Mama Bonge wa Kariakoo asimama na Rais Samia Uwekezaji wa DP World Bandarini

Huyo mama bonge amewahi hata kuuona ule mkataba wa hovyo wa bandari?
Wewe najua umeuona lakini umeshindwa kuuelewa nakushauri utafute wasomi wakusaidie. Maana mnaweza kuwa mnapiga kelele kumbe tatizo ni kichwani hamna kitu.
 
Huyo hana akili kama afya yake ilivyo...aendelee kuuza mkorogo wake
 
Yule mama bonge og siyo huyu. Mwenye picha tafadhali
 
Hawa ndio wamebaki kuitetea CCM lakini wengi wao ni vilaza na hawajui Nini kinabishaniwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…