Mleta maada ndiyo maana umejichubua kama mama bongoMfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo ...
Mfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo wake wa kuleta mageuzi ya uchumi nchini, ikiwemo kuvutia uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam
Mama Bonge, ambaye huagiza vipodozi, vitenge na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam, amesisitiza kuwa kampuni ya DP World ni mwekezaji sahihi atakayeongeza ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam na kuleta ahueni kwa wafanyabiashara nchini, ambao kwa sasa wanacheleweshewa mizigo yao
View attachment 2709554
Huyu si yule mcheza singeli matiti yako nje! Anajuwa nini kuhusu uchumi wa bandari. Yeye mwenyewe kaathiriwa na bidhaa zake mwenyewe kama kweli ni muagizaji wa bidhaa zilizojaa makanikia!Mleta maada ndiyo maana umejichubua kama mama bongo
Wewe ni la saba na hujui unachoongea.Mfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo wake wa kuleta mageuzi ya uchumi nchini, ikiwemo kuvutia uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam
Mama Bonge, ambaye huagiza vipodozi, vitenge na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam, amesisitiza kuwa kampuni ya DP World ni mwekezaji sahihi atakayeongeza ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam na kuleta ahueni kwa wafanyabiashara nchini, ambao kwa sasa wanacheleweshewa mizigo yao
View attachment 2709554
TutusaMfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo wake wa kuleta mageuzi ya uchumi nchini, ikiwemo kuvutia uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam
Mama Bonge, ambaye huagiza vipodozi, vitenge na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam, amesisitiza kuwa kampuni ya DP World ni mwekezaji sahihi atakayeongeza ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam na kuleta ahueni kwa wafanyabiashara nchini, ambao kwa sasa wanacheleweshewa mizigo yao
View attachment 2709554
mfanyabiashara mkubwa anayeitumia bandari mara kwa mara, tukuulize we ni nani umeshafika hata bandarini? Ulishawahi agiza mzigo?Mama bonge ndo nan Nchi hii na ana impact gan? Tufahamishe wengine hatumjui huyo mama bonge ni nan Nchi hii!!
yule ndio mshika dau mkubwa, we nyau ambaye hujafika hata bandarini ni bora ukae kimya tafuta hela nawe ifike siku moja uagize bidhaa kupitia bandari ya Dar Es SalaamHuyu si yule mcheza singeli matiti yako nje! Anajuwa nini kuhusu uchumi wa bandari. Yeye mwenyewe kaathiriwa na bidhaa zake mwenyewe kama kweli ni muagizaji wa bidhaa zilizojaa makanikia!
Ana impact gan kwa Taifa mpaka tumuamini kuhusu port investment? Angeongea kitaalam kuhusu mkataba wa DP world na changamoto zake tungemuelewa!!mfanyabiashara mkubwa anayeitumia bandari mara kwa mara, tukuulize we ni nani umeshafika hata bandarini? Ulishawahi agiza mzigo?
Hamna mtu hataki wawekezaji. Tunachokataa ni mikataba ya kijinga. Huwezi kabidhi mtu bandari jumla jumla lazima pawe na muda specific.Mtu yeyote anayepitisha container bandarini lazima aunge mkono uboreshaji wa bandari, wengi wetu ambao hatutumii bandari directly tunapiga tu kelele nyiiiingiiii!
Wafanye haraka uboreshaji wa huo mkataba mwekezaji aingie tusonge mbele tuachane na wenye mawazo ya kijamaa.
Nilimsikiliza mzee wa TICS karamagi anasema ameacha mkataba akiwa amepandisha capacity ya makontena toka 70k hadi 700k kwa mwaka! Hizi zitakuwa ni containers za kwemda congo tu tukiboresha bandari.
Yaan kweli ccm wanatuletea mtu mwenye abnomal obesity haelewi kitu kabisa anajali kujaza tumbo lake tu ndo aje ajibu hoja za bandari??Umbile lake ni ugonjwa usiotibika.