Mama Diamond awamwaga watu machozi kutokana na picha za misukosuko aliyopitia mwanae

Mama Diamond awamwaga watu machozi kutokana na picha za misukosuko aliyopitia mwanae

youngdonats18

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
685
Reaction score
443
Ama kweli mchumia juani hulia kivulini, tucwe wepesi kujaji mafanikio ya mtu bila kujua aliyopitia, tazama picha hizi ujifunze kitui
efbcc517147581885d6c0d5bbdc11cd5.jpg
5aff4a250943399e48cba9cbcf0e8546.jpg
9f416e6febdb49f73b9b517137578ad4.jpg
0d917eab7601a58c0c4b8bad93dbb777.jpg
643904dbf4a93fcf306f7a28a47d1bd7.jpg
c6d4f066b559d0a1f1455c08101a0962.jpg
 
Nilitaka kusema nashangaa maneno yameyeyuka!!!
 
Sijaelewa chochote hapa.
Unamaanisha kuwa na sie tuweke picha zetu za utotoni hadi hapa tulipo.
Kama unahistoria yenye ushawishi na inayopaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa watu wengne na umeweza kufanikisha kwa kiasi kikubwa, basi fanya kuanzisha thread yako
 
SASA HAPO CHA KUMWAGIA MACHOZI KIKO WAPI? mi nilijua labda ameonesha picha za nassibu kuchunwa ngozi au kugongwa nyundo za kichwa afu ndo wadau wanampa hela!, kumbe ni za kubusiana na mama ake, zingine kaweka pozi matata, nyingine anakunywa soda ambapo kipindi kile ulikuwa mtu unaonekana mjanja.. huo ni unafiki wa hali ya juu... mtu kidogo unaeweza kuguswa na background yake ni labda Paul'o Makon Da huyu ndo kahenyeka hadi anafuta viatu vya mtoto wa mhe. sio mchezo!
 
Watu wengine mavi kweli yani nchi kama tanzania nishida hakuna vitu vya maana kama elimu maji barabara bidhaa kupanda bei kiolela mambo kibao mtu anaandika maupumbavu mida mingine mnaboa sana wasengelema nyie hata familia zenu mnazifatilia kama hao wasenge wenzenuu nyambafuuuuuu
 
Back
Top Bottom