Mama Diamond awamwaga watu machozi kutokana na picha za misukosuko aliyopitia mwanae

Kumbeee!! Jaribu kusubscribe kwny jukwaa la siasa , nafikiri kuna mengi utayakuta huko, hata me pia nashariki kwny majukwaa mengne jf, xo fanya tukutane huko
 
Kinachowaliza hapo nini? Kila mtu ana background yake,vidole havilingani. Acheni ujinga na team yenu
 
Kwmb mitandao ya kijamii inanyumba na magari ambayo watumiaji wa social network wanaishi, et!!!!!
Hujakosea kwa Tafsiri Yako pia ila kwa maisha HaYo Ya diamond kusema kwamba ametoka hohe hahe mbwa kachoka mnawakosea watu waliotoka pangu pakavu
 
Ni life cycle ya kawaida kwa watu wa dunia ya tatu...
 
Ama kweli mchumia juani hulia kivulini, tucwe wepesi kujaji mafanikio ya mtu bila kujua aliyopitia, tazama picha hizi ujifunze kitui
hizo picha za misukosuko na hayo machozi yako wapi?
 
Sijaelewa chochote hapa.
Unamaanisha kuwa na sie tuweke picha zetu za utotoni hadi hapa tulipo.
Wengine apa tukiweka picha za utotoni na za sasa utakachoona ni kwamba picha za utotoni tulikuwa peku na za sasa tumevaa ndala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…