoja tu
 
Usemayo ni kweli kabisa mpendwa wangu lakini kusamehe si jambo rahisi kama unavyodhani na si wote wamejaliwa neema hiyo.

Lakini pia kumsamehe mtu unayempenda kunahitaji upendo wa dhati, kama huna upendo wa dhati kwa mwenzi wako si rahisi kumsamehe makosa hasa akiwa amekusaliti.
Kusamehe dhambi ya uzinzi sio neema ni upumbavu na ujinga uliotukuka, ukiona mtu amemsamehe mke aliekojolewa na mwanaume mwingine elewa kuwa huyo mume ni dhaifu, mjinga, mpumbavu na hana kifua cha kuacha ingawa alipenda kuacha, mm sipo hivyo

Watu wanakariri kuwa ndoa zote duniani ziliandikiwa kudumu, kumbe sivyo kila ndoa ina fate na destiny yake, zipo ndoa mmoja atafariki, zipo zitafika mwisho kwa vurugu, zipo watakaoshindwana kwa amani na wataolewa na kuoa tena, etc,
Sasa sielewi kwa nn watu wanakariri lazima ndoa zote zifike milele
 
Naona mwanaume unatafuta Ngoma sasa Kirahisi rahisi ,
Kama umeona huwezi kumsamehe tena kaeni chini muongee ili kila mtu aanza maisha yake upya .
Sio kushindana kubadilisha michepuko

Ila huyo hawala yako aliyekuwa anakubali kuja na wewe nyumbani ni kiboko na ana roho ngumu kama simba kwa amani kabisa mnavunja amri ya kumi na mkeo sijui X-mkeo kalala chumba kingine ,watu mnajiweza
 
Watoto watakuchukia sana wewe,kazi unayo
Harafu anajisifia kua watoto wako happy kwa shangazi yao,kila siku anawaona,ubinafsi wao mbaya sana hivi unaweza kufurahia kuishi kwa shangazi ili hali wazazi wapo naniwazima wa afya kabisa!elimu awapatie lakini ajue watoto hawatakua na mapenzi ya dhati kabisa na baba wameona na kujifunza kwake mengi.
 
Kusamehe dhambi ya uzinzi sio neema ni upumbavu na ujinga uliotukuka, ukiona mtu amemsamehe mke aliekojolewa na mwanaume mwingine elewa kuwa huyo mume ni dhaifu, mjinga, mpumbavu na hana kifua cha kuacha ingawa alipenda kuacha, mm sipo hivyo

Watu wanakariri kuwa ndoa zote duniani ziliandikiwa kudumu, kumbe sivyo kila ndoa ina fate na destiny yake, zipo ndoa mmoja atafariki, zipo zitafika mwisho kwa vurugu, zipo watakaoshindwana kwa amani na wataolewa na kuoa tena, etc,
Sasa sielewi kwa nn watu wanakariri lazima ndoa zote zifike milele

Sasa kama unaelewa yote hayo why unachosha watu hebu fanya nafsi yako itakavyo ili uipate hiyo amani,na kama kua dhaifu mbona tayari ulisha kua dhaifu kitambo.
 
muachie nyumba na watoto uwatunze wakiwa nae,wakishakuwa wakubwa (boarding school-Secondary ) will sort out their problems,hati ya nyumba weka majina ya watoto na ukae nayo.Muombe sana mungu akusaidie ila sikushauri uchukue msichana mwingine.Tulia jipange kwenye makazi mapya muda ukifika utapata ufumbuzi wa kudumu.
 
Harafu anajisifia kua watoto wako happy kwa shangazi yao,kila siku anawaona,ubinafsi wao mbaya sana hivi unaweza kufurahia kuishi kwa shangazi ili hali wazazi wapo naniwazima wa afya kabisa!elimu awapatie lakini ajue watoto hawatakua na mapenzi ya dhati kabisa na baba wameona na kujifunza kwake mengi.
It is destiny my sisister, kama watoto mmejikuta katikati ya ugomvi wa wazazi na mkaathirika in some way then hiyo ndio Destiny yenu, ukifiwa na mzazi ni destiny, wazazi wakiachana ni destiny pia, siwezi kuishi maisha ya maumivu na donda rohoni forever kwa kumsamehe mtu kinafiki huku rohoni simpendi kabisa na nna chuki nae kisa watoto wataathirika
Nachoweza kuwasaidia watoto ni ku control damage, na ndio nilichokifanya, sijui mnataka nn zaidi
 
K
Mkeo ni zaidi ya kupe.... Poleni
ing'ang'anizi au?pana mambo mengine ya ajabu hapa yaani miezi mitatu bibie akachepuka hata kama ni njaa au upweke hiyo njaa gani?hana jinsi lazima au kupe coz point zimebana akifikiria kurudi home msoto wake bora avumilie hapo.
 
