Maada hii ni ya kutia aibu kwa diamond na mama yake . hata kama ulikuwa Malaya vipi hivi ni jambo jema kwa jamii ya kiafrika kuwa wewe ulimzaa mtoto maarufu kama diamond kwa njia za kimalaya hadi baba yake humjui?. Nadhani busara ingetumika yeye mtoto diamond na mama wakamaintain kuwa baba diamond hahudumiwi na mtoto kwa sababu ilikuwa hakuwajibika katika malezi. Hakuna mwanamke mwenye akili timamu anayejinasibu kuwa alikwa Malaya Wa kutupwa. Kwa hata hii Nina wasiwasi hata diamond ameishalishwa dawa za kienyeji kumchukia baba yake.. Mimi ningekuwa diamond ningemchukua kisiri kupima DNA tukikuta ni biological father tungeyasuluhisha ki utu uzima na kuitangazia Wa Tz kuwa mama alighafilika kunipotray diamond ni son of bitch, .lakini sasa diamond kaishalishwa limbwata na mama yake amebaki anadance to the tune of the bitch
Hata akina mama mnaoshabikia statement ya mama dangote mniwie radhi ni hamnazo tu. No wonder hata dangote wetu kama amekuwa kabwitunge Wa mama yake. hata kuwa na mke maishani. Ambayo siyo sofa nzuri na anaishi maisha hatarishi hapo alipp Leo. Diamond anazaa ovyo na kila mwanamke basis ajue na ukimwi ataupta kirahisi kama hana mpaka Leo. Kama ni swala LA kuwa na nguvu za kiume nyingi so aoe wanawake 4 kama dini yake inavyomruhusu,tuone hatasaidiwa na kukesha kwake kwenye show wanawke vijana wake wanne wanamsubiri. Na kama ni urithi Wa watoto unaogopaje kuwarithisha watoto wako hadi unaandika eti mama ndie mrithi wake ,ambayo kwa kiafrika ni uchuro kurithisha mama yako wakati umezaa . ndio maana Zari, kahaba anaeanika mapaja at 40's ameamua kujimegea nyumba SA mapema. Risk behaviour anayoishi diamond anajihukumu kifo mapema kwa ukimwi. Diamond mpende mama yako mzazi lakini sio kumuabudu kiasi huwezi fikiria kuoa akiwa hai. Hivi dimand ni tajiri kuliko bill gates ambaye ana make mmoja na watoto. Unatakiwa uoe utulie acha maisha ya kwenye movie haufiki mbali kwa uhai Wa pumzi. Uzi ni mrefu wachovu na wahuni Wa maisha (ke)) toeni povu lakini kujianika kwa mama diamond kuwa ni bitch, no thank you, I beg to differ anaerode hata status ya mwanae kijamii . makampuni yanayotafuta kudhamini wanamuziki wanaweza mbeleni wasimpe mikataba minono, simply because ni familia ya scandals tupu. Mara Dada kaachika na kutoa mimba ,Mara like. Tunzeni faragha yenu ambayo sio hadithi nzuri kwa mtanzania Wa kawaida. Povu ruksa kwa bitches.