Mama Dangote na Ki Ben10 chake Shamte ndani ya Dubai

Mama Dangote na Ki Ben10 chake Shamte ndani ya Dubai

Huko insta diamond kaisafirisha familia yake nzima kwenda Dubai bila kumsahau Mr shamte kipoozeo cha mama na dangote, Na Nzi mbeba mikoba nae muuza mchele mjini hapa shogaangu Jumalokole2 nae yupo nyuma nyuma kwenye msafara huo wa bata la Dubai.

View attachment 936627
[emoji108] Ila shamte kakaangu Ivi huon aibu umemwacha mke wako Angela anateseka mtoto ww unakula bata na hela za dimond anavozitafuta kwa nguvu zote jukwaan anatoka majasho ww unameza tu kuna siku utaombwaView attachment 936622View attachment 936623
Mama dangote anavibastola vya kizee ila poa kama pesa ipo tu mbona hata humu kuna watu wanawala wazee kaka yangu. Asprin nikumbushe ile habari ya yule MUTU alitongoza demu humu akachukua hotel na akamwambia aende room namba 7 jamaa akapiga nyagi akijua anakuta chuma hatare maana avatar inaita!alipofika akakuta bibi kizeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akashindwa kurudi nyuma ikambidi amnyooshe maana hakuna namna!ikawa mwanzo mwisho hata akim pm jamaa anapotezea ila mtu wangu sana nikimuona huwa nacheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Khaaa yaani alienda lodge bila hata kuona picha ya mtu
Mama dangote anavibastola vya kizee ila poa kama pesa ipo tu mbona hata humu kuna watu wanawala wazee kaka yangu. Asprin nikumbushe ile habari ya yule MUTU alitongoza demu humu akachukua hotel na akamwambia aende room namba 7 jamaa akapiga nyagi akijua anakuta chuma hatare maana avatar inaita!alipofika akakuta bibi kizeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akashindwa kurudi nyuma ikambidi amnyooshe maana hakuna namna!ikawa mwanzo mwisho hata akim pm jamaa anapotezea ila mtu wangu sana nikimuona huwa nacheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom