Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi inaonekana bi sandra "kakitembeza" sana enzi za ujana wake....hii familia bana mama malaya, baba malaya, watoto malaya
Halafu tujiulize kuwa undugu wa Queen Doreen na Diamond umetoka wapi? hahahaha yani hawa wote ni machizi tuu.... huyu mzee kinachomponza nikutaka asaidiwe .....lakini hii familia ni wazi ina laana kabisa hahahahaWametafuta njia ya kumtoa mzee kwenye familia wameipata. Ili wasiulizwe tena kuhusu mzee Abdul. Eti baba ake Diamond alikufa mama Diamond akiwa na mimba ya Diamond kwahiyo jiulize sasa mzee Abdul alikutana na huyu mama lini, je wakati huyo baba ake Ricardo momo anakufa alikua na mahusiano na mama Naseeb au walishaachana. Sema mama Naseeb aseme tu hajui kama mzee Abdul au mzee Nyange ndio baba halisi wa Diamond maana alikua anakitembeza mpaka kwa wahindi koko (baba yake Esma). Maana hata Esma hamjui baba yake amebaki kujiita Esma Dangote.
We mzee wa birka sahivi imekua tofauti tena kuwa tafuna vyovyote vile ila isiwe sumuVyovyote vile,ila ujumbe ni kuwa usionje sumu
Na ilikuake Diamomd alikua anaenda kumuomba ada ya shule mzee Abdul wakati walikua wanajua sio baba yake. Huyu mama Dangote ni ana sumu kali kuliko nyoka, kapandikiza sumu weee kaona haiui, kaamua kutoka kivingineHalafu tujiulize kuwa undugu wa Queen Doreen na Diamond umetoka wapi? hahahaha yani hawa wote ni machizi tuu.... huyu mzee kinachomponza nikutaka asaidiwe .....lakini hii familia ni wazi ina laana kabisa hahahaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mzee wa birka sahivi imekua tofauti tena kuwa tafuna vyovyote vile ila isiwe sumu
A.k.a wanapenda attention. Na hiyo ni bug red flag kama unataka kuoa kwenye familia yao. Good example ni esmaHii Familia ina matatizo makubwa,. Wanapenda sana kuongelewa mitandaoni,.
Ngoja tuunganishe dots!Na kama ni kweli Mzee Abdul sio baba yake Diamond huenda mama Diamond alikataliwa hii mimba na mzee Salim Nyange akaamua kumtupia zigo mzee Abdul na bila shaka mzee alikubali kiroho safi ila huenda alikuwa anaambiwa mengi na ndugu pamoja na rafiki.
Ukweli mchunguKwanini anang'ang'aniza asipotakiwa??
Watu hawakutaki yeye anajikomba. Halafu ni mwanaume miaka 50+ nadhani. Mbona aliishi bila wao miaka yote hiyo kwann asipambane aendelee na maisha yake halafu Amuachie Mungu tu. Na tena uzuri wenyewe ana watoto wengine wanaomkubali kwanini anamfanya Abdul kuwa spesho?? Hicho kinachomfanya amuone spesho Abdul ndo hicho wanakitumia na wao kumrudi. Aachane nao tu
Kwa kweliHalafu tujiulize kuwa undugu wa Queen Doreen na Diamond umetoka wapi? hahahaha yani hawa wote ni machizi tuu.... huyu mzee kinachomponza nikutaka asaidiwe .....lakini hii familia ni wazi ina laana kabisa hahahaha
Shida inakuja hapa (IMO); ujauzito haukuwa wa Mzee Abdul, na yeye akaukataa ujauzito huo na akakataa kushiriki kwenye malezi ya Diamond; ni sawa kabisa. Kwa hiyo Bi Sandra alimsingizia mimba mzee Abdul; na hata baada ya mzee kukataa, ilikuwaje diamond akapewa ubini wa Abdul ikiwa Mzee Abdul alimkataa, na huku baba yake mzazi huyo Nyange akiwepo? Na Diamond alikuwa anaenda kwa mzee Abdul kumuomba matumizi kama nani ikiwa si baba yake mzazi wala mlezi? Na undugu wa Queen Darleen na Diamond unatokea wapi ikiwa baba Darleen hakuwahi kujihusisha kimalezi na Diamond?Na ilikuake Diamomd alikua anaenda kumuomba ada ya shule mzee Abdul wakati walikua wanajua sio baba yake. Huyu mama Dangote ni ana sumu kali kuliko nyoka, kapandikiza sumu weee kaona haiui, kaamua kutoka kivingine
Weee usiniambieWee bwana masingke maza wanajua kugegedana...mie mpaka leo mwanamke ambaye niligegedana nae nikafurahi ni single maza....wanajitumansana kwanbed hawa.
[emoji1787]Acha umbea mbea wewe mtoto wa kike acha umbea mbea
Just singing
bj matata mno sio😅😅safiWee hayo machungu utayakumbuka wapi wakati single maza anakupa bj alafu anakwambia bbby cummm in my mouth...lazima udate.