Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Hamna athari yoyote kwa sababu haiwezekani kusema kwamba Diamond ametumia jina kwa maslahi yake binafsi wakati jina lenyewe halikuwa na impact yoyote kwa jamii! Kwa mfano tuseme angekuwa amechukua jina la "Reginald Mengi". Hapo mtu anaweza kujenga hoja kwamba alitumia jina la Reginald Mengi kujinufaisha kwa sababu kila alipopita alifahamika kama mtoto wa Business Tycoon!! Na haiingii hata kwenye impersonation kwa sababu hakutumia jina la Abdul ili ajifanye mtoto wa Abdul bali alitumia jina la Abdul kama jina la mzazi! Mbaya zaidi, huyo Mzee Abdul hana uwezo wa kuthibitisha kwamba jina la Abdul Juma analotumia Diamond ni Abdul Juma yeye kwa sababu kuna maelfu kama sio malaki au hata mamilioni ya akina Abdul Juma!
Vipi kama ikichimbwa zaidi na kuangaliwa kwenye Cheti cha kuzaliwa liliandikwa jina la baba ni nani? Shule ya msingi? Sekondari na mpaka kwenye mikataba?

Vipi kama akipata lawyer mzuri hawawezi wakaichimba na kudai fidia ya jina lake kutumiwa kama mzazi hali ya kuwa mtoto si mwanae?

Unakumbuka issue ya Rick Ross kutumia jina la mtu mwengine? Ijapokuwa kesi zinaweza tofautiana ila kwa kiasi fulani zinaingiliana.
 
Uliwahi kusiki mara ngapi mwanamke amekataa mimba? Ni kwa nadra sana pia wanawake hutelekeza watoto, hivyo wanaume hawana chochote kikubwa cha kuwasema wanawake katika suala hilo.
Ni mtazamo wako nauheshimu. Nami ni mtazamo wangu naufahamu uhalisiya pia upoje kwenye huu mtazamo wangu.
 
Vipi kama ikichimbwa zaidi na kuangaliwa kwenye Cheti cha kuzaliwa liliandikwa jina la baba ni nani? Shule ya msingi? Sekondari na mpaka kwenye mikataba?

Vipi kama akipata lawyer mzuri hawawezi wakaichimba na kudai fidia ya jina lake kutumiwa kama mzazi hali ya kuwa mtoto si mwanae?

Unakumbuka issue ya Rick Ross kutumia jina la mtu mwengine? Ijapokuwa kesi zinaweza tofautiana ila kwa kiasi fulani zinaingiliana.
Bahati mbaya ulini-quote kabla sijaongezea nyama kwamba "provided mwenyewe Mzee Juma alifahamu kwamba jina lake linatumika, hapo hakuna kosa lolote"! Kwamba kwanini litumike wakati mtoto sio wake, hiyo haiwezi kuwa issue kwa sababu watoto wengi tu wanatumia majina ya baba ambao sio wao!! Kama asingefahamu, hapo ndo angesema jina lake limetumika bila idhini yake!!
 
Habar wanaJF,

Aliyesema kuwa wanawake na mama zetu tusiwaamini hakukosea leo kwani huenda wazazi wetu wa kiume walio tulea sio baba zetu.

Leo Rikardo Momo amesema kuwa mzee Abdul sio baba yake Diamond na kusema kuwa yeye na Diamond wanachangia baba na baba yao anaitwa Mzee Salim Nyange.

Haya yote yanaweza kuwa sawa lakini kwanini Diamond anaitwa Naseeb Abdul na siyo Salim Naseeb Nyange? Hivi inawezekana baba mlezi kupewa hadhi ya ubin wa mtoto au ndio mama Diamond anataka amalize mchezo?

Na kama ni kweli Mzee Abdul sio baba yake Diamond huenda mama Diamond alikataliwa hii mimba na mzee Salim Nyange akaamua kumtupia zigo mzee Abdul na bila shaka mzee alikubali kiroho safi ila huenda alikuwa anaambiwa mengi na ndugu pamoja na rafiki.

Apa hii story sioni kama ina utofauti na story iliyopo kwenye mziki wa Stamina na Profesa Jay maana namuona Diamond anamlaumu Mzee Abdul kwa kutokumlea ilihali Mzee Abdul alijua Diamond siyo mwanae na bado akaendelea kuwa baba kwa uwezo wake.

Ila sijaamini kama Mzee Abdul sio baba yake mzazi Diamond sababu sio rahisi mtoto alelewe na baba wa kambo mpaka abadilishe jina la ubin wake pia na kuwapa mpaka watoto zake jina la babu yao feki walitumia kama babu yao.

Hizi ni faulo zinataka kuchezeka hapa Mama Diamond anataka kumaliza mechi.


======

Maneno ya Mama Diamond

Mama mzazi wa Diamond Platnumz akijibu kuhusu swali la Dida ambaye ni Mtangazaji wa Wasafi FM, ambaye aliuliza kuhusu uhusiano wa Diamond na Ricardo Momo, mama huyo amejibu kwa kuuliza ''Diamond na Ricardo mnawaonaje?, ambapo Dida alisema wanafanana.

Mama Diamond akaendelea kusema kuwa Baba mzazi wa Diamond anaitwa Salum Idd Nyange huku akidai kuwa Mzee Abdul ni baba mlezi wa Diamond kwani wakati wanaingia kwenye mahusiano alimwambia kuwa kuwa ana ujauzito na Mzee Abdul kusema kuwa ahusiki.

Mama huyo amedai kwamba mzee Abdul alimkataa Diamond tokea mimba na hakuwahi kuwa na mchango wowote kwa Diamond kuanzia vidudu mpaka Sekondari.

