Eh mama kaamua kuwa na kijana wa kumridhisha sasa maana shuguli ni moja tu aliyokuwa nayo yule mluguru [emoji23][emoji23][emoji23]Wanaume mnaoishi ukweni hameni mkajitegemee, muwe na miji yenu kwa heshima ya sasa na ya baadae
Kuishi ukweni ni fedheha..... hata Abdul alipuuzia sasa anaumia
Sandra anajipa furaha aliyoikosa wakati wa umri wake kwa raha zakeEh mama kaamua kuwa na kijana wa kumridhisha sasa maana shuguli ni moja tu aliyokuwa nayo yule mluguru [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vp mama anaweza akaukwa mzg sahv na umri wake huo
Ova
Anayemjua baba yako wa kweli ni mama yako DNA hufuata ili kuthibitisha hilo.It's sad kweli. Ila na yeye kiazi tu kazidi kua mamas boy ndio maana mama yake anampelekesha jinsi anayotaka. If he was smart angetoa tamko tu "Namjua baba yangu ni Mzee Abdul tu hao wengine siwafahamu" simple as that na angekua hero of this saga.
Ina-make sense manake zamani sana hata kabla Diamond hafahamiki, mara kwa mara nilikuwa "nakutana" na Queen Darleen pande hizo hizo za Shule ya Uhuru!!Queen upande wa mama yake walikua wanajiweza kidogo tofauti na mama diamond , Darren walk Kua wana nyumba kariakoo za kutosha round about ya shule ya Uhuru kariakoo ndio maana aliishi kidoni
Sasa kama anasaidiwa na Makonda, huyo Makonda ana ubavu wa ku-influence Diamond au yeyote yule kupita na sembe kwenye airports za nchi za watu?tena Diamond Anabeba na kutumia siku hizi, wakajifanya kumuomba makonda awe Mlezi wao ili awalinde siku ya wakikamatwa
Zilikuwepo, hiz condom zilianza toka enz za mfalme, dav, Kama sikosei alikuwa anapenda Sana madem, ndio zikatengenezwa enzi hizo kuepusha mimba.Hili limenifikirisha kidogo, hebu msaada hivi Mwaka 1988 au 1989 mwanzoni enzi za Mwinyi, Sukari Unga kwa foleni , Je Condom zilikuwepo Tanzania? Kama zilikuwepo mwamko wa matumizi kwa watu kama Mzee Abdul ulikuwaje? Maana sisi wa miaka ya tisini tuliona miaka ya 2000 ndio kampeni juu ya matumizi sahihi na ugawaji wa Condom bure ulikuja miaka ya 2006 kwenda juu kama sikosei....Hili suala la mzee Abdul kusema ndom ilipasuka daah! Discuss.
Sidhani kama Naseeb anahitaji kumjua baba yake kwa maana baba mlezi alishamkataa sembuse huyo ambae aliweka mbegu tu na kupotea. Issue ni yeye kuacha mama yake atawale maamuzi yake na kumletea fedheha tu.Anayemjua baba yako wa kweli ni mama yako DNA hufuata ili kuthibitisha hilo.
Jokajeusi wanaume kuoa bikra inawezekana kabisa haswa kwa hii hamasa unayotoa hapa jf, ila na nyie wanaume kwenye huko kuhamasishana mkumbushane kuacha kuwaharibu mabinti zetu walio bikra tena kwa kuwalaghai mtawaoa na kuwaachaNikiwaambia watu waoe wanawake bikra bado naonekana mjinga,
Jokajeusi
Jokajeusi wanaume kuoa bikra inawezekana kabisa haswa kwa hii hamasa unayotoa hapa jf, ila na nyie wanaume kwenye huko kuhamasishana mkumbushane kuacha kuwaharibu mabinti zetu walio bikra tena kwa kuwalaghai mtawaoa na kuwaacha
Maana nyie ndio mnataka bikra na nyie ndio mnaoharibu
Wanaume mkiamua kwa dhati kabisa hakuna kitachoshindikana. Mwanaume kiongozi wa familia na jamii
Huyo diamond ni punda nina ushaidi hacha kutetea ujinga , labda kama ameacha jana , na kwa taarifa yako anabeba na kutumia hizo drugsHivi Wabongo kuna mtu anayefanikiwa halafu tusimhusishe na drugs, freemason au uchawi?! Hivi ni kweli hatuoni hizi hustles zake tangu anaingia kwenye game?! Tusisahau, Diamond ndie msanii wa kwanza kujitambua na kukataa malipo ya hela ya mboga! Sehemu ya habari kutoka Bongo5 inasema:-
Nakumbuka vizuri chanzo cha hiyo habari ambayo ilikuja baada ya Eric Shigongo kutoa povu kweli kweli kwamba Wasafi hawana utu manake hata kwa shows za TZ, Diamond anataka pesa nyingi mno kiasi kwamba promoters wanashindwa kumlipa na hivyo kuwanyima uhondo mashabiki wake waliomfikisha hapo na badala yale kuelekeza sana nguvu zake na shows za nje!Mbali na hayo, Diamond amepata kuwa balozi kampuni mbali mbali including kampuni kubwa kama Vodacom, Coca Cola, na Pepsi let alone ubalozi wa Luc Belaire, na hapo sijataja publishing deal na Universal SA pesa anazotengeneza kupitia streaming, forget about YouTube!!
Kwanini hatudhani kwamba mafanikio yake yanatokana na hizo deals anazopata na tunataka kuona kilichomfikisha hapo ni upunda?! Tusisahau, duniani kote, sana inalipa kweli kweli na ndio maana hata watu kama akina Oprah na Kanye West wanatokeza kwenye orodha ya richest black billionaires kwa sababu ya sanaa tu!!! Wakina 50Cents, P Didy, Dr. Dre, na wengine wengi; hawa wangine wametoka kwenye familia za kawaida kabisa na wengine kwenye poor families lakini leo ni Dollar Millionaires!!
Amina JokajeusiMkuu Mungu akubariki nawe, ulinde watoto wako naye Mungu akulindie.
Usipolinda wanao nani akulindie tena
Amina Jokajeusi
Tunamshirikisha Mungu sababu wenyewe hatuwezi🙏
Ni kweli, mzazi akikosea sio kibali cha watoto kukoseaAmina.
Tukikosea sisi isiwe sababu ya watoto kukosea.
Utanisamehe ikiwa nitatumia lugha ngumu kwa baadhi ya maeneo, sina jinsi,
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa sisi walimwengu tunaona picha utoto za Diamond akiwa na Mzee Abdul.
Huyo Salim Nyange yeye picha ziko wapi?
Unajua nchi hii sasa hivi maisha yamekuwa magumu sana na kumekuwa na tatizo kubwa sana la ajira. Hali hiyo imejenga hali ya Kuabudiana sana.
Mtu akiwa na pesa kidogo au madaraka anaabudiwa kama mungu. Mpaka umetokea msamiati mpya wa chawa.
Yaani mtu akiwa na visenti au madaraka HAKOSEI.
Ukimkosoa chawa wake wanakushambulia hatari.
This is too much.