Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Nchi hii ina mastaa wengi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe najua umeuona lakini umeshindwa kuuelewa nakushauri utafute wasomi wakusaidie. Maana mnaweza kuwa mnapiga kelele kumbe tatizo ni kichwani hamna kitu.Huyo mama bonge amewahi hata kuuona ule mkataba wa hovyo wa bandari?
TANZANIA UKIONGEA SANAAAMama bonge ndo nan Nchi hii na ana impact gan? Tufahamishe wengine hatumjui huyo mama bonge ni nan Nchi hii!!
Ustarr wao umetokana na kupiga domo sanaaaaNchi hii ina mastaa wengi sana.
Mfanyabiashara.Mama bonge ndo nan Nchi hii na ana impact gan? Tufahamishe wengine hatumjui huyo mama bonge ni nan Nchi hii!!
Kama Lissu.Ustarr wao umetokana na kupiga domo sanaaaa
Wabongo wanapenda domodomo
Ova
Naunga mkono hoja.
kumbe mwenyewe ni mtu wa majukumu
So kazungumzia changamoto zilizopo kweny mkataba wa bandari au kapuyanga bora liende?Mfanyabiashara.
Upo sahihi kbs, ndo maan nimehoji impact yake pia kapitia mkataba ulivyo au kapuyanga tu bora liende!!TANZANIA UKIONGEA SANAAA
UKIPIGA DOMO SANAA BASI UNAONEKANA MTU WA MAANA +UMAARUFU HATA UKIONGEA PUMBA TWENDEEE TU
ova
Huyo hana akili kama afya yake ilivyo...aendelee kuuza mkorogo wakeMfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo wake wa kuleta mageuzi ya uchumi nchini, ikiwemo kuvutia uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam
Mama Bonge, ambaye huagiza vipodozi, vitenge na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam, amesisitiza kuwa kampuni ya DP World ni mwekezaji sahihi atakayeongeza ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam na kuleta ahueni kwa wafanyabiashara nchini, ambao kwa sasa wanacheleweshewa mizigo yao
View attachment 2709554
Huwa ni mchafu sana yanatoa harufu kama ya o ecean Road Beach
Yule mama bonge og siyo huyu. Mwenye picha tafadhaliMfanyabiashara maarufu wa Kariakoo, Sinyali Kimambo, maarufu kama Mama Bonge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutorudi nyuma katika msimamo wake wa kuleta mageuzi ya uchumi nchini, ikiwemo kuvutia uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam
Mama Bonge, ambaye huagiza vipodozi, vitenge na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi kupitia bandari ya Dar es Salaam, amesisitiza kuwa kampuni ya DP World ni mwekezaji sahihi atakayeongeza ufanisi wa bandari ya Dar es Salaam na kuleta ahueni kwa wafanyabiashara nchini, ambao kwa sasa wanacheleweshewa mizigo yao
View attachment 2709554