Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Sio kweli, embu vaa wewe tukuoneMwanamke yeyote akivaa kiguo kama hicho utaona figa matata
Sio kweli, embu vaa wewe tukuone
Hahahahahahahahahahahahahaaaaaaaa. Hatari sanaMama dangote anavibastola vya kizee ila poa kama pesa ipo tu mbona hata humu kuna watu wanawala wazee kaka yangu. Asprin nikumbushe ile habari ya yule MUTU alitongoza demu humu akachukua hotel na akamwambia aende room namba 7 jamaa akapiga nyagi akijua anakuta chuma hatare maana avatar inaita!alipofika akakuta bibi kizeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akashindwa kurudi nyuma ikambidi amnyooshe maana hakuna namna!ikawa mwanzo mwisho hata akim pm jamaa anapotezea ila mtu wangu sana nikimuona huwa nacheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji23]Mama Dangote MashallahView attachment 936867
Acha mwivuDah!!hatari sana,yani kweli upo na bi mkubwa wako mnatembeA kavaa hivyo...aisee
Mwivu ndo mnyama gani??Acha mwivu
unaweza hisi umeandika as funny lakini jua neno mama ni kitu sensitivesana ..sijajua mama yako unamchukuliaje!yan had nimekushangaa!
Usimshangae pengine mama yake yuko mpweke sasa hivi anamuonea huruma. Sio kila mawazo ni mabaya inategemea yanawazwa na nani
Kwa jinsi alivyosimama hapo ni wazi kafosi hips ionekane ila hana hips. Kwa kifupi ni shapeless. Pozi hili hata mwanaume ukisimama ukagoai lazima uonekane na una hips. Hips kama unazo simama wima zitaonekana tu.mama ana kahips....unapasuaa tu.
Lumumba kuna kitu kinaitwa aibu?Kwakweli aibu naona mimi hahahaha Mama Dangote
Busara hazijakupungukia.Kudosunaweza hisi umeandika as funny lakini jua neno mama ni kitu sensitivesana ..sijajua mama yako unamchukuliaje!yan had nimekushangaa!
Busara hazijakupungukia.Kudos
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Shape ipo sura shida
Umenifanya nicheke japo umeongelea issue serious.Nakubaliana nawe.Mama aheshimiwe,wametuvumilia sana.Pole na hongera kwakuwa mama.By the way,mambo poa tu.Mwachipolopolo inakukumbusha nini mlipokuwa shule?mimi namheshimu sana mtu anayeitwa mama jaman..toka nihudhurie leba dah nimekuwa na adabu..ingawa mama mnoko ila namheshimu kwakweli..sikujfurahi hata kidg..mambozi mwanchipolopolo..unanikumbusha enzi ya chipolopolo enzi hizo tupo chuo..dadek
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]jamani nimecheeeekaaaaaa dah huyu mama libido bado lipo level?si yupo menopause kbs huyu?naskiaga huwa dry haswa