Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Umejuaje?Mama Hamisa alishawahi kua jimama la anko Shamte,
Yule Shamte ni Marioo wa kitaifa, hua anaruka kutoka jimama moja kwenda lingine kulelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje?Mama Hamisa alishawahi kua jimama la anko Shamte,
Yule Shamte ni Marioo wa kitaifa, hua anaruka kutoka jimama moja kwenda lingine kulelewa.
Huyu Dada alikosea Sana katika 40 ya mwanae kumfata Yule Mzee Baba wa Dai hajui watu Wana mgogoro wao wa muda mrefu hapo ndipo alipo haribu. Huyu Hana washauri kwao? Ana lazimisha Sana si akae kimya tuu ana keraaaa
Sisi ndio wenye Darslam yetu.Umejuaje?
Kabisaaaaah binamu, waleleeeeeeeeeeehAcha kumfananisha Zari na huo uchafu usiojielewa
Uchawi umeisha nguvuAnataka ku prove watu kuwa yuko karibu sana na Diamond na wametoka mbali , bitche she is dying of fame, Yan sijui akili zake ziko wapi maskin
Hana akili kichwani,anawaza kupata wanaume wenye pesa tu ili wamuendeshee maishaBut ana umaarufu anaweza kutengeneza pesa zake akiamua
ukishaua brand kwa mambo ya hovyo hamna mtu anakuwa interested. Imagine mtu unasifika kwa kukosa akili mie nikanunue brand ya mkosa akili?But ana umaarufu anaweza kutengeneza pesa zake akiamua
Hana akili hiyo ndo maana alisemaga watu wanamuonea wivu kwasababu amezaa na wanaume wenye hela[emoji3]But ana umaarufu anaweza kutengeneza pesa zake akiamua