Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Hivi unawajua walio pitia maisha magumu au unatania? ukicheki hizo picha unaona kabisa diamond alipata malezi bora kabisa na matunzo safi dogo anapendeza ana afya anapiga pamba za kiwakati huo halafu useme kapitia maisha magumu EBO! kutelekezwa au kupata malezi ya mzazi mmoja sio kigezo cha kupitia maisha magumu.....acheni ushabiki wa kokoro kufyonza kila kitu hta km ni kinyesi.......Ama kweli mchumia juani hulia kivulini, tucwe wepesi kujaji mafanikio ya mtu bila kujua aliyopitia, tazama picha hizi ujifunze kitui![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Despite of my my comment,i have only one lesson to learn "kutokata tamaa,bidii na maarifa ndio msingi wa mafanikio" only that.