Iringa Native
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 961
- 3,055
ndedu sana ambayo kufika kwako kutategemea commitment yako katika kumaliza safar!!!maisha ni safari
Exactly! Mimi huwa nashangaa watu wanaosema Diamond kaanzia chini. Diaomond kuna picha anaendeksha baiskeli za watoto. Ni watoto wachache sana hata leo hii wanamiliki Baiskeli. Hakutokea chini kiiiivyo!Mbona hizo picha zinaonyesha jamaa kalelewa kwenye maisha yakupata huduma zote za muhimu hakuna cha kushangaza hapo!
Kabisandedu sana ambayo kufika kwako kutategemea commitment yako katika kumaliza safar!!!
Happy New Yearmaisha ni safari
dah na mim nimetokwa na machozi kwa ujinga uliopost
[emoji23][emoji23] Sir it would be better to calm downWatu wengine mavi kweli yani nchi kama tanzania nishida hakuna vitu vya maana kama elimu maji barabara bidhaa kupanda bei kiolela mambo kibao mtu anaandika maupumbavu mida mingine mnaboa sana wasengelema nyie hata familia zenu mnazifatilia kama hao wasenge wenzenuu nyambafuuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu wana machozi ya kuchezea aisee.
I dont believe kuwa waanzisha hizi thread za diamond ni wanaume, kabisa. yaani siamini
Kuwa na mama mswahili namna hii ni shida sana.
Wewe na akili zako unaamini kabisa huyu jamaa kasota??? Ni sawa na Biggie alivyosema mama yake alikuwa ana struggle kuweka chakula mezani-Mama(a teacher then)akakanusha.Acheni kufananisha machozi Na vitu vya kipumbavu. Ukiona pocha za maisha aliyolelewa eminnem ndo unaweza lengwa Na machoz kwa mbali. Ukikosa picha angalia tu video yake ya I AM SORRY MAMA.
Happy to u tooHappy New Year