Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Mama Dangote amtolea Uvivu Hamisa Mobetto

Huyu Dada alikosea Sana katika 40 ya mwanae kumfata Yule Mzee Baba wa Dai hajui watu Wana mgogoro wao wa muda mrefu hapo ndipo alipo haribu. Huyu Hana washauri kwao? Ana lazimisha Sana si akae kimya tuu ana keraaaa

Simply ni zero brain..ila umaskini wa akili ni mbaya maana hawezi reason!
 
Hamisa ni mwanamke mpumbavu na mjinga afu mshamba, msieeeeew
 
Mimi mwenyewe nikiwa kama mama mkwe wa mtu mtarajiwa siwezi kukubali mwanangu awe na mwanamke chuma ulete. Anayetegesha mimba kwa ajili ya mali. Imaskini wa mali + umaskini wa fikra = Hamisa Mobetto
 
Watu wamezaa na watoto wa trump sembuse huyo mama dangote [emoji57]
 
Back
Top Bottom