Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Vitu kama hivyo kupata ilikuwa mpaka uwe na connection mzee

Ova
 
"You can take the girl out of the ghetto but you can't take the ghetto out of the girl" Ananymous.

Ndio kinachosumbua ile family bado mentality yao ni ya Uswahilini.
Yes na hapo ndo huwa nasema mazingira yanaathiri
I like your comment be blessed
 
Condom zilikuwepo na nyingi zilitokea Uganda. Kutokana na ukubwa wa janga la UKIMWI Uganda, walikua wakweli na wa wazi sana kuonyesha takwimu za vifo na idadi ya maambukizi ya kila wiki na kila mwezi, na waliomba msaada kila mahali.

Mashirika ya kimataifa yalimwaga kila aina ya msaada Uganda kuokoa maisha.
 
Kondom zilikuepo mkuu, tena zimekuepo kuanzia 1982.

sema hakukua na kampeni nying sana na Bei yake ilkua juu.

Ni kama zilivyo condom za kike, Kuna watu wengi Sana hasa wanawake hawazijui na hawajawai kuziona.

Enz izo condom,
Waliweza kuzitumia walokua na uwezo kifedha
 

Asante kwa ufafanuzi
 
Nimeishi kariakoo jirani na kwa bibi yake queen baba yake alikua vizuri sana alikua Don kariakoo.... sasa baada ya Nasib kuja kuwa maarufu na kusema kwamba aliishia form3 kwa kukosa ada na nilipojua baba yake ndio baba wa queen nilishangaa kwanini hakumsomesha? Sababu uwezo uliokuwepo

Kumbe mzee baba aligoma kutoa sapota kabisaaa. Na inasemekana alipokua anaishi ukweni mambo yake hayakua mazuri ila sandra akampa sapota na alikua hajali inakotokea... mambo yake yalipoanza kunyooka wakatibuana akahama na hakuwahi toa sapota
 

Kimaandishi 1982 ni mwaka ambao Ukimwi ndo unaingia Tanzania au sio?
Na ndom zikaja miaka hiyo hiyo? Sawa kwa ufafanuzi.
 
Huyu Salum Nyange alikua wapi wakati Nasseb anaacha shule kwa kukosa ada?
 
Yaani nawaza Nasib anavyojiskia kwa kauli za huyu mzee Abdul namhurumia, nawaza Ile kauli

"........ mimba ya kwanza niliuza deki tukaiflush.... hii ya Nasib mpira ukapasuka baada ya mwezi tukajua kuna mimba kukawa hamna namna!"

Ina maana kama kweli nasib ni mwanae ni kwamba alizaliwa tuu sababu mzee baba hakua na cha kuuza kumflush🤔🤔

Sio wazee wote wenye busara na sio wanaume wote wana vifua
 
Alisema waliona Mwenyezi Mungu ana sababu zake ngoja tukiache hiki kiumbe. Sasa kiumbe amekua Icon ya Tanzania.
 
Huyu Salum Nyange alikua wapi wakati Nasseb anaacha shule kwa kukosa ada?
Hahaha akikujibu nitag.

Kwa hiyo bi Sandra alitaka amchune mzee Abdul ili amsomeshee Salum Nyange mwanae au vipi?

Na kama Salum Nyange ndo baba wa mtoto kwa nini Bi Sandra kwenye vyeti vya clinic, shuleni n. k alimwandikisha Mzee Abdul kuwa ndiye baba wa mtoto, kwa nini from day one hakusimama kidete na kusema wazi kuwa Mondi ni mtoto wa Salum Nyange?

Au kwa sababu mzee Abdul wakati huo ana hela akabambikiwa mtoto ila sasa hivi hela hana ananyang'anywa mtoto😁😁
 
Mama D unamlaumu mzee Abdul bure!. Kwa taarifa yako mzazi anauwezo wa kukumbuka goli lilikufanya mimba liliingia kwa staili gani!. Sasa kwa kuwa mama na mwanae wamejitoa ufahamu na kuungana kumdhalilisha kwenye redio ya mwanae basi naye anakunjua makali kidogo wajue kuwa inshu zake za mimba ya Mondi ilivyotinga anaijua vizuri!

Hivi wewe ushajiuliza kwa nini Bi Sandra hakumpa Salum Nyange huyo mwanae toka mwanzo? - kwa nini amlaumu mzee Abdul kutomsaidia mtoto wakati kumbe baba yake halisi alikuwa anamjua?
 

Abdul alipewa sapota na Sandra akakae kwao akiwa hayupo vizuri, hata interviews zake amekiri maisha ya tandale hayakua mazuri sana na akajigamba yeye ndio alikua baba wa hiyo familia

Mambo yalipomnyookea wakatibuana aliondoka wazima hakuwa hata kukumbuka sapota ya Sandra. Kumhifadhi mtoto wa kike kumhifadhi mwanaume wake ndani ya nyumba anayoishi na wazazi wake ni sapota ambayo wanawake wachache sana wanaweza kuitoakuitoa

Bibi yake nasib mzaa baba yake mzazi anaongea
 
Kuwa baba wa familia unajua maana yake nini?

Anaposema yeye kwenye hiyo family ndo alikuwa "Father" unaelewa what it means?

Maana yake yeye ndo alikuwa kichwa na provider wa hiyo family kwa chakula, mavazi etc.

Mzee Abdul amesema kuwa alikuwa mchakarikaji toka longtime kitambo na hela alikuwa nayo ya kulisha family.
 
Chama cha Wanaume msaidieni Abdul Jumaa kufika kwa mkemia kwaajili ya DNA halafu ndio urudi kuja kuzungumzia kumbukumbu za goal

 
Kuwa baba wa familia unajua maana yake nini?

Maana yake yeye ndo alikuwa kichwa na provider wa hiyo family kwa chakula, mavazi etc
Baba wa familia hawezi ishi kwenye nyumba ya wakwe, akalalia kitanda cha wakwe, akaoga sabuni moja na wakwe.... na bado akapata nguvu za kupasua mpira. Acheni kutetea uzembe buana
 
Familia ya wapenda kiki na kuzungumzwa mtandaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…