Mama Dangote na Ki Ben10 chake Shamte ndani ya Dubai

Hahahahahahahahahahahahahaaaaaaaa. Hatari sana
 
Usimshangae pengine mama yake yuko mpweke sasa hivi anamuonea huruma. Sio kila mawazo ni mabaya inategemea yanawazwa na nani
unaweza hisi umeandika as funny lakini jua neno mama ni kitu sensitivesana ..sijajua mama yako unamchukuliaje!yan had nimekushangaa!
 
Usimshangae pengine mama yake yuko mpweke sasa hivi anamuonea huruma. Sio kila mawazo ni mabaya inategemea yanawazwa na nani


hivi eh?sawa madame..basi airudishe tu comment yake hapa jukwaani.iendelee kidamshi@behaviourist
 
mama ana kahips....unapasuaa tu.
Kwa jinsi alivyosimama hapo ni wazi kafosi hips ionekane ila hana hips. Kwa kifupi ni shapeless. Pozi hili hata mwanaume ukisimama ukagoai lazima uonekane na una hips. Hips kama unazo simama wima zitaonekana tu.
 
Duu kweli pesa Noma,Mama kawa kama under 19 ingawa jua likizama limezama tuu piko na visuruali ni kujisahaulisha tuu kuwa tayar ww Una wajukuu
 
Huyo Juma Lokole anasagana na Esma au chakula ya nani kwa hiyo familia? maana sio kwa ukaribu huo.
 
Life style
Yajayo yanafurahisha
Usishangae siku za usoni ukasikia mtoto kalala na mama yake
Changanya uswahili wa familia
 
Mleta mada,mbona unamshambulia sana baba daimond.kulikoni.!?
 
Busara hazijakupungukia.Kudos


mimi namheshimu sana mtu anayeitwa mama jaman..toka nihudhurie leba dah nimekuwa na adabu..ingawa mama mnoko ila namheshimu kwakweli..sikujfurahi hata kidg..mambozi mwanchipolopolo..unanikumbusha enzi ya chipolopolo enzi hizo tupo chuo..dadek
 
mimi namheshimu sana mtu anayeitwa mama jaman..toka nihudhurie leba dah nimekuwa na adabu..ingawa mama mnoko ila namheshimu kwakweli..sikujfurahi hata kidg..mambozi mwanchipolopolo..unanikumbusha enzi ya chipolopolo enzi hizo tupo chuo..dadek
Umenifanya nicheke japo umeongelea issue serious.Nakubaliana nawe.Mama aheshimiwe,wametuvumilia sana.Pole na hongera kwakuwa mama.By the way,mambo poa tu.Mwachipolopolo inakukumbusha nini mlipokuwa shule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…