Mama Diamond amekuwa akimwambia mzee Abdul kwamba bora ungemkubali Diamond tokea mdogo sasa hivi ungekuwa na mtoto, na ndicho amekuwa akimwambia siku zote.


Baba Diamond atoa neno

Adai kuwa amesema mbele ya watanzania wote kuwa kuanzia wakati huo hamtambui tena Diamond kama mtoto wake kwa kuwa imeshatamkwa kuwa yeye si baba wa mtoto.

Na alipoulizwa kuhusu kupima vinasaba (DNA) ili kuipambania haki ya uzazi kwa Diamond alijibu kuwa mtoto hagombaniwi kama ilivyo mpaka wa nyumba haugombaniwi.


Mzee Abdul Amtaka Diamond Aache Kutumia Jina Lake​

"Mtoto hagombaniwi… Mimi nimekubali siwezi nikapinga, atakancel jina langu, ataenda kuoneshwa kaburi la baba yake basi inatosha," alisema Mzee Abdul

By Jackline Mgeni 15 Jan, 2021 0
Mzee Abdul ambaye awali alikuwa anafahamika kama Baba yake mzazi Diamond amemtaka msanii huyo aache kutumia jina lake (Nasib Abdul) kwani sasa sio familia moja tena.

Suala hilo linakuja baada ya Sanura Kassim maarufu Mama Dangote ambaye ni mama mzazi wa msanii wa kizazi kipya, Diamond Platnumz kuweka wazi kuwa baba halisi wa Diamond si Abdul Juma bali ni Salum Iddi Nyange ambaye pia ni baba mzazi wa Ricardo Momo, Meneja wake msanii Lavalava.
Abdul Juma amekuwa kwa miaka mingi akifahamika kama baba wa msanii huyo wa Bongofleva.

Mama Dangote ameeleza hayo leo Ijumaa Januari 15, 2021 baada ya kupigiwa simu na Dida, mtangazaji wa kipindi cha Mashamsham kinachorushwa na redio ya Wasafi kueleza kuhusu uhusiano kati ya Diamond na Ricardo Momo aliyekuwa akihojiwa na redio hiyo.

Katika majibu yake, mama Dangote amesema Ricardo na Diamond ni ndugu na baba yao ni Nyange ambaye kwa sasa ni marehemu.
Akizungumza na Simulizi na Sauti baada ya kumalizika kwa mahojiano hayo, Mzee Abdul amesema amefurahi kusikia jambo hilo akidai kuwa sasa atakuwa huru kwani sasa anajua nafasi yake ndani ya familia hiyo.


“Kama muhusika akishakwambia hauhusiki basi mi naamini hamna haja ya kujiforce…mtoto hagombaniwi…mimi nimekubali siwezi nikapinga, atakancel jina langu, ataenda kuoneshwa kaburi la baba yake basi inatosha” Mzee Abdul akijibu swali la mtangazaji lilimtaka ajibu kama amekubali suala hilo kwasababu alikuwa hasaidiwi kama anavyodai ama kwa sababu ni kweli kwamba mtoto huyo siyo wa kwake.

“Nadhani mhusika ameshazungumza sawasawa kabisa,” amesema Abdul na alipoulizwa kama alikuwa anafahamu suala hilo alijibu, “hapana” Amesema kuanzia leo amekubali kuwa Diamond si mwanaye na kuongeza kuwa huenda ndio sababu msanii huyo alikuwa hanitimizii mahitaji yangu, “nashukuru sasa kwa kulijua suala hilo kwa undani na nampa big up sana kwa kuliongea hilo” aliongeza.
View attachment 1678472
[emoji3][emoji3]
 
Kwanini wanaendelea kutumia jina la mtu ambaye aliwakana? Mpaka wajukuu wanatumia Hilo jina fika wanafahamu sio baba yake Diamond.
Mama sasa ndiyo mpumbavu, maana inasemekana mzee nyange alishakufa
 
Hivi hiikisheria imekaaje?
Huyu mzee kutumika Jina lake kipindi chote hicho?
Au kudharirishwa hivyo?
Diamond mikataba yake na Makampuni?,
This is totally embarrassment kwa yule mzee
Wanaweza msababishia depression ambayo haipo,
Tafsiri yake kwa mtu mzima kama yeye ni kama kutaka kumuua,
Pata picha mzee Ana pressure,moyo etc
Mzee awe na presha ipi wakati alimshakana Diamond kipindi hana mafanikio, kwahiyo aje apate presha sahivi ni namna gani mali zinavyowatoa roho watu
 
Kwa hiyo Queen Dareen na Diamond sio ndugu Tena

Sema mama dangote huenda hata baba yake esma sio huyo na huyo baba yake mpya diamond & Momo sio baba yao pia, baba zao ni wengine na Kila mtu ana baba yake[emoji16][emoji16]
Sema huyu mama ameigawa sana kitumbua chake hata ladha hakuna tena
 
Huyo Mzee nilichoka pale aliposema walikua wanavaa condom nikajua hamna kitu. Niwazi mtoto sio wake. Jengine sioni sababu ya mtoto kumgombania sana wakati hakua ameoa. Kuna wakati nahisi km huyu Mzee alitumika na maadui wa Diamond kwa muda mrefu ukifuatilia Queendalin interview aliofanya na Lilyommy inapatikana youtube utaona huyu Mzee alikua na shida kiasi flani
 
Huyo mama sisi mabaharia tulishawahi kusema ni mcharuko ,,
Akatetewa sana humu na kumkandamiza mzee Abdul.,,

Kwa kweli hata shetani akimwona huyo mama shetani analia kwa hofu.

Jinsi huyo mama alivyo muovu,,
 
Back
Top Bottom