Nilichokifanya kimeniletea matatizo???
Yapi hayo mama yangu? Nitajie hata matatu tu

Mama, amini kuwa naishi kwa furaha na amani kuliko maelezo, nilipona siku nyingi mno, tatizo mnashauri as if uzinzi umefanyika jana, mnasahau usaliti ulishafanyika tangu 2012 na nilishapona na ku move on long time, kwangu mm huyu mke alikoma kuwa mke wangu since 2012, silali nae, sili chakula chake, nothing at all

Watoto wangu wanaishi kwa raha mustarehe kwa dada yangu, ni watoto wakubwa wanaelekea kumaliza primary school, kwa umri huo wangekua wanateswa kwa dada yangu wangenieleza, shangazi yao anawapenda kama wake vile , amewazuia na kuwakatalia na kudai atakaa nao hata miaka na miaka , na mm naenda kuwaona almost on daily basis

So, kuhusu watoto na mm hatuna pressure yoyote, kilichobaki ni kumtoa huyu kahaba nyumbani kwangu ambapo amekatalia,

Above all, sasa hivi sifanyi tena uzinzi wa kupeleka mwanamke nyumbani, nina mwanamke wangu nimempangisha sehemu, huwa naenda napumzika huko hata wiki, tunapendana na tunataka kuoana tuishi pamoja
Nimeamua kuondoka home na kumwachia nyumba naenda kuanza upya haraka

Sasa hayo matatizo na pressure ni yapi? Hayapo

Umeongea maneno mazuri sana, bahati mbaya haya mawazo yalifaa sana wakati huo tatizo limejitokeza back 2012 not now, it is too late
Sasa hivi naishi pieceful na mpenzi mmoja tu

Hongera kwa kupona na kuishi maisha mazuri. Sijui inaonekana ndani ya mtima wako unamaumivu huwa inatokea wewe sio wa kwanza na ndio maana umeileta hapa sijajua ni somo kwa wengine au kupunguza maumivu na pengine kuwataka wanaume wafanye kama wewe labda. Unaweza kusema watoto wanaishi vizuri na amani tele subiri wawe na umri mwingine watakukumbusha ulichokifanya back then
 
Nilichokifanya kimeniletea matatizo???
Yapi hayo mama yangu? Nitajie hata matatu tu

Mama, amini kuwa naishi kwa furaha na amani kuliko maelezo, nilipona siku nyingi mno, tatizo mnashauri as if uzinzi umefanyika jana, mnasahau usaliti ulishafanyika tangu 2012 na nilishapona na ku move on long time, kwangu mm huyu mke alikoma kuwa mke wangu since 2012, silali nae, sili chakula chake, nothing at all

Watoto wangu wanaishi kwa raha mustarehe kwa dada yangu, ni watoto wakubwa wanaelekea kumaliza primary school, kwa umri huo wangekua wanateswa kwa dada yangu wangenieleza, shangazi yao anawapenda kama wake vile , amewazuia na kuwakatalia na kudai atakaa nao hata miaka na miaka , na mm naenda kuwaona almost on daily basis

So, kuhusu watoto na mm hatuna pressure yoyote, kilichobaki ni kumtoa huyu kahaba nyumbani kwangu ambapo amekatalia,

Above all, sasa hivi sifanyi tena uzinzi wa kupeleka mwanamke nyumbani, nina mwanamke wangu nimempangisha sehemu, huwa naenda napumzika huko hata wiki, tunapendana na tunataka kuoana tuishi pamoja
Nimeamua kuondoka home na kumwachia nyumba naenda kuanza upya haraka

Sasa hayo matatizo na pressure ni yapi? Hayapo

Umeongea maneno mazuri sana, bahati mbaya haya mawazo yalifaa sana wakati huo tatizo limejitokeza back 2012 not now, it is too late
Sasa hivi naishi pieceful na mpenzi mmoja tu
Swali dogo la kizushi:

Kitatokea nini ukijasikia huyu mpenzi wako wa sasa unayetaka kumuoa anakucheat?? Kama utapotezea, je ukimfumania?(Usinijibu kama ulimkuta bikira)
 
Hongera kwa kupona na kuishi maisha mazuri. Sijui inaonekana ndani ya mtima wako unamaumivu huwa inatokea wewe sio wa kwanza na ndio maana umeileta hapa sijajua ni somo kwa wengine au kupunguza maumivu na pengine kuwataka wanaume wafanye kama wewe labda. Unaweza kusema watoto wanaishi vizuri na amani tele subiri wawe na umri mwingine watakukumbusha ulichokifanya back then
Kwa hiyo mpenzi, unamshauri nini huyu muathirika wa ndoa?
 
Hongera kwa kupona na kuishi maisha mazuri. Sijui inaonekana ndani ya mtima wako unamaumivu huwa inatokea wewe sio wa kwanza na ndio maana umeileta hapa sijajua ni somo kwa wengine au kupunguza maumivu na pengine kuwataka wanaume wafanye kama wewe labda. Unaweza kusema watoto wanaishi vizuri na amani tele subiri wawe na umri mwingine watakukumbusha ulichokifanya back then
Kwa hiyo mpenzi, unamshauri nini huyu muathirika wa ndoa?

Swali la kizushi.... ulitegemea atakuambia anaishi maisha mabaya baada ya kutendwa na kuamua kufanya ufuska home?

Unaamini watoto wanaishi maisha mazuri kwa shangazi na wala si kwa wazazi?

Unafikiri watoto hawampendi mama yao na wamefurahi baba yao kuwahamishia kwa anti?

Afu unajua navokumisi lakini?
 
Back
Top Bottom